-->

Daily Archives: February 23, 2017

Wema Sepetu Ajiunga na CHADEMA Rasmi

Post Image

Chama cha Demokrasia na Maendeleo kunatarajia kuwakaribisha wanachama wapya waliojiunga leo na chama hicho akiwamo msanii maarufu nchini wa fani ya uigizaji wa filamu, Wema Sepetu (28). Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilianio wa Chadema, Tumaini Makene amesema leo (Alhamisi) kuwa chama hicho kupitia Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe, baada ya kesi ya […]

Read More..

VIDEO: Jaydee Kutambulishwa Ukweni

Post Image

Mwanamuziki mkongwe katika muziki wa bongo fleva, Lady Jaydee amefunguka na kusema mwezi wa nne mwaka huu anategemea kutambulishwa ukweni kwa mchumba wake Spicy nchini Nigeria. Mbali na hilo Lady Jaydee amewataka watanzania pamoja na vituo mbalimbali vya radio kuacha uchonganishi kwa kuwapambanisha wasanii kwani kwa kufanya hilo ndiyo inajenga chuki na kufanya mashabiki waanze […]

Read More..

Irene Uwoya: Natamani Kuwa Mchungaji wa Kan...

Post Image

Muigizaji wa filamu Bongo, Irene Uwoya, amesema ndoto yake kubwa tangu akiwa mtoto ni kuwa mchungaji wa kanisa. Akiongea kwenye Kikaango Live cha EATV, Uwoya amedai kuwa tangu akiwa mdogo alikuwa akiomba aje kuwa mchungaji kitu ambacho hata mama yake anajua. Anadai kuwa alikuwa na uwezo hata wa kumuombea mtu na mambo yake yakanyooka. Na […]

Read More..

Lissu Kumtetea Wema

Post Image

Dar es Salaam. Wakati Wakili Tundu Lissu akijitokeza kumtetea msanii maarufu wa fani ya uigizaji wa filamu, Wema Sepetu katika kesi ya kukutwa na bangi, mrembo anayepamba video za wasanii nchini, Agnes Gerald maarufu Masogange (28) amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kutumia dawa za kulevya. Lissu ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), alijitokeza […]

Read More..