-->

Author Archives: editor

Wasanii Wanamkimbia Marco Chali – Mas...

Post Image

Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mmiliki wa studio ya ‘Mj Records’ Master J amefunguka na kusema kuwa ukimya wa ‘Producer’ Marco Chali kwenye muziki unatokana na wasanii wengi kuogopa gharama zake. Master Jay alisema haya kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kudai kuwa wasanii wamekuwa wakiwakimbia watayarishaji wa muziki ambao wameweka […]

Read More..

Diamond:Najisikia Niachie Mpya Nyimbo Leo

Post Image

Huwenda Diamond Platnumz anataka kutimiza ahadi yake ya kuachia wimbo mpya baada ya wimbo wake ‘Kidogo’ aliowashirikisha wasanii wa kundi la P Square kufikisha views 4,764,307 katika mtandao wa YouTube. Uongozi wa Diamond Platnumz uliahidi kuwa endapo video ya wimbo ‘Kidogo’ ikifikisha views milioni 5 katika mtandao wa Youtube basi watatoa zawadi kwa mashabiki wao […]

Read More..

Diamond Kama Vipi Malizia Bongo Muvi

Post Image

NIMEKUWA nikikagua kwa umakini sana video za wasanii mbalimbali hususan wa Bongo Fleva katika ubora wake ili kujiridhisha kama bajeti za kushutia wanazozitaja zinalingana na ukweli halisi kwa kuzingatia mambo mbalimbali ya kiweledi. Kwenye kwaliti sio inshu lakini kwenye uhalisia ndiyo inshu na kichupa kikibamba na kuwa poa kwa levo inakuwa njema, kinapagawisha na kila […]

Read More..

AISHA BUI Kimya Changu Kina Mshindo

Post Image

BAADA ya kimya cha takribani miaka mitatu, msanii wa filamu za Kibongo, Aisha Bui ameibuka na kudai kuwa, mashabiki wake wajiandae kumpokea kwa kazi nzuri, zenye kusisimua. Akipiga stori na Gumzo la Town, Aisha Bui ambaye aliibuliwa na Filamu ya My Book iliyotayarishwa na mwigizaji nguli Deogratius Shija, ameeleza sababu za kukaa pembeni kwa muda […]

Read More..

Eshe Buheti Miaka 13 ya Ndoa, Siyo Mchezo

Post Image

MIONGONI mwa wasanii nyota wa filamu za Kibongo ni pamoja na Eshe Buhet. Uwezo wake wa kuigiza ndiyo uliomfikisha alipo leo hii, msanii huyu ambaye mchango wa mkongwe, Issa Mussa ‘Cloud 112’ ni mkubwa maana ndiye prodyuza wa kwanza kumchezesha na kumtambulisha. Eshe ambaye ni mzaliwa wa Tanga na kulelewa jijini humo alikuja jijini Dar […]

Read More..

Baraka Afunguka Kuhusu Ndoa ya Mr. Blue

Post Image

Msanii Baraka The Prince amezungumzia sakata la mpenzi wake Najma na Mr. Blue ambaye alikuwa mpenzi wake, na kusema tukio hilo halikuwa na ukweli wowote na hata kama lingekuwepo, hawezi kuzuia wawili hao kuwasiliana. Akizungumza kwenye kipindi cha Bongo Fleva Top 20 cha East Africa Radio, Baraka amesema yeye hawezi kuzuia wawili hao kuwasiliana kwani […]

Read More..

Shilole Atoboa Kilichomsukuma Kupatana na N...

Post Image

Baada ya hivi karibuni Sholole na Nuh Mziwanda kupatana, Shilole amefunguka na kuzungumzia nini kimemsukuma mpaka akapatana na mkali huyo wa wimbo ‘Jike Shupa’. Wawili hao ambao walikuwa wapenzi waliachana kwa kutupiana maneno huku Nuh Mziwanda akionekana kumlaumu Shilole kwa kumpotezea muda. Akiongea na Uhead ya Clouds FM Ijumaa hii, Shilole amedai ameamua kumaliza tofauti […]

Read More..

Filamu ya ‘Nani Zaidi’ Kuingia ...

Post Image

Filamu ya ” Nani Zaidi ” Inatoka Jumatatu Ya Tarehe 19 September 2016. Kuwa Wa Kwanza Kupata Nakala yako Original. Wahusika ni – Hemedy Suleiman – Tino Muya Na Wasanii Wengine wakali. Kamwe Usikubali Kununua Filamu ya ” Nani Zaidi ” kama Hanina Nembo ya Steps Entertainment LTD. Pia Kampuni Ya Steps Entertainment LTD Inatafuta […]

Read More..

Nipo Bongo Kumfuata Jack Wolper- Burundiano

Post Image

THAMANI ya Lugha yetu ya Kiswahili katika filamu kwa nje ni kubwa sana hadi wasanii wakubwa wameingia darasani kwa ajili ya kuigiza kama watanzania msanii mkubwa nchini Burundi Sururu Jafari ‘Burundiano’ nafunguka na kujivunia kuijua lugha hiyo na yupo nchini Tanzania akirekodi filamu na wasanii wa Bongo. Burundiano akikagua vifaa vya Production kabla ya kuanza […]

Read More..

MO Music Atoboa Siri ya Kutengana na Baraka

Post Image

Nyota wa Bongo Fleva kutoka jijini Mwanza MO Music amefichua sababu ya kundi la Wazawa, na kueleza kuwa ugomvi binafsi wa T Nocks na Baraka The Price ndiyo uliopelekea kundi hilo kuvunjika. Mo Music alikuwa ni memba wa kundi hilo lililokuwa likiundwa na wasanii kutoka lililojulikana kwa jina la WAZAWA, lililokuwa likiundwa na yeye (MO […]

Read More..

Shilole na Nuh Mziwanda Wamaliza Nifu Lao

Post Image

Ilikuwa ni ‘break up’ iliyofuatiwa na uadui mkubwa. Ilipelekea hadi Nuh Mziwanda kuandika wimbo ‘Jike Shupa’ uliomlenga ex wake Shilole. Haikuishia hapo, wawili hao waliendelea kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii na kwenye mahojiano na kulaumiana kwa mengi. Hata hivyo mlalamikaji mkubwa alikuwa Nuh aliyemwelezea Shishi kama mwanamke aliyempotezea muda wake na kumkwamisha kwenye muziki. […]

Read More..

Uhuru Wangu Umepungua Tangu Niolewe –...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amesema kuwa maisha yake kwa sasa yamepungua uhuru baada ya kuingia katika ndoa Kupitia camera za eNewz Shamsa amesema “Kwa sasa uhuru umepungua, hata zile ‘outs’ sasa zimepungua” Alipoulizwa kama je ndoa yake itabadilisha mtindo wake wa uigizaji, Shamsa alisema “Mimi bado ni m’bongo movie na mume wangu ananielewa, […]

Read More..

Nataka Nisimame na Mashabiki Zangu – Ruby

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, mwanadada Ruby ambaye amewahi kutamba na wimbo wake wa “Na Yule’ amefunguka na kusema kwa sasa amebadili uongozi wake na kujisimamia yeye kwani anataka kusimama yeye pamoja na mashabiki zake. Ruby alisema hayo kwenye kipindi cha eNewz na kudai kuwa yeye aliamua kubadili uongozi kwa sababu anataka kusimama yeye kama yeye […]

Read More..

Kidoa Nusura Aachike

Post Image

WIKI kadhaa tangu aingie katika uhusiano na jamaa mmoja anayedaiwa kuwa ni kigogo, muuza nyago kwenye video za Kibongo, Asha Salum ‘Kidoa’ kidogo anusurike kuachwa na kigogo huyo baada ya kufumwa meseji za wanaume wengine kwenye simu yake. Kwa mujibu wa chanzo kilicho karibu na muuza nyago huyo, tangu ameanzisha uhusiano na kigogo huyo, ameonekana […]

Read More..

Snura Ajipa Cheo Hiki Kwenye Mziki

Post Image

Mwanamuziki na muigizaji nchini, Snura Mushi, ameamua kujipa cheo cha Malkia wa Uswazi pasipo kujali ya kuwa yupo mwanamuziki mwenzake, Shaa, ambaye kuanzia hapo awali alikuwa akijiita kwa jina hilo. Snura  kupiga na eatv story kuhusu kujiita ‘Malikia wa Uswazi’ suala ambalo Snura alisema yeye amekulia kwenye maisha ya Uswahilini (Uswazi) na hata nyimbo ambazo […]

Read More..

Picha: Wasanii na Viongozi wa WCB Wakiwa Ny...

Post Image

Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete Jumatano hii aliwaalika wasanii wa label ya WCB pamoja na viongozi nyumbani kwake na kula nao chakula cha mchana. Diamond na Rais mstaafu, Jakaya Kikwete JK ambaye ni mmoja kati ya marais ambaye amesupport sana wasanii wa muziki nchini, aliwaalika wasanii hao nyumbani kwake na kuzungumza nao […]

Read More..

Sijawahi Kumsaliti Zari – Diamond Platnumz

Post Image

Msanii Diamond Platnumz alipokuwa kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio wiki kadhaa zilizopita alifunguka na kusema kuwa katika maisha yake toka ameanza kuwa na mahusiano na Zari hajawahi kumsaliti. Diamond Platnumz anasema kuwa moja ya sababu kubwa kwa yeye kutomsaliti mpenzi wake huyo kwanza ni kwa sababu wanaonana mara kwa mara lakini […]

Read More..

Davina: Filamu Imebuma, Najiongeza

Post Image

MSANII wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameweka wazi kuwa baada ya sanaa hiyo kuonekana kubuma, sasa ameamua kujiongeza kwa kufanya biashara ya kufuata bidhaa nje ya nchi. Akipiga stori na gazeti hili, Davina alisema baada ya kumaliza kampeni za uchaguzi ameamua kujikita kwenye biashara ya kusafiri nje ya nchi kutokana na soko la […]

Read More..