-->

Monthly Archives: April 2016

Nay wa Mitego Afunguka Kuhusu Siwema, Mzazi...

Post Image

Rapa Nay wa Mitego amefunguka na kuzungumzia nini kinaendelea baada ya kutangaza kumsaidia aliyekuwa mpenzi wake Siwema ambaye amehukumiwa kwenda jela miaka miwili kwa kosa la kumtukana shabiki kwenye mtandao wa kijamii. Nay na Siwema walifanikiwa kukaa kwenye uhusiano kwa kipindi kirefu na kufanikiwa kupata mtoto ambaye walimpa jina la Curtis kabla hawajatengana. Akizungumza na […]

Read More..

Hawawezi Kunikatisha Tamaa- Tico

Post Image

MTAYARISHAJI na muongozaji wa filamu kimataifa Timoth Conrad ‘Tico’ anasema hajakatishwa tamaa na atatangaza nchi kwa kufanya kazi zake kiweledi na kujivua Tanzania kwani anaipenda nchi yake na kupitia filamu amekuwa balozi mzuri kupeperusha bendera. “Hapa nyumbani kuna watu hawajui mchango wa mtu mwingine na hasa sisi ambao hatuonekani katika runinga lakini kitu kingine ni […]

Read More..

Dotto Kufanyiwa Movie Premiere Leo, Escape ...

Post Image

FILAMU ya Dotto ya mwanadada Irene Paul leo siku ya jumatano ya tarehe 27.April .2016 inatarajiwa kufanyiwa Premiere katika event iliyopewa jina la Bongo Movie Premiere katika ukumbi wa Escape one uliopo Mikocheni B . Usiku wa leo unaletwa na kampuni ya Steps Entertainment kwa kushirikiana na Escape one itashirikisha wasanii nyota kibao kutoka Swahilihood […]

Read More..

Nuh Mziwanda Afunguka Jinsi Alikiba Alivyom...

Post Image

Star wa Bongo fleva Nuh Mziwanda amefunguka kuhusiana na ugumu wa harakati za kutaka kufanya collabo na Alikiba kwani zilitaka hadi kumliza. Akizungumza na Enews Nuh amesema kuwa ilimchukua zaidi ya wiki mbili ili kumpata Kiba kwaajili ya collabo ila walivyokutana tu walipiga kazi na ikawa poa. Pia Nuh ameweka wazi kuwa amesha sahau mambo […]

Read More..

Dayna Nyange Afungukia Penzi la Prezzo

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Dayna Nyange amefunguka kuhusiana na tetesi kuwa waliwahi kutoka kimapenzi na Rapper kutoka nchini Kenya Prezzo na kwamba Prezzo alivunja mahusiano na mpenzi aliye kuwa naye. Akizungumza na Enewz Dayna amesema kuwa alikutana na Prezo kabla ya yeye kuwa star mkoani Morogoro katika show ambayo yeye alimfata A.Y kwaajili ya project […]

Read More..

Masoud Kipanya Arejea Rasmi Clouds FM

Post Image

Mtangazaji Masoud Kipanya Jumatano hii April 27 2016 atasikika tena kama mfanya kazi wa CloudsFM atasikika kwa mara nyingine tena Masoud ambaye alipata umaarufu sana kupitia vipindi mbalimbali vya CloudsFM toka kitambo hicho. CMG (Clouds Media Group) wamethibitisha hilo kupitia page ya Instagram kwamba Mtangazaji Masoud Kipanya anarejea kufanya kazi na atasikika kwenye show ileile […]

Read More..

Mr. Blue Amshushia Lawama Sugu, Kisa Wimbo

Post Image

Msanii Mr. Blue amelalamikia kitendo cha msanii mwenzake ambaye pia ni mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi au Mr. Sugu, kwa kuchukua wimbo aliomshirikisha na kuufanya wake bila ridhaa yake. Kwenye ukurasa wake wa instagram Mr. Blue ameandika ujumbe huku akiomba mashabiki wake wamshauri nini afanye, kwani Mr. Sugu anamheshimu kama kaka yake. “Ndugu […]

Read More..

Amanda Asubiri Ndoa Amuanike Hubby Wake

Post Image

Staa wa filamu za Kibongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ ameibuka na kusema kuwa amejifunza kuwa msiri kwenye uhusiano wa kimapenzi na sasa atamuanika mpenzi wake atakapokaribia kufunga ndoa. Akipiga stori na Ijumaa Amanda alisema kuwa, siku hizi amekuwa hapendi kuweka wazi kajiweka kwa mwanaume gani kutokana na historia ya maisha yake ilivyoathirika kwa kujianika. “Yaani mtu […]

Read More..

Diamond Afungukia ‘Reality Show’ Ya...

Post Image

Inawezekana wasanii wakubwa kutoka nchini Nigeria, P.Square ambao sasa hivi wako nchini South Africa wakishoot video ya ngoma mpya ya Diamond wakaonekana kwenye ‘reality show’ ya huyo ambayo itaanza kuonekana hivi karibuni,kwenye moja ya post zake kwenye page yake ya ‘Instagram’ aliandika kuwa shoo hiyo sio ‘kireality show’ bali ni ‘reality show’. ‘’Nikisema sio kireality […]

Read More..

Uzinduzi wa Tanzanite International Film Fe...

Post Image

Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye Jumapili hii mkoani Arusha amezindua tamasha kubwa la Kimataifa la Filamu, ‘Tanzanite International Film Festiva’. Waziri Nape aliwaambia wadau na waigizaji wa filamu waliohudhuria uzinduzi wa tamasha hilo, kuwa hii ni moja ya hatua kubwa kwenye historia ya filamu nchini na kuahidi Wizara yake itaendelea kutoa […]

Read More..

Sijawahi kuwa na Mahusiano na msanii Lady J...

Post Image

JayDee ameyasema hayo alipokuwa akijibu maswali ya papo kwa papo wakati akizindua video ya NdiNdiNdi kwenye kipindi cha FNL kinachorushwa na EATV.   Katika uzinduzi huo msanii huyo aliweka bayana kwamba ameandaa albam nzima ambapo ameanza kutoa single ya NdiNdiNdi na nyingine zitaendelea kutoka. Aidha amewashukuru watu wote ambao wanaendelea kumuunga mkono katika kazi zake […]

Read More..

Jide: Ray C Anahitaji Marafiki Sahihi

Post Image

STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ a.k.a Jide, amesema msanii mwenzake, Rehema Chalamila, anahitaji marafiki sahihi ambao watamsaidia katika kipindi hiki kigumu. Ray C ambaye amewahi kujihusisha na madawa ya kulevya, kwa sasa ameripotiwa kurejea kwenye matumizi hayo huku mara kadhaa ikiripotiwa kuwa mrembo huyo aliyekimbiza na Kibao cha Na Wewe […]

Read More..

Rose Ndauka Asema Aliumia Kuachana na Mpenz...

Post Image

Msanii wa filamu Rose Ndauka amesema hakuna kitu kilimuumiza katika maisha yake kama kuachana na mpenzi wake Malick Bandawe aka Chiwaman, siku chache kabla ya ndoa yao kufanyika. Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Rose Ndauka amesema aliumia kwa sababu alishatangaza kwa watu, kwamba anatarajia kufunga ndoa. “Kiukweli iliniumiza sana, kwa sababu mpaka tumefikia hatua tufunge […]

Read More..

Dotto Kuonyeshwa Kwenye ‘Bongo Movies Pre...

Post Image

Filamu ya Dotto iliyochezwa na mastaa wakali wa bongo movies wakionzwa na  Irene Paul pamoja na Patcho Mwamba itazinduliwa kwenye Bongo Movies Premiere pale escape one, Jumatano ya tarehe 27 mwezi huu. Mstaa kibao na wapenzi wa bongo movies wote watakuatana kuitazama filamu hiyo kwenye big screen siku huyo kuanzia saa 1 usiku. Usikose!

Read More..

Mussa Banzi wa Filamu ya Shumileta na Msiuk...

Post Image

Muongozaji mkongwe wa filamu na mwandishi wa stori za filamu, Mussa Banzi baada ya ukimya wa muda mrefu ameamua kurudi kwenye game la filamu ili kufanya mapinduzi. Banzi ambaye aliwahi kutamba na filamu kama Shumileta, Msiuka pamoja na Odama ambayo ilimtoa msanii Odama, ameiambia Bongo5 kuwa ameamua kurudi baada ya kuona tasnia ya filamu inayumba […]

Read More..

Papa Wemba Afariki Dunia Nchini Ivory Coast

Post Image

Mwanamuziki wa rhumba nchini DRC Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba maarufu kwa jina la Papa Wemba amefariki dunia leo nchini Ivory Coast. Papaa Wemba amefariki dunia baada ya kuugua ghafla akiwa katika shughuli za kimuziki ambapo alianguka ghafla jukwaani katika tamasha la Festival des Musiques Urbaines d’Anoumabo (FEMUA) linaloendelea Abidjan, Ivory Coast. Bado chanzo cha […]

Read More..

Pete ya Lulu ya Waacha Njia Panda Mashabiki...

Post Image

  Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewaacha njia panda mashabiki wake mtandaoni baada ya hii leo kubandika picha wenye ukurasa wake wa instagram ya pete kidoleni  kwenye ukurasa wake wa instagram na kuandika haya;   “Asante MUNGU Wangu Kwa Neema Zako ambazo hazijawahi kuniacha ??? Maana Hata hiki kitendo cha kishujaa kujinunulia Pete […]

Read More..

Fahamu Maana ya Ngoma NdiNdiNdi ya Lady Jay...

Post Image

Msanii wa Bongo Flava Judith Wambura maarufu kama Lady JayDee ameweka hadharani maana ya ngoma yake mpya inayotesa mtaani kwa sasa kwa jina la NdiNdiNdi. Akiitambulisha video ya wimbo huo kwa mara ya kwanza ndani ya FNL ya EATV Lady JayDee amesema kwamba maana ya wimbo huo ni ‘The Ndi Mimi ni kitu Tori wewe […]

Read More..