-->

Tag Archives: JB

JB: Ugumu wa Soko la Filamu Umenibadilisha

Post Image

JACOB Stephen ‘JB’ anasema kuwa ugumu wa soko la filamu umemfanya aangalie njia nyingine ya kufanya sanaa yake iendelee kuwa bora kwa kuanza kurekodi tamthilia tofauti na awali alijiwekeza sana katika Filamu pekee kwani lengo ni kufikisha ujumbe kwa jamii. “Dunia inabadilika na inaenda kwa kasi sana hivyo ni lazima pia mtu ubadilike, kazi ya […]

Read More..

Gharama ya Mwili Wangu ni Ada ya Watoto Lon...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jacob Stephen maarufu kama JB amesema gharama ya mwili wake ni sawa na kusomesha watoto wawili London. Jb ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha E News kinachorushwa na kituo cha EATV . ”Mimi mwili wangu ni wa Kimarekani nimekwenda juu na mnene ndiyo maana hata watafiti wanakiri kwamba hakuna […]

Read More..

JB: Soko la filamu za Bongo Halijafa

Post Image

Muigizaji Jacob Stephen ‘JB’amefungyuka haya kuhusu soko la filamu na tasnia kwa ujumla. ’Nakataa soko la filamu halijafa,limesinzia na kuna sababu kubwa sana watu wengi hawajui kwanini imesinzia,filamu sasa hivi inatakiwa ipelekwe ‘next stage’ kitu chochote kikitakiwa kitoke hapo kilipo na kwenda sehemu nyingine kinakuwa kama kinakufa mf,kuna wakati Fulani Bongo Fleva walikuwa na hali […]

Read More..

JB Azungumzia Mkakati Wake wa Kuibua Watu W...

Post Image

Muigizaji na mkurugezi wa kampuni ya Jerusalem films, Jacob steven alizungumza mkakati huo wa kampuni yake  alipokuwa akizungumzia filamu yake ya chungu cha tatu kwenye kipeindi cha ulimwengu wa filamu. Msikilize hapa Part 1 Part 2

Read More..

Video: JB Alipotembelea Kituo cha Kulelea W...

Post Image

Staa mkongwe wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ mwishoni mwa mwaka uliyopita alitembelea kituo cha Watoto Yatima cha Msimbazi Centre kilichopo Ilala na kutoa zawadi kwa watoto wa kituo hicho kinachomilikiwa na Kanisa Katoliki msanii huyo amesema anasikia faraja kuwatembelea watoto hao. JB pia alitumia nafasi hiyo kwa kuongea na uongozi wa kituo hicho kisha […]

Read More..

Waandishi wa ‘Script’wanatuangusha – JB

Post Image

Msanii nguli wa filamu za kitanzania Jacob Steven maarufu kama JB, amesema kushuka kwa thamani kwa filamu za sasa hivi ukitofautisha na zile za zamani, kunasababishwa na waandishi wa hadithi kutofanya vizuri, na upungufu wa waongozaji wazuri. B ameyasema hayo alipokuwa akiongea na East Africa Television, na kusema kwamba filamu yoyote inatengenezwa na hadithi nzuri […]

Read More..

JB Ataka Kuwa wa Kimataifa

Post Image

MKALI wa Filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ amefunguka kuwa ameamua kuja kivingine katika tasnia ya filamu mwaka huu kwa kuiboresha zaidi kwa kushirikiana na wasanii kutoka nchi mbalimbali ili kuweza kutusua kimataifa. Akizungumza na Mikito Jumatano, JB alisema, licha ya filamu zake kadhaa alizoziachia huko nyuma kufanya vizuri, pia yupo katika mikakati madhubuti ya kuandaa […]

Read More..

Hakuna Haja ya Korabo na Wanaijeria – JB

Post Image

MWIGIZAJI mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo Jacob Stephen ‘JB’ amesema kuwa haoni sababu ya kuigiza filamu kwa kuwashirikisha wasanii wakubwa kutoka Naijeria au Ghana ili kupata sinema kubwa bali ni kutumia kampuni kubwa za filamu kutoka afrika ya Kusini kufanya nao kazi. “Hakuna haja ya kuwashirikisha wasanii kutoka Naijeria au Ghana ili kufanya filamu […]

Read More..

Kwa Wale Wanaopenda Kuigiza, JB Ametoa Naf...

Post Image

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, muigizaji na mkurugezi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu nchini, Jerusalem Films, Jacob Stephen ‘JB’ ametagaza fursa hii kwa wanawake wenyevipaji vya kuigiza. Kwa wale wanaopenda kuigiza, niliahidi kuwapa nafasi waigizaji wapya, nafasi zilizipo. Script inahitaji watu wafuatao, wanawake 6…umri 26…33..wawe wanavutia sana, wawe na uwezo mkubwa wa kuigiza. Awe tayari […]

Read More..

Bongo Movie Ina Kufa, Ni Swali Ninalokutana...

Post Image

Kuna swali nakutana nalo kila siku, bongo movie ina kufa. nataka niwaambie. ..bongo movie inapita katika kipindi ambacho tasnia zingine zilipita. ..kipindi ambacho hutokea baada ya kutamba kwa muda watu hutaka kuona vitu vipya. ..kama waliokuwepo wakishindwa kuleta ubunifu mpya basi wao watakufa kisanii na watu wapya watateka soko. ..llakini tasnia haitakufa. ..angalia katika b,fleva […]

Read More..

Habari Njema Kutoka kwa Shamsa na JB

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amewadokeza mashabiki wake kuwa wakae mkao kula kwani hivi sasa wapo chimbo NA jb wakiandaa kazi mpya itakayo kwenda kwa jina la BI MAPOZI. “Movie inayokuja nitakuwa na big boss, si unajua vicwa hivi viwili vikikutana. Itakuwa ni balaaa. Bonge la Movie inaitwa ( BI MAPOZI.)” Shamsa aliandika […]

Read More..

‘Kwa Heri Mwaka 2015 Karibu 2016’ Makal...

Post Image

UMEMALIZA mwaka 2015 tupo mwaka 2016 ambao kuna baadhi wanajenga matumaini huku wengine wakisubiri kama mimi kuona majaliwa ya mola kama kutakuwa nan a unafuu au ndio balaa zaidi katika tasnia ya filamu mwaka jana hali haikuwa shwari baada ya wasanii kupotea. Soko la filamu limeshuka sana huku kukiwa na sababu ambazo si za kitafiti […]

Read More..

Nimegundua Mabinti Wanashindwa Kutofautisha...

Post Image

Nakaribia 50 sasa na huku mtaani kwetu nimepewa heshima ya mzee wa mtaa… na kila j2 jioni huwa nasuluhisha kesi za wana ndoa…katika kesi nyingi nimegundua mabinti wanashindwa kutofautisha mume na mwanaume wa starehe (boyfriend) na ndio maana una weza ukaenda harusini watu wakabeza aiii kampendea nn??? Anamefata hela tuu…sababu kuna vitu mnaviangalia ambavyo si […]

Read More..

JB Awataka Radhi Mashabiki

Post Image

MKALI wa filamu za kibongo, JB amewaomba radhi mashabiki wake kwa mkosa mbalimbali ya kiufundi ambayo yalitokea kwenye baadhi ya kazi zake mwaka uliopita na amewataka waendelee kumuunga mkono mwaka huu. ‘Niwashukuru mashabiki wangu kwa kuendelea kuniunga mkono hasa kwenye filamu yangu ya Chungu cha Tatu ambayo nimeiachia wiki chache zilizopita nawaahidi kazi nzuri zenye ubora zaidi mwaka huu,’ aliandika JB kwenye ukurasa wake wa Facebook.  

Read More..

JB Afunguka ya Moyoni Kuhusu Richie

Post Image

JB ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa na Richie. “Wakati tunaelekea kutimiza miaka 15 ya Jerusalem films company nitakuwa nawashukuru watu ambao kwa kiasi kikubwa wamegusa maisha na kutoa mchango kwa Jerusalem, wa kwanza ni huyu Richie. Wewe ni ndugu yangu umenifanyia mengi sana, kwa kifupi […]

Read More..

JB Huwa Anatumia Jina Hili Kwenye Kazi za K...

Post Image

Erick ford, ni jina ninalo litumia kwenye filamu zangu za kitapeli, ni muendelezo wa filam za kitapeli ninazo zifanya mara kwa mara. Nilianza na Signature ikafuata Senior Bachelor halafu Mzee wa Swaga kote nilitumia Erick ford. Mwezi wa pili tutakuja na filamu ya namna hizo inaitwa…Kalambati Lobo, safari hii nimemshirikisha Diana kimaro. Jacob  Stephen ‘JB’ […]

Read More..

JB:Ubora wa Filamu Kwanza,Pesa Baadae

Post Image

Staa mkongwe wa Bongo Movies, Jacob Steven ‘JB’ amesema anachoangalia kwenye kazi yake ni kutengeneza filamu zenye ubora kuliko pesa atakayoipata kwenye mauzo ya filamu yenyewe. ‘’Wakati mwingine nakuwa kama kichaa nikitengeneza movie zangu siangalii namna ambavyo nitapata faida kubwa,naangalia jinsi ambavyo naweza kutengeneza kitu kizuri,naaamini katika maisha kuacha historia bora kuliko kitu chochote,hadi sasa […]

Read More..

Wapenzi na Mashabiki wa Jerusalem Films na ...

Post Image

Kutoka kwa mkurugenzi wa Jerusalem films, Jacob Stephen ‘JB’ RATIBA kutoka Jerusalem films, movie yetu itakayo fata baada ya Chungu cha Tattu ni Chale Mvuvi, washiriki ni Shamsa Ford na Haji Adam ‘Baba Haji’, Mzee Halikuniki, Makombora , Mzee Chepuo na wengine. Movie hii ili tengenezewa zanzibar mwaka 2013, movie hii itafuatiwa na Kalambati Lobo, […]

Read More..