-->

Author Archives: editor

Jana Ilikuwa Siku ya Kuzaliwa ya Chid Benz,...

Post Image

Siku ya jana ilikuwa siku ya kuzaliwa kwa msanii chid benz ambaye yupo sober ‘bagamoyo sober house’,takribani miezi miwili na alipelekwa huko baada ya afya yake kuonekana kudhoofika kwa kiasi kikubwa na kuwatisha watu wengi hadi kumfanya babutale amshauri aingie sober house. Lakini kwa sasa amekuwa na mabadiliko makubwa katika muonekano wake ukilinganisha na jinsi […]

Read More..

Wolper Afungukia Kutokuvaa Nguo za Kiume Kw...

Post Image

Mwigizaji kutoka kiwanda cha filamu bongo, Jacqueline Wolper amesema mchumba wake ndiye sababu iliyomfanya apunguze kuvaa nguo za kiume. Akiongea kwenye kipindi cha Nirvana, kinachoruka kupitia EATV, Wolper alisema ‘nilikuwa navaa vile kutokana na wakati ule, sasa hivi nimeshakuwa na mchumba’. “Nilikuwa navaa vile kutokana na wakati ule ulivyokuwa. Kuna watu walikuwa wanapenda, lakini sasa […]

Read More..

Giggy Money: Nafanya kwa Ajili ya Kutengene...

Post Image

Video queen aliyetokelezea kwenye video kibao za bongo Gigy Money ameamua kufunguka juu ya masinema yake. Giggy ambaye haishi vituko na kuibua mapya kila siku mitandaoni aliiambia eNewz kuwa yeye wala hajali maneno ya watu na anapenda sana yale mapicha picha yake ya utupu. “Mimi sipo kwa ajili ya kiki mimi napenda kile ninachokifanya na […]

Read More..

Naonyesha Mali Zangu Kuwapa Nguvu Vijana-Na...

Post Image

Msanii Nay wa Mitego amesema mara nyingi yeye hupenda kuonesha vitu anavyo miliki zikiwepo gari, nyumba hata pesa kwa lengo kuu moja, anadai anafanya hivyo ili kuwatia moyo vijana ambao wamekata tamaa. Amesema anafanya hivyo kwa kuwa yeye mwenyewe alitoka katika maisha magumu ambayo alikuwa hadhani kama angeweza kufikia mafanikio hayo lakini alipambana na kupigania […]

Read More..

Nilipenda Sana Ugomvi Utotoni-Riyama

Post Image

Staa wa filamu nchini, Riyama Ally amesema wakati akiwa mdogo alikuwa anapenda sana ugomvi. Akizungumza na gazeti la Mwanaspoti Alhamisi hii, Riyama alisema wakati huo watu mtaani kwao walikuwa wanamuogopa. “Utotoni nilipenda sana ugomvi, yaani mtu asinichokoze ninaye huyo yaani nilikuwa napenda kupigana na kuingilia ugomvi hata kama haunihusu kiasi mtaani walikuwa wananiogopa, kitu ambacho nikikumbuka […]

Read More..

Nimesahau Habari za Shilole- Nuh Mziwanda

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Jike Shupa’ amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yeye alishasahau habari za Shilole hivyo hata wimbo wake huo mpya hajamuimbia Shilole Kama ambavyo baadhi ya watu walikuwa wakihisi kutokana na ujumbe uliopo kwenye wimbo huo. Nuh Mziwanda akizungumza na eNEWS alisema yeye hawezi […]

Read More..

Pete ya Uchumba Siyo Kigezo Kuwa Utaolewa- ...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kwamba siyo vizuri kuzungumzia masuala ya mchumba kwenye vyombo vya habari au kujitangaza sana kwani mtu unaweza kuishia kwenye kuvishwa pete ya uchumba tuu.   Wolper amefunguka hayo katika kipindi cha Nirvana kinachorushwa na EATV ambapo mtangazaji Deogratius Kithama alitaka kujua kwa undani kuhusu mwanadada huyo mrembo ni […]

Read More..

Faiza Ally Kuanzisha Biashara ya Vichupi Vy...

Post Image

Msanii wa filamu ambaye haishi vituko, Faiza Ally ameamua kuja kivingine kwa kuanzisha biashara mpya ya chupi za kuogolea. Kupitia ukurasa wa instagram, Faiza ameandika: Haya wapenzi wangu mimi#wapenzi wa beach# nawaletea chupi nzuri za kuogelea #swimming dress za wakubwa #watoto #wanaume na wanawake kaeni tayari kupendeza # beach mwenzie vichupi ama vepe ?? #Look […]

Read More..

Nay Wamitego na Niva Wavuana Nguo Hadharani

Post Image

Baada ya lile drama kati ya nyota wa Bongo movie, Niva Supermariyo, na Nay wa Mitego kushika moto kutokana na wimbo wa ‘Shika adabu yako’ ya Nay na Niva kuamua kumjibu kupitia filamu ambayo aliipa jina la ‘Maisha ya mtoto wa Manzese’. Sasa mastaa hao wameamua ‘kuvuana nguo’ hadharani kwa kila mmoja kuamua kumponda mwenzake. […]

Read More..

Hawa wa Nitarejea ya Diamond Ataka Menejime...

Post Image

Msanii Hawa ambaye alifanya poa kwenye moja ya collabo iliyotikisa Afrika Mashariki, Nitarejea ya Diamond, amefungukia suala la kupata uongozi na kumsimamia kazi zake za muziki. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na east Africa Radio, Hawa amesema anaogopa kutangaza kuwa anahitaji mtu wa kumsimamia (manager) kutokana na aliyoyapitia siku za nyuma, na kuhofia […]

Read More..

Kitazame Kipindi cha SCARS Ndani ya StarSwa...

Post Image

Maisha ya binadamu ni safari ndefu  tunayoweza kufananisha na barabara yenye milima na mabonde na vikwazo vingi sana. Vikiwazo na matatizo hayo hupelekea kutoa uhai kama si kuhatarisha maisha . Haya yote utayakuta ndani ya StarSwahili.Ni  matukio ya kweli  na Halisi yatakayo gusa hisia zako na kukufunza.Kujua zaidi. Angalia Trailer hapa https://www.facebook.com/TZStarTimes/ https://www.instagram.com/startimestz/

Read More..

Nay wa Mitego Afunguka Kuhusu Siwema, Mzazi...

Post Image

Rapa Nay wa Mitego amefunguka na kuzungumzia nini kinaendelea baada ya kutangaza kumsaidia aliyekuwa mpenzi wake Siwema ambaye amehukumiwa kwenda jela miaka miwili kwa kosa la kumtukana shabiki kwenye mtandao wa kijamii. Nay na Siwema walifanikiwa kukaa kwenye uhusiano kwa kipindi kirefu na kufanikiwa kupata mtoto ambaye walimpa jina la Curtis kabla hawajatengana. Akizungumza na […]

Read More..

Hawawezi Kunikatisha Tamaa- Tico

Post Image

MTAYARISHAJI na muongozaji wa filamu kimataifa Timoth Conrad ‘Tico’ anasema hajakatishwa tamaa na atatangaza nchi kwa kufanya kazi zake kiweledi na kujivua Tanzania kwani anaipenda nchi yake na kupitia filamu amekuwa balozi mzuri kupeperusha bendera. “Hapa nyumbani kuna watu hawajui mchango wa mtu mwingine na hasa sisi ambao hatuonekani katika runinga lakini kitu kingine ni […]

Read More..

Dotto Kufanyiwa Movie Premiere Leo, Escape ...

Post Image

FILAMU ya Dotto ya mwanadada Irene Paul leo siku ya jumatano ya tarehe 27.April .2016 inatarajiwa kufanyiwa Premiere katika event iliyopewa jina la Bongo Movie Premiere katika ukumbi wa Escape one uliopo Mikocheni B . Usiku wa leo unaletwa na kampuni ya Steps Entertainment kwa kushirikiana na Escape one itashirikisha wasanii nyota kibao kutoka Swahilihood […]

Read More..

Nuh Mziwanda Afunguka Jinsi Alikiba Alivyom...

Post Image

Star wa Bongo fleva Nuh Mziwanda amefunguka kuhusiana na ugumu wa harakati za kutaka kufanya collabo na Alikiba kwani zilitaka hadi kumliza. Akizungumza na Enews Nuh amesema kuwa ilimchukua zaidi ya wiki mbili ili kumpata Kiba kwaajili ya collabo ila walivyokutana tu walipiga kazi na ikawa poa. Pia Nuh ameweka wazi kuwa amesha sahau mambo […]

Read More..

Dayna Nyange Afungukia Penzi la Prezzo

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Dayna Nyange amefunguka kuhusiana na tetesi kuwa waliwahi kutoka kimapenzi na Rapper kutoka nchini Kenya Prezzo na kwamba Prezzo alivunja mahusiano na mpenzi aliye kuwa naye. Akizungumza na Enewz Dayna amesema kuwa alikutana na Prezo kabla ya yeye kuwa star mkoani Morogoro katika show ambayo yeye alimfata A.Y kwaajili ya project […]

Read More..

Masoud Kipanya Arejea Rasmi Clouds FM

Post Image

Mtangazaji Masoud Kipanya Jumatano hii April 27 2016 atasikika tena kama mfanya kazi wa CloudsFM atasikika kwa mara nyingine tena Masoud ambaye alipata umaarufu sana kupitia vipindi mbalimbali vya CloudsFM toka kitambo hicho. CMG (Clouds Media Group) wamethibitisha hilo kupitia page ya Instagram kwamba Mtangazaji Masoud Kipanya anarejea kufanya kazi na atasikika kwenye show ileile […]

Read More..

Mr. Blue Amshushia Lawama Sugu, Kisa Wimbo

Post Image

Msanii Mr. Blue amelalamikia kitendo cha msanii mwenzake ambaye pia ni mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi au Mr. Sugu, kwa kuchukua wimbo aliomshirikisha na kuufanya wake bila ridhaa yake. Kwenye ukurasa wake wa instagram Mr. Blue ameandika ujumbe huku akiomba mashabiki wake wamshauri nini afanye, kwani Mr. Sugu anamheshimu kama kaka yake. “Ndugu […]

Read More..