Jay Moe: Wasanii Wanaokula ‘Unga̵...
Msanii wa hip hop nchini Tanzania Jay Moe au wengine wanapenda kumuita kwa jina la mzee wa pesa madafu amekutana na camera ya eNewz na amezungumzia kuhusu swala la madawa ya kulevya ambalo limekuwa gumzo katika siku za karibuni. Gumzo hilo limekuwa kubwa hasa baada ya picha za aliyekuwa mshiriki wa Big Brother Africa kuonekana naye […]
Read More..