Mama Kanumba: Huyu Ndiye Mrithi wa Kanumba,...
DAR ES SALAAM: Wakati ikiwa inakaribia miaka mitano tangu Aprili 7, 2012, ambapo aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, Steven Kanumba, alipoaga dunia, mama yake mzazi Bi. Flora Mtegoa ametembelea kaburini kwa marehemu mwanaye siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake akiwa ameambatana na kijana aliyemuanika kuwa ndiye mrithi wa muigizaji huyo nambari one nchini. Katika makaburi […]
Read More..