Ally Star: Taarabu Itakufa Tusipoisaidia
MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa taarabu nchini, Ally Star, ameweka wazi kwamba muziki huo upo hatarini kutoweka endapo juhudi za kuunasua hazitachukuliwa. Ally ambaye ni msanii wa kundi la sanaa la Tanzania One Theatre (TOT), alisema kiwango cha muziki kimeshuka ikilinganishwa na miaka ya 1980. Alisema muziki wa taarabu hivi sasa umekutana na changamoto nyingi […]
Read More..