-->

Daily Archives: January 21, 2017

Maneno ya Mike Sangu kwa Mama Kanumba Baada...

Post Image

KUTOKANA na hivi karibuni mama wa aliyekuwa staa mkubwa wa filamu, Steven Kanumba, Flora Mtegoa kumwanika kijana Fredy Swai kuwa ndiye mrithi wa mwanaye, msanii wa filamu nchini, Michael Sangu ‘Mike’ (pichani juu) ameibuka na kusema mama huyo na watu wengi waache kumfananisha staa huyo na watu wa ajabu ajabu.   Akizungumza na Gazeti la […]

Read More..

Usichokijua kwenye remix ijayo ya Aje ya Al...

Post Image

Aje ni wimbo wa Alikiba uliompa mafanikio makubwa mwaka jana ikiwemo tuzo kadhaa za video bora ya mwaka ikiwemo ile ya Soundcity MVP Awards. Baada ya kuwepo version yenye verse toka kwa rapper Jude ‘M.I’ Abaga aka Mr Chairman wa Nigeria iliyovuja hata kabla ya official video, mashabiki walikuwa wamekaa tamaa kuwa hakutokuwepo na official […]

Read More..

Davina: Magufuli Ametunyoosha!

Post Image

MTOTO mzuri Bongo Movies, Halima Yahaya ‘Davina’, ameweka ‘plain’ kuwa uongozi wa Rais Dk. John Pombe Magufuli si wa mchezomchezo kwani ili uweze kuishi, lazima utoke jasho kwelikweli tofauti na zamani ambapo mtu ulikuwa unaweza kupiga ujanjaujanja na maisha yakaenda. Davina alifunguka hayo alipokuwa akitoa tathimini yake kuhusu hali ya kiuchumi alipokutana na mwanahabari wetu […]

Read More..

New Video: Madee – Hela

Post Image

Tazama video ya wimbo wa Madee, Hela iliyoachiwa Jumamosi hii.

Read More..

Miriam Ismail: Kansa ya Bongo Muvi Ni Stori...

Post Image

KIPAJI chake kimeanza kuonekana alipokuja na filamu ya ‘Best Man’ ambayo iliandaliwa na 5 effect chini ya William Mtitu.  Hapo utajua kuwa binti huyu hakuvamia fani bali hicho ndio kipaji chake alichotoka nacho tumboni kwa mama yake. Filamu ya Best Man ilizua gumzo nchi nzima kwani alionyesha jinsi gani uhalisia unatakiwa nadhani ingekuwa kipindi hiki […]

Read More..

Dokii Afunguka Kumzimia Daraka

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Dokii ameshindwa kuzuia hisia zake za mahaba kwa rapa darassa anayekiki zaidi kwa sasa hapa Bongo na ngoma yake ya Muziki, na kuamua kueleza wazi kuwa anampenda sana. Dokii ambaye amekuwa kimya muda mrefu kwa kutofanya kazi yoyote mpya ya sanaa, amesema kwa sasa anamkubali sana Darassa kupitia kazi yake ya […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afungukia ya Skendo ya Kuwekwa ...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Ommy Dimpoz amekanusha tetesi zilizozagaa kwamba amewekwa ndani kimapenzi maeneo ya mbezi  na jimama ambalo lina mahusiano naye kumapenzi. Akiongea kupitia eNEWZ ya EATV, Ommy amesema kwa sasa anaishi Mikocheni Dar es Salaam na hajawahi kuwekwa ndani na mwanamke yeyote kwa kuwa anasema mpenzi wake wa sasa ni mchina […]

Read More..