-->

Shilole Atoboa Siri ya Kupenda Vijana Wadog...

Post Image

Mwanamuziki wa Bongo flava ambaye ana vimbwanga kila siku kwenye mitandao ya kijamii kwa skendo ya kutoka na vijana walio chini ya umri wake amefunguka na kusema asipangiwe ni nani wa kuwa naye. Akiongea mbele ya Camera za eNewz, Shilole amesema mashabiki wanahitaji yeye awe na mzee lakini yeye haoni haja ya kuwa na mzee […]

Read More..

Kutoka Maisha Plus Babu Aahidi Tukio Kubwa

Post Image

WAKATI washiriki 29 wa Maisha Plus East Afrika 2016 wakiwa tayari kambini kwa safari ya kuisaka Sh milioni 30 itakayotolewa kwa mshindi mmoja tayari mambo mbalimbali yamepangwa kufanyika. Babu wa kijiji hicho cha Maisha Plus ambaye ndiye mwenyeji wa kijiji hicho ameweka wazi kwamba kuna tukio kubwa litakalofanywa katika kijiji hicho ambalo halikuwahi kutokea huku […]

Read More..

Aika Aanika Siri ya ‘Kutoka’

Post Image

MSANII ambaye ni mmoja wa wamiliki wa Lebo ya The Industry, Aika Mareale akiwa pia memba wa Kundi la Navy Kenzo, ametoboa siri ya kutoka kwake kisanaa kuwa ni kutojidharau. Akizungumza na Risasi Vibes, Aika ambao ambaye anaunda kundi hilo akiwa na mpenzi wake, Emmanuel Mkono ‘Nahreel’, akiwa anatamba na kibao chake cha ‘Kamatia Chini’ […]

Read More..

Sina Haraka ya Kupata Mtoto na Jux – ...

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Vanessa Mdee amefunguka na kuweka wazi kuwa kwa sasa hana haraka ya kupata mtoto na mpenzi wake Juma Jux na kwamba kwa sasa watoto wapo wengi wa kuwalea. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Televison Vanessa Mdee amedai kuwa hana haraka ya kupata mtoto na mpenzi […]

Read More..

Romy Jones Atoa Sababu ya Diamond Kutohudhu...

Post Image

Romy Jons amefunguka Sababu ya Diamond kushindwa kuhudhuria kwenye sherehe yake ya kuzaliwa ambayo imezua tetesi za wawili hao kutoelewana. Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM Jumamosi iliyopita, Romy alisema, “People don’t understand, halafu huwezi kumuelewesha kila mtu.” “Ile ilikuwa ni party ambayo kila mtu alitakiwa aje afurahi, lakini at the end […]

Read More..

Aunty Ezekiel Afunguka Kuhusu Mipango ya Nd...

Post Image

Nyota wa Bongo Movie Aunty Ezekiel amesema hayuko tayari kuolewa kwa sasa, na kwamba bado hajafikiria kuolewa kwa kuwa suala la ndoa linahitaji maandalizi ambayo dbado hajayafanya kwa sasa. Miongoni mwa story ambazo zilibeba headline juma lililopita, ni pamoja na issue ya mwana tasnia ya filamu nchini, Shamsa Ford kuolewa na mjasiriamali Rashid maarufu kwa […]

Read More..

Juma Nature Amshushia Lawama TID, Kisa KR K...

Post Image

Msanii wa muziki na kiongozi wa Kundi la TMK Wanaume Family, Juma Nature amemtupia lawama mkurugenzi mkuu wa Rada Entertainment TID kwa tuhuma za kumuaribu KR Muller. KR ambaye zamani alikuwa katika Kundi la TMK Wanaume Family na Juma Nature, aliondoka katika kundi hilo mapema mwaka huu na kujiunga na Rader Entertaiment iliyo chini ya […]

Read More..

Serikali Yakanusha Kuhusu Makamu wa Rais Ku...

Post Image

YAH: KUKANUSHA TAARIFA INAYOSAMBAZWA KWENYE MITANDAO MBALIMBALI YA KIJAMII Ofisi ya Makamu wa Rais inakanusha taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, ameomba kujiuzulu nafasi yake na kwamba taarifa hiyo ni ya uzushi na uongo haina ukweli wowote. Taarifa hiyo ni ya uchochezi inayolenga […]

Read More..

Jux Akiri ‘Kuuzia Sura’ Kutumia...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Juma Jux anayetamba kwa sasa na ngoma yake ya ‘Wivu’ amesema kabla hajafanikiwa kimuziki alikuwa akitumia vitu vya nyumbani kwao kusumbua na kuuzia sura mjini. Jux ameweka wazi kuwa hapo mwanzo alikuwa akitamba mjini kwa mali za wazazi wake ila kwa sasa hawezi kufanya tena hivyo bali anapambana kiume kwa kulipa […]

Read More..

Fella Agonga Mwamba kwa Juma Nature

Post Image

Mkurugenzi wa Yamoto Band na TMK Wanaume Family, Mkubwa Fella ameonekana kugonga mwamba juhudi zake za kutaka kurudisha mahusiano yake ya kazi na msanii wake wa zamani wa Kundi la TMK Family, Juma Nature. Hapo awali Juma Nature alikuwa msanii wa Kundi la TMK Wanaume Family la Mkubwa Fella lakini baadae aliondoka na kwenda kuanzisha […]

Read More..

Babu Talent ni Jipu – Nikki Mbishi

Post Image

Rapa Nikki Mbishi maarufu kama ‘Unju’ amefunguka na kusema kuwa meneja wa wasanii Babu Tale ni jipu ambalo Rais Magufuli pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni Wasanii na Michezo Nape Nnauye hawawezi kuliona serikali ya awamu ya tano itakapomalizika. Rapa Nikki Mbishi maarufu kama Unju amefunguka na kusema kuwa meneja wa wasanii Babu Tale ni […]

Read More..

Wasichana Kunigombania Siyo Dhambi – Stev...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere amedai wasichana kugombana kwa ajili ya staa ni jambo la kawaida hivyo yeye ashangai kusikia bado kuna wasichana wanagombana kwa ajili yake. Akiongea katika kipindi cha Uhondo cha EFM wiki hii, Steve Nyerere amedai ameshazoea kusikia wasichana wakigombana kwa ajili yake. “Unapozungumzia kuna watu waligombana kwa ajili yangu, kwangu […]

Read More..

Diamond Platnumz Awavuruga Mashabiki

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ maarufu kama Simba ameachia kipande kidogo cha wimbo ambao ni remix ya ‘All The Way Up’ ambayo na yeye ameshiriki na kuchana katika wimbo huo. Mashabiki wengi wa Diamond Platnumz wamefurahishwa na jinsi msanii huyo alivyoweza kuchana vyema huku maneno yake ya kiswahili aliyoyatumia katika ngoma hiyo […]

Read More..

Raymond Aeleza Sababu ya Kumuimbia Avril Ju...

Post Image

Raymond alisababisha yowe kubwa mwishoni mwa wiki katika show ya WCB mjini Mombasa alipompandisha mrembo wa Kenya, Avril aliyekuwa mmoja wa watu waliohudhuria. Akiongea na Bongo5, Raymond amefunguka; Sikutegemea kabisa kwamba nitamuona Avril katika show , walikuja watu wengi lakini wakati nipo stejini nikaona VIP kama kuna mtu kakaa, kuangalia vizuri nikaona ni Avril so […]

Read More..

Mastaa Walivyoweka Ustaa Pembeni Kwenye Har...

Post Image

INAWEZEKANA huu mwaka ukawa ni mwaka uliovunja rekodi kwa mastaa wengi kuingia kwenye mapenzi ya ndoa. Haina shaka kwa sababu inaonekana wazi wasanii wa kiume wameamua kuoa na wasanii wakike nao wameamua kuolewa. Nyota mbalimbali kutoka kwenye tasnia ya muziki na filamu kama vile Roma, Baghdady, Manecky, Ricardo Momo, Menina, Mr Blue, Masanja Makandamizaji wote […]

Read More..

Harmonize Afunguka Kutomuogopa Raymond

Post Image

Msanii wa kundi la WCB Harmonize amesema kwa sasa hayuko tayari kufanya colabo na kuwapa watu muda wa kuwatengenezea ushindani kati yao.   Akipiga story ndani ya eNews amesema “Colabo ni kubadilishana mashabiki kwa wakati nafanya colabo na Diamond nilikuwa nikilenga kuwa kuna mahali muziki wa Diamond umefika wa kwangu haujafika na pia Diamond ana’hit’ […]

Read More..

Nitafunga Ndoa Januari-Steve Nyerere

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere aliwasurprise baadhi ya wasanii wenzake wa filamu katika harusi ya Shamsa Ford baada ya kutangaza anaoa mwezi januari mwakani. Akitoa neno kwa niaba ya wasanii wenzake katika harusi ya Shamsa Ford iliyofanyika Sinza Afrikasana Ijumaa iliyopita, Steve Nyerere aliwaabarisha wasanii wenzake kuwa ataoa Januari 2017. “Mimi sina maneno mengi […]

Read More..

Shamsa Ford Afunguka Siri ya Kupata ‘Mume’

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambaye amefunga ndoa na mfanyabishara Chidi Mapenzi wiki iliyopita amefunguka na kutoa chanzo cha yeye kukutana na mpenzi wake huyo ambaye amefunga naye ndoa na kusema chanzo kilikuwa ni chakula. Shamsa ford anasema kuwa siri ya mahusiano aijuae ni Mungu kwani yeye alikuwa anapita karibu kila siku kwenye duka […]

Read More..