Pacha’ wa Harmonize Aangua Kilio Stejini
HARMORAPA, msanii chipukizi wa Bongo Fleva anayefanana sana kwa sura na msanii kutoka WCB, Harmonize kiasi cha kubatizwa jina la ‘Pacha wa Harmonize’, juzikati aliangua kilio stejini baada ya kukutana kwa mara nyingine na mkali huyo wa Ngoma za Matatizo, Aiyola na Bado, baada ya kupita muda mrefu bila kuonana. Tukio hilo ‘ameizing’ lilijiri juzikati […]
Read More..