Wasanii Wanamkimbia Marco Chali – Mas...
Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mmiliki wa studio ya ‘Mj Records’ Master J amefunguka na kusema kuwa ukimya wa ‘Producer’ Marco Chali kwenye muziki unatokana na wasanii wengi kuogopa gharama zake. Master Jay alisema haya kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kudai kuwa wasanii wamekuwa wakiwakimbia watayarishaji wa muziki ambao wameweka […]
Read More..







