-->

Monthly Archives: April 2016

Meneja wa Diamond Ataja Anapokosea Alikiba...

Post Image

Akiongea kwenye mahojiano na gazeti la Champion, Sallam alisema: Sina tatizo kabisa, akitaka tufanye kazi nitamweleza mahitaji yangu akikubali tutafanya kazi. Nilishawahi kukutana na Kiba, Nairobi, alinifuata akaomba tupige picha, sikuwa na kinyongo, tukapiga ikawa safi japokuwa ile picha aliitumia kunitukanisha baadaye. Akifafanua kuhusu hilo, Sallam alisema: Hakuiweka yeye katika mtandao, aliitoa kwa mashabiki wake […]

Read More..

Bishanga: Waigizaji Wengi wa Sasa Wanaiga ...

Post Image

Mwigizaji Mkongwe ambaye alikuwa kwenye kundi la Mambo Hayo lililokuwa maarufu miaka ya 90, Bishanga Bashaija amesema kuwa waigizaji wengi wa sasa hivi wanaiga sana Umagharibi,ndio maana tamthilia nyingi za sasa zinaoonyeshwa kwenye runinga kwa sasa ni kutoka Latin America. “Waigizaji wengi wa sasa wa hapa nchini wanaiga sana Umagharibi,ndio maana tamthilia nyingi za sasa zinazonyeshwa […]

Read More..

Madaha: Nikikosa Faragha Siku 3 tu Naugua

Post Image

STAA wa muziki Bongo fleva na Bongo Movies, Baby Joseph Madaha ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa, starehe yake kubwa ni kuwa faragha na laazizi wake kiasi kwamba akipitisha siku tatu huwa anaugua. Akibonga na paparazi wetu kuhusu maisha yake ya kimapenzi, Madaha alisema kuwa kila mtu kuna kitu anakipenda hivyo yeye ugonjwa […]

Read More..

Nimeijua Thamani Yangu Nilipokuwa Burundi-S...

Post Image

Msanii wa filamu Shamsa Ford, amefunguka mambo mengi yaliyomtokea wakati akiandaa filamu yake mpya ‘Najuta Shamsa’ iliyofanyikia nchini Burundi na Tanzania. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Shamsa amesema mashabiki wa Burundi wamemfanya ajue thamani yake kama masanii. “Thamani yangu ya kuwa msanii nimeijua nchini Buruduni,” alisema Shamsa. “Nilivyopokelewa, kwanza kuanzia uwanja wa ndege, mule ndani […]

Read More..

Ukimya Wangu Umefanya Nijipange Zaidi ̵...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Lawrence Malima maarufu kama Marlaw ambaye alitamba na nyimbo nyingi kipindi cha nyuma kama Rita, Missing my baby, Bembeleza na nyinginezo amesema kuwa ukimya wake umempa nafasi nzuri ya kujipanga na kufanya kazi nzuri zaidi. Marlaw ambaye aliweza kutambulisha style ya kiduku kwa mara ya mwisho alitamba na wimbo wake wa […]

Read More..

Subirini Ngoma ya East Coast Team – M...

Post Image

Msanii mwana FA ameelezea sababu za kuvunjika kwa kundi la East Coast Team na kutoa taarifa za kurudi kwake, na kuwataka mashabiki wakae tayari kwa muda wowote kupata kazi kutoka kwao. Mwana FA ameyasema hayo leo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, na kusema kuwa majukumu ndiyo yalifanya kundi hilo kusambaratika kikazi, lakini kwa […]

Read More..

TANAPA Kutoa ‘Location’ kwa Wasanii

Post Image

MENEJA Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa (Tanapa), Pascal Shelutete, amesema wasanii wa filamu nchini wanatakiwa kutumia mandhari za asili zilizoko katika hifadhi za Taifa kwa ajili ya kurekodi filamu zao ili kutangaza utalii wa ndani. Shelutete alisema hayo katika tamasha la chama cha wasanii wa filamu wa jijini Arusha (TFDAA) katika Uwanja wa Sheikh Amri […]

Read More..

Kitale: Sina Fedha za Kuanzisha Kundi la Sa...

Post Image

MSANII wa filamu na vichekesho, Musa Kitale ‘Mkude Simba’, amesema hana mpango wa kuanzisha kundi la vijana wenye vipaji kwa sasa kwa kuwa hana fedha za kumudu shughuli hiyo. Alisema lengo lake ni kuanzisha kundi lakini kwa sasa hayupo tayari kwa kuwa hana fedha za kutosha. “Kwa kweli mpango wa kuwa na vijana ninao, kuna […]

Read More..

Picha: Odama Atoa Sadaka Kwenye Kituo cha K...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ akiwa na wasanii wenzake siku ya jana walitembelea na kutoa sadaka kwenye kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazigira magumu, kituo cha Kituo Cha UMRA Kilichopo Magomeni Mikumi  jijini Dar. Odama ambaye filamu yake mpya ya MKWE  imeigia sokoni hiyo jana, amewataka mashabiki wake waende madukani wakajipatie nakara […]

Read More..

Lulu Ashambuliwa kwa Maneno, Kisa Mama Kanu...

Post Image

KITENDO cha muigizaji wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, kudaiwa kutoa maneno yenye kuonesha sawa na kumtusi mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa, baadhi ya watu wamesema kuna dalili za msichana huyo kuitafuta laana. Hivi karibuni, mama Kanumba aliliambia gazeti moja nchini (siyo ya Global Publishers) kuwa tabia ya mpenzi huyo wa zamani […]

Read More..

Utata: Tunda Man Afunguka Juu ya Miujiza ya...

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Tunda Man, ameamua kuadithia mkasa mzima uliotokea kwenye ajali waliyoipata weekend iliyopita Mkoani Iringa na kusababisha kifo cha msanii mwenzao Man Katunzo. Akizungumza na Enewz Tunda Man amesema, “Wakati tupo njiani marehemu aliniita katika gari yake nikahama katika gari niliyokuwa nimepanda na kuhamia katika gari yake na wakati […]

Read More..

Nay Wa Mitego kumsaidia mzazi mwenzie ‘Si...

Post Image

Mahakama ya wilaya ya Nyamagana,Mkoani Mwanza jana ilimhukumu miaka miwili jela mzazi mwenzie na msanii Nay Wa Mitego, Siwema Edson kwa makosa ya kimtandao,msanii huyo anafikiria kuahirihisha shoo yake kwa mwisho wa mwezi huu ili aende Mwanza kumsaidia mama watoto wake huyo. ’Inabidi niondoke hivi karibuni ilibidi nisubiri nimalize shoo lakini kwa ajili ya kumpambania […]

Read More..

Davina Ajikita na Huku Sio kwenye Movie Pek...

Post Image

MWIGIZAJI wa kike wa Filamu Bongo Halima Yahaya ‘Davina’ anasema kuwa kaamua kuwa mjasiriamali badala ya kutegemea njia moja tu ya kuigiza wakati anakuwa na mahitaji mengi ni bora kuwa mjasiriamali kuweza kumudu maisha ya watu nyota. “Maisha magumu kwa sasa huwezi kutegemea kitu kimoja tu lazima ujishughulishe katika kuhakikisha unapata kile uanchotaka kama sasa […]

Read More..

Rammy Galis Apata Shavu la Kuigiza Movie Mp...

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini, Rammy Galis amepata shavu la kuigiza filamu mpya Nigeria iitwayo Her Shoes. Rammy alienda Lagos kumalizia kurekodi video yake iitwayo Red Flag lakini imebidi aendelee kuwepo huko baada ya kupata shavu la Nollywood. “KAZI niliyo onesha #Maproducer wa Nollywood katika #RedFLAG hatimaye imeleta Matunda. #MUNGU Amepokea Dua zenu , Ameweza Kunipa […]

Read More..

Baraka, Najma Wagandana Kama Ruba

Post Image

Mkali wa Ngoma ya Siwezi, Baraka Andrew ‘Barakah Da Prince’ amejikuta akilazimisha ile kauli ya abiria chunga mzigo wako, kutokana na kutompa mwandani wake, Najma Dattan ‘Naj’ nafasi ya kujiachia na watu wengine klabu na kugandana kama ruba. Tukio hilo lilijiri wikiendi iliyopita kwenye Ukumbi wa Maisha Basement uliopo Kijitonyama jijini Dar kulipokuwa na shoo […]

Read More..

Wimbo Utaongea Yaliyo Moyoni Mwangu –...

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda ambaye alikuwa akitoka kimapenzi na Shilole kabla ya kuachana amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yeye hataki kuongea jambo lolote ila mambo yote ambayo yanamsumbua moyoni mwake ameyaongea kupitia wimbo wake mpya.   Wimbo huo mpya Nuh ameupa jina la ‘Jike Shupa’ Siku kadhaa baada ya Shilole na Nuh Mziwanda kuachana kulizuka […]

Read More..

Wezi wa Filamu Kufungwa Jela Miaka Mitatu F...

Post Image

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) itaendelea na msako mkali kwa wafanyabiashara wote wanauza kazi za filamu na muziki bila kubandika stempu halali za kodi, ili kulinda kazi hizo kwa ajili ya kuwanufaisha wasanii pia kuhakikisha serikali inapata kodi kutoka na kazi za wasanii. Msako endelevu utahusisha kukamata bidhaa zote ambazo hazina stempu za kodi na […]

Read More..

Wastara Afungukia Kuvunjika kwa Ndoa Yake n...

Post Image

Msanii wa filamu Wastara Juma amefunguka na kuzungumzia kuvunjika kwa ndoa yake na Mbunge wa Donge kupitia CCM Sadifa Khamis Juma ambayo imeduku kwa kakribani miezi 3. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Wastara amesema mahusiano ya mapenzi ni kama mtu anavyoishi na rafiki yake, mkizinguana maachana. “Binafsi kwa sababu ni muda mchache naumia kuwakarahisha mashabiki […]

Read More..