-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Ndauka Asisitiza Elimu kwa Wasanii

Post Image

Staa wa filamu Rose Ndauka amewataka wasanii wenzake pamoja na mashabiki katika nafasi zao kuzingatia elimu ambayo ina umuhumu mkubwa katika suala zima la maendeleo. Rose amesema, kwa mtu yoyote kuendelea katika nafasi aliyopo ni muhimu kujituma kujifunza zaidi kwa upande wa sekta binafsi na sekta rasmi, ikiwa inafahamika pia kuwa elimu haina mwisho. Staa […]

Read More..

Hakuna Haja ya Korabo na Wanaijeria – JB

Post Image

MWIGIZAJI mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo Jacob Stephen ‘JB’ amesema kuwa haoni sababu ya kuigiza filamu kwa kuwashirikisha wasanii wakubwa kutoka Naijeria au Ghana ili kupata sinema kubwa bali ni kutumia kampuni kubwa za filamu kutoka afrika ya Kusini kufanya nao kazi. “Hakuna haja ya kuwashirikisha wasanii kutoka Naijeria au Ghana ili kufanya filamu […]

Read More..

Dotnata, Pacha Wake Majanga

Post Image

Staa mkongwe kwenye sinema za Bongo, Illuminata Poshi ‘Dotnata’ akiingizwa kwenye gari la wagonjwa. DAR ES SALAAM: Staa mkongwe kwenye sinema za Bongo, Illuminata Poshi ‘Dotnata’ na pacha wake, Dometria Alphonce wapo hoi kufuatia mmoja kuanguka bafuni na kuvunjika mfupa wa mguu, mwingine kuvamiwa na majambazi. Chanzo makini kililiambia gazeti hili juzi kuwa, Dotnata aliteleza […]

Read More..

Filamu ya Kibonge Mtata Kutikisa Mtaa Jumat...

Post Image

KAMPUNI ya Splash Entertainment inatarajia kuachia filamu kali na ya kusisimua jumatatu wiki ijayo tarehe 01.February .2016 ijulikana nayo kwa jina la Kibonge mtata kazi ambayo msemaji wa kampuni hiyo Steve Selengia anasema itakuwa mwanzo mzuri katika kufungua mwaka huu. “Tumejipanga katika kuhakikisha kuwa sinema yetu ya Kibonge Mtata inamfikia kila mdau wa kazi za […]

Read More..

Namshukuru Mungu kwa Mara ya Kwanza Nimepat...

Post Image

staa wa Bongo Movies na mkali wa ‘baby mama drama’ , Faiza Ally amemshukuru Mugu baada ya mashabiki wengi kumuandikia comment nzuri mtandaoni kwa posti yake akiwa amevalia ‘kidenti’ akiwa kwenye studio za EATV usiku wa jana tofauti na posti zake za nyuma. Nachukua nafasi hii kumshukuru M.Mungu mwingi wa rehma kwa kuwa naona kwa […]

Read More..

Tukumbuke Kuwa Haya Maisha Ya Duniani ni ya...

Post Image

Kutoka kwenye ukurasa wake mtandaoni,nyota wa bongo movies, Jacqueline Wolper ametukumbusha hili. Kuna wakati tunatatakiwa tujue na tukumbuke kuwa haya maisha ya duniani ni ya kupita kuanzia binadamu pamoja na vitu vya duniani. Binadam tunajisahau sana tunawaza kutafuta mapesa na magari ya kifahari na majumba ya kifahari lakini hatujipangi kutafuta maisha ya huko tuendako yani […]

Read More..

Wema Awekwa Chini ya Ulinzi

Post Image

Mama kijacho Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ kwa mara nyingine ametengeneza kichwa cha habari, safari hii amewekwa chini ya ulinzi wa polisi kwa kosa la kuendesha gari aina ya Range Rover Evogue bila kuwa na vibali, Risasi Jumamosi lina ‘full’ stori. Tukio hilo lililodumu kwa takriban saa tatu lilijiri Jumanne iliyopita maeneo ya Aficana, Mbezi Beach […]

Read More..

Siyo Lazima Sote Tubanane Dar –Vinego

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu Bongo Baraka Selemani ‘Vinego dizaina’ amewashauri watayarishaji wa filamu kutoka mikoani wasikimbilie wote Dar es salaam kwa sababu ndio kwenye soko la filamu bali wajikite mikoani kama anavyofanya yeye kwani huko ndio kuna mazingira mazuri . “Mikoani kuna mazingira mazuri sana ya kutengenezea filamu kwani kuna uhalisia sana kuliko huku […]

Read More..

Eti Mimba ya Kajala Nayo Figisufigusi, Huo ...

Post Image

MOJA kati ya majina makubwa katika Bongo Muvi ni Kajala Masanja, ambaye kwa nyakati tofauti amebeba headlines katika vyombo vya habari. Ni muigizaji mzuri wa kiasi chake hasa kwa levo za wacheza filamu wa nyumbani, ingawa kwa mtu mwenye mzuka wa kufika mbali, anahitaji kujinoa zaidi ili kufanikiwa kuwa zaidi ya alivyo sasa. Kibongobongo, ni […]

Read More..

Kwa Wale Wanaopenda Kuigiza, JB Ametoa Naf...

Post Image

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, muigizaji na mkurugezi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu nchini, Jerusalem Films, Jacob Stephen ‘JB’ ametagaza fursa hii kwa wanawake wenyevipaji vya kuigiza. Kwa wale wanaopenda kuigiza, niliahidi kuwapa nafasi waigizaji wapya, nafasi zilizipo. Script inahitaji watu wafuatao, wanawake 6…umri 26…33..wawe wanavutia sana, wawe na uwezo mkubwa wa kuigiza. Awe tayari […]

Read More..

Rose Ndauka Azindua Jarida Lake la ‘Rozzi...

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Ndauka siku ya leo amezidua jarida lake linaloitwa Rozzie ambalo awali lili kuwa kwenye mfumo wa kidigitali. Kupitia ukurasa wake mtandaoni Rose ameeleza; Namshukuru Mungu kwa yote, ilikua ndoto yangu kubwa kuileta Rozzie Magazine iwe kwenye Hard Copy baada ya kuwa online kwa muda mrefu, Leo hii nimezindua Rozzie […]

Read More..

Wema na Idris Wafunguka Yote Usioyajua Kuhu...

Post Image

Usiku wa jana Mastaa Wema Sepetu na Idris Sultan walidhibitisha kwa mara ya kwanza kwenye kipindi cha Ala Za Roho na mtangazaji Diva Loveness kuwa na uhusiano wa kimapenzi na kwamba wana tarajia kupata mtoto wao wa kwanza. ‘’Unajua kuna kipindi nilikuwa siamini nikawa namtuma mdogo wangu akaninunulie ‘pregnancy test’nyingi ili niwe na’test’ kila siku,nilikuwa […]

Read More..

Nyamayao Aibuka, Afafanua Kuhusu Kaole, 201...

Post Image

Nyota wa filamu Nyamayao kutoka kundi kongwe la Kaole ambalo limetengeneza misingi kwa waigizaji wengi maarufu wa sasa, ameweka wazi kuwa kundi hilo bado lipo. Amesema kundi hilo bado lipo hai ingawa kwa sasa wanaendesha shughuli zao pembeni kama kundi la Kaone, akiwa pia anajipanga kutoka na tamthilia mpya ya muendelezo ambayo taarifa zake zaidi […]

Read More..

Pacha wa Kanumba Adaiwa Kuwa Mhamiaji Haram...

Post Image

Mkali wa filamu Bongo, Rammy Gallis ‘Pacha wa Kanumba ’ anadaiwa kuishi nchini bila vibali maalum, jambo linalomuweka hatarini muda wowote kuweza kutimuliwa Bongo kutokana na tumbuatumbua ya Serikali ya Rais John Pombe Magufuli inayoendelea. Kwa mujibu wa chanzo, kuna hatihati kubwa ya msanii huyo ambaye wengi wamezoea kumuita Msomalia kufungashiwa virago kwani hana uhalali […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka ya Moyoni Kuhusu Penzi...

Post Image

Ikiwa leo Idris Sultan anasherekea miaka yake kadhaa ya kuzaliwa, mpenzi wake Wema Sepetu amefunguka haya kwenye ukurasa wake mtandaoni kuonyesha dunia ni jinsi gani alivyozama penzini kwa kijana huyo ambaye ni mshindi wa BBA 2014. Nimeandika na kufuta karibia mara mia maana kila ninachotaka kuandika najikuta naona hakifai and maybe hakitoshi…. Im busy looking […]

Read More..

Bi Mwenda: Agoma Kufungukia Uchawi, Mme Na ...

Post Image

Katika kolamu hii tunayowaletea wasanii mbalimbali wa filamu kila wiki, leo tunaye nguli wa filamu Bongo, Fatuma Makongoro ‘Bi Chau’ ambaye pia aliwahi kutamba katika Kundi la Kaole lililokuwa na ‘vichwa vikali’ kama vile marehemu Steven Kanumba, Ray, Muhogo Mchungu, Kipemba, Dk. Cheni, Mtunisi, Frank, Nina, Nana, Norah, Kibakuli, Nyamayao, Max, Zembwela, Bambo, Kingwendu, Swebe, […]

Read More..

Wema Sepetu Kujifungua Mwezi August

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu anatarajia kujifungua mwezi August 2016, kwa mujibu wa mpenzi wake Idris Sultan.   Akizungumza katika kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM Jumanne hii, Idris alisema mpenzi wake huyo anatarajia kupata mtoto baada ya miezi 6 au 7 hali ambayo imetafsiriwa na wadau wa mambo kuwa huenda mwanadada huyo akawa […]

Read More..

Kiboko Kabisa: Behind the Scene 1 (Video Cl...

Post Image

Behind the Scene (1) Movie: Kiboko Kabisa Genre:  Bongo Movie Comedy Production: Nisha Production Cast: Mzee Majuto, Nisha, Jada, Neema wa 20%, Hemedy Chande Writer: Lamata Leah Director: Lamata Leah Release date:  29 January 2016 Distributor: Step Entertainment

Read More..