Lady Jay Dee Shabiki Namba Moja wa Asley
Dar es Salaam. Mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva, Lady Jay Dee amekiri wazi kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa Aslay na huwa anamsikiliza mara kwa mara. Komando Jide katika moja ya mahojiano na kituo cha habari anasema, Aslay ndio msanii anayemkosha kwa sasa sababu ana sauti nzuri ambayo huwezi kuisikia sehemu nyingine ila kwake. “Naupenda […]
Read More..





