Aunt Ezekiel Afungukia Matendo Machafu ya W...
Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja Aunt Ezekel amedai matendo machafu ya wasanii wa filamu ni moja kati ya vitu ambavyo zimechangia kushuka kwa soko la filamu nchini. Muigizaji huyo ambaye kwa sasa yuko kwenye mahusiano ya kudumu na dansa wa WCB, Mose Iyobo amedai wasanii wengi wa filamu wameendekeza starehe kuliko kasi. […]
Read More..





