-->

Monthly Archives: April 2016

Ukweli wa Kaka’ke Diamond Kubaka Sweden

Post Image

Mwisho wa utata? Hatimaye ukweli juu ya sakata la kaka wa staa wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Rommy Jones umeanikwa ndani ya Ijumaa Wikienda ambalo ni namba moja kwa habari za mastaa ndani na nje ya Bongo. Kabla ya gazeti hili kuchimba undani wa msala huo, kulienea tetesi mbalimbali kuwa Rommy ambaye ni […]

Read More..

Jide Ampeleka Ray C Kwenye Maombi

Post Image

Tenda miujiza Bwana! Lile sakata la mwanadada Rehema Charamila ‘Ray C’ kuandamwa na pepo mbaya wa utumiaji wa dawa za kulevya ‘unga’ hata baada ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ‘JK’ kumsaidia, inasemekana Mwanamuziki Judith Wambura ‘Jide’ ameambatana naye kanisani kwa ajili ya maombi. Kikimwaga ‘ubuyu’ mbele ya Ijumaa Wikienda, chanzo chetu kilitonya kuwa hivi karibuni […]

Read More..

Mtanzania Ashinda Tuzo ya Filamu za Kigeni ...

Post Image

SOKO la filamu za Tanzania limezidi kujitangaza nje ya nchi baada ya Filamu ya ‘Daddy’s Wedding’ iliyoongozwa na Mtanzania, Honeymoon Aljabri, kushinda tuzo ya filamu bora ya kigeni katika tamasha la filamu za kimataifa lililofanyika juzi katika Hoteli ya Double Tree mjini Houston Marekani. Honeymoon ambaye pia ndiye prodyuza wa filamu hiyo, alisema furaha yake […]

Read More..

Picha: Ajali Aliyoipata Msanii Tunda Man Ir...

Post Image

Staa wa bongo Fleva,Tunda Man  amepata ajali  mapema hii leo huko mkoani Iringa. Maelezo ya mwanzo ya Tunda Man amesema ‘Tulikua tunatoka Njombe baada ya kumaliza show yetu na tukasema bora tusilale tuwahi kufika Dar,tumetoka Njombe saa 10 alfajiri mimi nikawa nasikia usingizi nikamwambia mwanangu hebu tuendeshe kidogo,kufika kijiji cha Idetelo kilomita kama 20 au […]

Read More..

Lady Jaydee na EFM Wameingia Kwenye Ubia Ga...

Post Image

Wenyewe wanasema ‘Huu Mchezo Hauhitaji Hasira’. Ni mchezo upi huo? Usemi huu ulianza baada ya EFM kuwapora watangazaji wawili wa Clouds FM, Gerald Hando na Paul James kabla ya wao nao kuporwa mtangazaji wao, Gardiner G Habash. Na sasa movie linaendelea kunoga. Lady Jaydee anayefahamika kuwa mgogoro mzito na Clouds FM na aliyekuwa mke wa […]

Read More..

Mafufu Adaiwa Kuzabwa Kibao na Mkewe

Post Image

Kali tuliyoinasa inamhusu msanii maarufu wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu ambaye inadaiwa juzikati alijikuta akinaswa kibao na mkewe baada ya kumsifia msichana aliyemuona kwenye TV. Chanzo ambacho ni ndugu wa mke wa Jimmy kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, siku hiyo walikuwa wakitazama filamu kwenye TV, Jimmy akaonekana kuvutiwa na mdada mmoja na kuanza […]

Read More..

Wanaosema Sina Kazi Wanakosea- Idris Sultan

Post Image

Mchekeshaji maarufu nchini Idris Sultan amesema kwamba wanaosema hana kazi na anazurura tuu kwenye mitandao ya kijamii wanakosea kwa sababu yeye ni msanii. Idris amefunguka hayo alipokuwa akihojiwa na mtangazaji Salama Jabir katika kipindi cha Mkasi Tv Show kinachotushwa na EATV. ”Mimi ni ‘Celebrity’ na kwangu kuwa kwenye mitandao ya kijamii kwangu ni kazi kwa […]

Read More..

Ommy Clayton Amleta Gabo na Kitu

Post Image

MTAYARISHAJI na mtunzi mahiri wa filamu za Kibongo  Omary Clayton ‘ Ommy Clayton’ wiki ijayo anatarajia kuachia filamu yake kali nay a kusisimua ya Kitu ambayo amewashirikisha wasanii wakali kama vile Ahmed Salim ‘Gabo’ na wengine. “Safari hii nimejipanga zaidi kikazi kwani filamu yangu ya Kitu si mchezo unakutana na msanii Gabo kafanya maajabu humo, […]

Read More..

Nina Mchango kwa Vanessa Mdee- Ommy Dimpoz

Post Image

Ommy amefunguka hayo katika kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na kituo cha EATV ambapo ameweka bayana kwamba kwa jinsi alivyomfahamu Vanesa Mdee ni mtu wa Kimataifa siku nyingi kwa maana alivyofanya naye huo wimbo alikuwa kwenye ‘media’ kubwa ila alikuwa hajapata pa kutokea tuu. ”Nilipomshirikisha kwenye wimbo wa ‘Me and You’ ikawa kama ni gari […]

Read More..

Mr.Blue: Nilipanga Kuoa Siku ya ‘Birthday...

Post Image

Staa wa bongo fleva Mr. Blue  ambaye amefunga ndoa hivi juzi na mkewe Wahyda ambapo hivi sasa wako visiwani Zanzibar kwenye fungate, ameeleza kuwa alipanga kufunga ndoa yake kwenye siku yake ya kuzaliwa. ‘’Haikuwa ghafla ila ghafla kwa wananchi ila kwangu mimi ni kitu ambacho nilikuwa nimepanga karibu mwezi nyuma nilipanga nioe siku ya ‘birthday’ […]

Read More..

Q Chiller Adondokea kwa Diamond Platnumz

Post Image

MKALI wa wimbo wa ‘Mkungu wa Ndizi’ aliyerudi kwa kasi katika muziki wa Bongo Fleva, Abubakari Shaaban maarufu Q Chiller, amesema kwa sasa anatamani kufanyakazi na Diamond Platnumz. Q Chiller alifafanua kwamba anatamani kufanya kazi na Diamond kwa kuwa wote wana uongozi unaojua kazi zao lakini anajipanga kwanza kwa kuandaa wimbo mzuri utakaowawezesha kurudisha fedha […]

Read More..

Mzee Zorro Alinifundisha Vitu Hivi Tangu Ut...

Post Image

Msanii mkongwe kwenye muziki wa Bongo Fleva,Banana Zorro amesema kuwa ameamua kufanya kitu ambacho amekuwa akifundishwa tangu utotoni kupitia kwa mzee wake Zahir Ally Zorro ambaye pia ni mwanamuziki wa siku nyingi,amezungumza hayo kwenye kipindi cha Power Break Fast jana. “Kwangu mimi ilikuwa tofauti, niliamua kufanya kitu ambacho nimekuwa nikifundishwa tangu utotoni kupitia Mzee wangu, […]

Read More..

Rammy Gallis Achukia Kuitwa Kanumba Feki

Post Image

MAMBO vipi mpenzi msomaji wangu, kama ilivyo kawaida yetu ni kukupa wewe msomaji kitu roho inapenda kwa kuwa tunajua unapenda kujua maisha halisi ya mastaa wetu wa hapa Bongo. Leo aliyetupendezeshea ukurasa wetu ni muigizaji anayefananishwa na marehemu Steven Kanumba, Rammy Gallis anayeishi maeneo ya Chang’ombe jijini Dar. Ili kujua maisha yake halisi, twende pamoja […]

Read More..

Lulu Afunguka, Mama Kanumba Ajibu

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ anadaiwa kulinogesha bifu lake na mama wa aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegeo kufuatia posti yake ya hivi karibuni akiashiria kumtisha mama huyo. Lulu juzikati alitupia ujumbe mtandaoni akimjibu mmoja wa mashabiki wake aliyeuliza sababu ya yeye na mama Kanumba kutoiva ambapo aliandika: “…ni […]

Read More..

Odama Kuanza Mwaka na Filamu ya Mkwe

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Jeniffer Kyaka maarufu kama Odama anakuja na movie yake mpya ya ‘Mkwe’. Odama ni miongoni kati ya wasanii wenye vipaji vya kuigiza kwenye kiwanda cha Bongo Movie. Mpaka sasa amefanikiwa kufungua kampuni yake ya production (J Film For Life) ambayo tayari ameshafanikiwa kupata deals kadhaa. Tarehe 25 ya mwezi huu wa […]

Read More..

Muda ukifika nitaongea – TID

Post Image

Baada ya KR kujitambulisha kuwa yeye ndiye Rais wa RADA Entertainment na Juma Nature kumpinga kwa kejeli akisema hamtambui Rais yoyote zaidi ya Rais Magufuli hatimaye TID anyoosha maelezo. T.I.D amesema muda ukifika watamuapisha rasmi KR Mulla kuwa Rais wa Radar Entertainment na kutoa sababu za kufanya kazi na KR Mulla katika label yake. Zaidi […]

Read More..

Shilole Alazwa Hospitali Baada ya Kuzidiwa ...

Post Image

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva,  Shilole amelazwa hospitali baada ya kuzidiwa usiku wa jana.   Akiongea na Bongo5, Babalevo ambaye yupo katika hospitali aliyolazwa muimbaji huyo iliyopo Kinondoni, amedai kuwa usiku wa jana alichemka kiasi cha kukosa nguvu na kulazimika kupelekwa hospitali. Aliwekewa drip kushusha homa hiyo na madaktari wamemshauri apate muda wa […]

Read More..

Bi Kidude Kukumbukwa Unguja na Dar

Post Image

FILAMU ya maisha ya Bi Kidude inatarajiwa kuzinduliwa Aprili 16 visiwani Zanzibar katika Ukumbi wa ZanCinema mjini Unguja. Filamu hiyo pia itazinduliwa  Dar es Salaam Aprili 19 mwaka huu. Mwandaaji na mtayarishaji wa filamu hiyo, Andu Jones, alisema filamu hiyo itabeba ujumbe kuhusu maisha ya bibi huyo na kueleza kifo chake ikiwa katika lugha ya […]

Read More..