Prezzo Akanusha Kutaka Kumuua Mke Wake
NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘CMB Prezzo’, amekanusha taarifa kwamba anamtishia kifo aliyekuwa mke wake, Michelle Yola. Wiki iliyopita kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya kulikuwa na taarifa kwamba Michelle anatishiwa kifo na mkali wa mavazi ‘King of Bling’ Prezzo, lakini msanii huyo amekanusha na kusema Michelle anatafuta kiki. “Niliweka wazi kuwa sina […]
Read More..





