Riyama Ally, My Stereo, Kuhalalisha Mahusia...
Msanii wa filamu Riyama Ally, baada ya kuingia katika hatua ya Uchumba kimya kimya na mpenzi wake ambaye ni msanii chipukizi wa Bongo Fleva leo Mysterio, amesema kuwa mpango wao wa kuhalalisha mahusiano yao umeanza kunukia, hasa baada ya msanii huyo kujihakikishia nafasi yake kwa kutoa posa. Riyama ambaye baada ya hatua hiyo amekuwa mwepesi […]
Read More..





