Jana Ilikuwa Siku ya Kuzaliwa ya Chid Benz,...
Siku ya jana ilikuwa siku ya kuzaliwa kwa msanii chid benz ambaye yupo sober ‘bagamoyo sober house’,takribani miezi miwili na alipelekwa huko baada ya afya yake kuonekana kudhoofika kwa kiasi kikubwa na kuwatisha watu wengi hadi kumfanya babutale amshauri aingie sober house. Lakini kwa sasa amekuwa na mabadiliko makubwa katika muonekano wake ukilinganisha na jinsi […]
Read More..





