-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Riyama Ally, My Stereo, Kuhalalisha Mahusia...

Post Image

Msanii wa filamu Riyama Ally, baada ya kuingia katika hatua ya Uchumba kimya kimya na mpenzi wake ambaye ni msanii chipukizi wa Bongo Fleva leo Mysterio, amesema kuwa mpango wao wa kuhalalisha mahusiano yao umeanza kunukia, hasa baada ya msanii huyo kujihakikishia nafasi yake kwa kutoa posa. Riyama ambaye baada ya hatua hiyo amekuwa mwepesi […]

Read More..

Kiss My Pain-Official Trailer (Bongo Movies...

Post Image

Official Trailer Movie: Kiss My Pain Production: Freedom Fighter Films Genre: Drama Cast: Irene Uwoya, Hemmed Suleiman, Brother K. Dayana Jerome, Edward Humalija Distributor: Step entertainment Release date: 22 January, 2016

Read More..

Dada Zangu wa Bongo Movies Washobokaji Kaso...

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Niva  amefunguka na kudai kuwa dada zake wengi wa Bongo Movies wanapenda kuwashobokea wanaume hasa wakiona vitu kama magari. ‘Dada zangu wa bongo movies wengi washobokaji, watu ambao sio washobokaji ni wawili tu kwenye bongo movies nzima, Riyama na Monalisa kwisha, walionbaki wote  ni washobokaji, wakimuona mtu hivi basi, shobo shobo”. […]

Read More..

‘Tajiri Mfupi’ ya Ray Kigosi kuibua vip...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’ amesema filamu yake mpya ‘Tajiri Mfupi’ inakuja kuibua vipaji vipya vya kuigiza kutokana na ubora wake pamoja na wahusika aliyowatumia. Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Ray alisema filamu hiyo itakuwa kubwa na itabadili mitazamo ya watu wengi kuhusu tasnia ya filamu. “Tajiri Mfupi inatoka mwezi huu mwishoni,” alisema […]

Read More..

Ni Mvutano Kati ya Ray na Batuli Kuhusu Mad...

Post Image

Kutoka Mtandaoni Mastaa wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ wamerushiana maneno kupitia akaunti zao kwenye mtandao wa Instagram kufuatia madai aliyoyatoa Batuli kuwa amedhulumiwa na Ray kwenye filamu ya Tajiri Mfupi ambayo batuli ameigiza. Alianza Batuli kwa kuandika haya; Haki Ya Mtu Haizami Swali: Movie Yako Nimecheza Mwaka Juzi Wiki Moja […]

Read More..

Nay wa Mitego Aweka Wakili Kuwakabili Bongo...

Post Image

Hivi juzi kati kupitia akaunti yake ya Instagram,Nay Wa Mitego alipost mashairi yenye ‘utata’ ya ngoma yake mpya yakiwalenga wasanii wa Bongo Movie,baadhi ya wasanii hawakupendezwa na mashairi hayo: Nay aliandika mshairi haya; “Mungu akunyimi vyote lazima atakupa chako, Demu anasura mbayaa lakini ana Bonge la Tako. BongoMovie Imekufa wamebaki kuuza Sura, Wote wanataka Kuimba […]

Read More..

Kampuni 3 Zamtaka Mtoto wa Wema

Post Image

  Kampuni tatu zimejitokeza kutaka kumtumia kibiashara mtoto atakayezaliwa baada ya staa wa filamu Wema Sepetu kujifungua baadaye mwaka huu. Chanzo cha uhakika kilicho karibu na staa huyo, kimesema kampuni hizo ambazo hakuzitaja kwa kushindwa kukariri majina yake, zimeshafanya mazungumzo ya awali na Wema, kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa. “Hivi ninavyokuambia licha ya […]

Read More..

JB Ataka Kuwa wa Kimataifa

Post Image

MKALI wa Filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ amefunguka kuwa ameamua kuja kivingine katika tasnia ya filamu mwaka huu kwa kuiboresha zaidi kwa kushirikiana na wasanii kutoka nchi mbalimbali ili kuweza kutusua kimataifa. Akizungumza na Mikito Jumatano, JB alisema, licha ya filamu zake kadhaa alizoziachia huko nyuma kufanya vizuri, pia yupo katika mikakati madhubuti ya kuandaa […]

Read More..

Erick Omondi Amsapoti Nishabebee Kuuza Fila...

Post Image

UNAPOTAJA jina la Erick Omondi ni jina kubwa kwa sasa barani Afrika kijana mdogo mahiri katika uchekeshaji mwenye sifa kubwa Afrika ya Mashariki, msanii huyu ni bingwa wa kutawala jukwaa, alikuja Dar es salaam kwa show maalum na kuamua kumsapoti Nishabebee kuuza filamu ya Kiboko Kabisa. “Mimi natamba sana na stage but Nisha ni Kiboko […]

Read More..

Ray Kawa Mkongo Mpaka Leo Anaishi Kwao- Nay

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Nay wa mitego ameweka wazi baadhi ya mistari ambayo ipo kwenye moja ya wimbo wake ambao ana wasiwasi kuuachia kwa mashabiki kutokana na vitu alivyozungumza. Kwenye wimbo huo ambao anadai anaogopa akiuachia watanzania watamchukia kwa mambo aliyozungumza kwenye wimbo huo alioupa jina la ‘Shika adabu yako’. Katika wimbo huo […]

Read More..

‘Homecoming’ na ‘Going Bongo’ ni Fu...

Post Image

Msanii wa filamu Rose Ndauka amesema kuwa filamu mpya ya Homecoming pamoja na Going Bongo ni filamu bora zaidi kuzinduliwa nchini mwaka 2016 ambapo amewataka wasanii wa Tanzania kuiga mfano. Akizungumza na Bongo5 Jumatatu hii, Rose alisema kila msanii wa filamu aliyoangalia filamu hizo lazima alitoka na kitu. “Mwaka umeanza kwa changamoto ya kazi, hivi […]

Read More..

Nisha Aongeza Utata Juu ya Mahusiano na Bar...

Post Image

Msanii wa filamu Nisha Jabu, ametoa upande wake wa maelezo juu ya mahusiano yake na nyota wa muziki Barakah Da Prince, kufuatia kauli ya mwanamuziki huyo wiki iliyopita kukana kuwepo kwa mahusiano ya kimapenzi kati yao. Nisha amesema kuwa, Baraka ni msanii ambaye ni mchapakazi na anaona mbali, tabia ambayo ni ya aina ya mwanaume […]

Read More..

Shela la Aunt Lazua Maswali Tata

Post Image

KUNASWA kwa msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akiwa ndani ya gauni la harusi (shela) kumezua maswali tata huku wadau wakiamini alikuwa safarini kwenda ukumbini kwa ajili ya harusi yake. Aunt alinaswa hivi karibuni akitoka ndani ya saluni moja iitwayo Wedding  Dover, Sinza Afrikasana akitoka akiwa ndani ya shela hilo. Kwa mujibu wa chanzo chetu, […]

Read More..

Shilole Asema Kuachana na Nuh Mziwanda Haku...

Post Image

Ngoma ya ‘Nyang’anyang’a’,Shilole alimuimbia aliyekuwa mpenzi wa Nuh Mziwanda kabla hawajaachana,anazungumzia kama hali hiyo inamzuia kuendelea na project yake ya wimbo huo. ‘’Hapana hainipi ugumu wowote kwasababu wimbo nimeimba bila kumtaja mtu jina ila nimesema nilimuimbia aliyekuwa mpenzi wangu Nuh Mziwanda,hakuna ambacho nishindwe kuendelea ku’promote’ wimbo wangu na hainipi ugumu wowote kabisa,’’Shilole. Cloudsfm.com

Read More..

Niliambiwa Sharo Milionea Ananiloga kwa Maf...

Post Image

Kitale a.k.a Mkude Simba ni mwigizaji/mchekeshaji Tanzania na amechukua sifa nyingi kutokana na zile sauti zake za kuchekesha na video fupifupi zilizotambaa Whatsapp akiigiza kama Teja, kwenye hii video hapa chini kaongea jinsi imani za kishirikina zilivyotaka kumkosanisha yeye na Marehemu Sharomilionea pamoja na mengi ya maisha. Kabla hujaitazama hii Interview pia ukumbuke kwamba Kitale […]

Read More..

Faiza wa ‘Sugu’ Aomba Radhi, Azindua Ki...

Post Image

MSANII wa filamu nchini, Faiza Ally, amezindua kipindi cha runinga kiitwacho ‘Stars’ ambacho kitakuwa kikizungumzia maisha yake. Akizungumza katika kipindi cha Friday night live kinachoongozwa na mtangazaji, Sami Misago, wakati akitambulisha kipindi hicho alisema kitaanza kuoneshwa Jumanne katika kituo cha Eatv na kitahusu maisha yake ya kila siku. “Kipindi changu kipya kitakuwa kikiitwa ‘Stars’ na […]

Read More..

Nilijinyima Kiasi cha Kuogopa Kula Chips Il...

Post Image

Msanii wa filamu na mjasiriamali, Salma Jabu aka Nisha amesema mafanikio aliyopata yametokana na kujinyima ambapo amedai ilifikia hatua alikuwa akishinda kwa kula mihogo huku akiogopa kula chipsi pesa zisije zikaisha.   Muigizaji huyo ambaye mpaka sasa ana filamu nane ambazo amezitoa kupitia kampuni yake ‘Nisha’s Film Production’, alikiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa […]

Read More..

Afya ya Johari Yashtua Wengi!

Post Image

KUNENEPEANA! Na ‘kuumuka’ kwa muigizaji wa muda mrefu, Blandina Chagula ‘Johari’ kumezua gumzo na mishangao kwa wadau wengi wa filamu na burudani huku wakihoji kwa undani mabadiliko hayo ya ghafla kwani siku chache zilizopita Johari alikuwa habari ya mjini kutokana na kudhoofika kwa afya yake. Wakizungumza na Amani hivi karibuni, baadhi ya mashabiki na wasanii […]

Read More..