-->

Author Archives: editor

Pichaz: Jinsi Wachimbaji 15 Walivyookolewa ...

Post Image

Wakiwa wameloa mwili mzima na tope la udongo mwekundu wa mgodini uliokuwa umezifunika nguo zao, wachimbaji hawa 15, hawakuamini macho yao baada ya kuliona tena jua kwa mara ya kwanza, kufuatia kuwa chini ya ardhi, kwa siku nne mfululizo. Miili yao haikuwa na nguvu, tumboni hakukuwa na kitu na njaa ya siku nne ilikuwa imewatafuna […]

Read More..

Mambo Matano (5) Ambayo Wastara Hatayasahau...

Post Image

Staa wa bongo movie ambaye maisha yake halisi yamekuwa yaki ‘make headlines’ kwa kiasi kikubwa, Wastara, ametaja mambo matano ambayo yamemuumiza zaidi maishani, na hatayasahau katika kipindi chote cha maisha yake Wastara akiwa kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV, amesema jambo la kwanza kubwa ambalo hataweza kulisahau ni kuondokewa na wazazi wake wote […]

Read More..

Ushindani Wanaoukataa ‘Bongo Movie’ Ume...

Post Image

KADRI siku zinavyokwenda ndivyo tasnia ya filamu inaonekana kudumaa huku muziki wa Bongo Fleva ukionekana kuzidi kukata anga. Achana na Diamond, Ali kiba na Vanessa Mdee, Bongo Fleva ina vichwa vingi vinavyoweza kuwa kielelezo cha ubora wa muziki wao. Ndani ya Bongo Fleva kuna Jux, Mr Blue, Barakah Da Prince, Kasim Mganga, Ney wa Mitego, […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kuhusu ‘Collabo&...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz ambaye kwa sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Kajiandae’ akiwa na Alikiba amefunguka na kusema hata yeye anaweza kufanya collabo na msanii yoyote yule kutoka WCB. Ommy Dimpoz alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWz cha (EATV) na kusema kwenye muziki kuna wakati unaweza kupata wimbo ambao unahitaji collaboration na msanii fulani ili […]

Read More..

Pichaz: Ujio wa Mpya wa Wema Sepetu Instagr...

Post Image

Staa mwenye jina kubwa hapa bongo,Wema Sepetu kwa mara ya kwanza mkwa huu, ameweka post yake ya kwanza kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, baada kufuta post zote kwenye ukurasa wake huo wenye followers zaidi ya  milioni mbili na nusu hapo mwezi desemba mwaka jana. Wema amewaahidi mambo mazuri mashabiki wake ndani ya mwaka […]

Read More..

Aunt Ezekiel Ahaha Kuzima Skendo Mbele ya M...

Post Image

UKIGUSA ‘Top 5’ ya wasanii wakike wanaofanya vyema kwenye tasnia ya filamu nchini, jina la Aunt Ezekiel ni lazima liwemo ndani yake. Hii imekuja baada ya kuweza kuhimili mabadiliko makubwa yaliyotokea na kuwapoteza wasanii wengi wenye haiba kama yake. Tulianza kumfahamu pale alipolitwaa taji la urembo jijini Mwanza na kufanikiwa kuliwakilisha Jiji hilo kwenye mashindano […]

Read More..

Chuchu: Mtoto Ameongeza Mahaba kwa ‘Babyâ...

Post Image

MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans ambaye hivi karibuni alijifungua mtoto wa kiume (Jayden), amesema mtoto huyo ameboresha mahaba niue kwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’. Akizungumza na Mikito Nusunusu, Chuchu alisema mtoto huyo amekuwa ni faraja kwao wote na mapenzi yameongezeka baina yake na mpenzi wake huyo kitu ambacho anamshukuru Mungu. “Jamani mwacheni […]

Read More..

Wastara Atoboa Sababu ya Kuacha Wanaume

Post Image

Msanii wa filamu, Wastara Juma ameweka wazi sababu kubwa ambayo ilimpelekea kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Bondi Bin Salim na kwenda kuolewa na Mbunge wa jimbo la Donge, Sadifa Khamis Juma kisha kuachana naye na kurudiana tena na mpenzi wake Akiongea kwenye kipindi cha Friday Night Live cha (EATV) Wastara anasema aliamua kuachana na Bond kutokana […]

Read More..

Joslin Atoboa Sababu ya ‘Bifu’ ...

Post Image

Rapa na muimbaji wa muziki wa bongo fleva Joslin ambaye aliwahi kutamba na ngoma kibao kali amefunguka na kusema yeye na rapa Mr Blue walizidiana uwezo kimuziki Joslin akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, amesema hajawahi kuwa na bifu na Mr Blue ila anachojua yeye ni kwamba walizidiana uwezo kwenye muziki kiasi […]

Read More..

Audio: P-Funk Atoa Sababu za Fid Q Kuwa Ndi...

Post Image

Kwa P-Funk Majani, Fid Q ndiye MC mkali kuliko wote duniani. Si Tanzania, si Afrika pekee, Ngosha ni MC mkali dunia nzima. Majani ameimbia Bongo5 kuwa cha kwanza ambacho watu wanapaswa waelewe ni kuwa kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake, ambapo kwa mtazamo wake Fid hana mpinzani duniani kwenye sekta ya uchanaji. “I […]

Read More..

Sina Mpango wa Kubadili Jina – Harmo Rapa

Post Image

Msanii wa bongo flava ambaye ndiyo anaanza kuchipukia, Harmo Rapa, amesema kuwa hana mpango na wala hawezi kubadili jina hilo lililompa umaarufu kwenye muziki kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake. Msanii huyo anatamba na ngoma yake inayokwenda kwa jina la ‘USIGAWE PASI’. ametoa msimamo huo kupitia eNewz ya EATV iliyomtafuta kuzungumza naye kuhusu mpango wa […]

Read More..

Video: Vita ya Maneno kati AY na Mona Gangs...

Post Image

Msani wa bongo fleva AY amewataka watayarishaji wa muziki kuwa karibu na wasanii wao kila wanapoenda kwenye ‘tour’ mbalimbali ili kuweza kujifunza mambo mengi zaidi na kuongeza ubunifu. Akiongea kupitia eNewz AY amesema alipotoa hiyo kauli aliitoa kama wazo lakini producer  Mona Gangstar amesema yeye anawaza pesa na siyo kuzurura na msanii ili kuongeza ufahamu wake kwa kuwa wasanii hawapendi […]

Read More..

Video: Harmonize Amlilia Wolper Kupitia ‘...

Post Image

Mapenzi ni kidonda ukiwaza utakonda. Harmonize ameonyesha bado anamhitaji Jacquline Wolper kwenye himaya ya moyo wake baada ya kupigwa kibuti. Baada ya kusambaa kwa taarifa kuwa wawili hao wamemwagana tena huku Wolper akipigilia msumari kuwa jambo hilo ni ukweli mtupu japo Harmo alikuwa akilificha, sasa muimbaji huyo ameanza kuonyesha kuwa jambo hilo ni kweli. Harmonize […]

Read More..

Tunda Man Afungukia Wimbo Wake wa ‘Mw...

Post Image

Msanii wa muziki Tunda Man amedai alisitisha kuachia wimbo wake mpya ‘Mwanaume Suruali’ kama alivyowaahidi mashabiki wake baada ya rapper Mwana FA kumfuata na kumweleza kuwa ana wimbo ambao unaitwa ‘Dume Suruali’ na tayari ameshashoot na video yake. Muimbaji huyo kabla ya kuachia wimbo wake mpya ‘DebeTupu’ toka mwaka 2016 alikuwa anatangaza kuhusu ujio wa […]

Read More..

Queen Darleen Afungukia Mahusiano Yake na A...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Queen Darleen amefunguka na kusema kuwa hajawahi kutoka kimapenzi na msanii Alikiba kama ambavyo watu wanazungumza na kusema ameshaambiwa anatoka kimapenzi na watu kibao akiwepo hata Diamond Platnumz ambaye ni ndugu yake. Akiongea kwenye kipindi cha eNewz cha EATV, Queen Darleen amesema mara nyingi watu wakiona anakuwa karibu na mtu fulani huwa […]

Read More..

Mastaa 20 wa Kike Bongo Wenye Followers Wen...

Post Image

Mtandao wa Instagram kwa sasa unaonekana kutumiwa zaidi na watu wengi sio Tanzania pekee bali ni dunia nzima kwa ujumla. Ila kwa Afrika mastaa wa Bongo wanaonekana kupata followers wengi zaidi kwenye mtandao huo wakifuatiwa na mastaa wa Nigeria. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Bongo5, tumekuletea awamu ya kwanza ya orodha ya mastaa 20 […]

Read More..

Shilole, Nuh Wadakwa Gesti Wapelekewa Kituo...

Post Image

Wasanii wa Bongo Fleva waliowahi kuwa wapenzi kisha kumwagana, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Naftar Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ wamekutwa katika nyumba ya kulala wageni kisha kukamatwa na kufikishwa kituo cha polisi kwa madai ya utapeli. Zilipendwa hao walikamatwa na Jeshi la Polisi wilayani Kahama katika Mkoa wa Shinyanga katika gesti iitwayo Mongo baada ya Nuh kudaiwa […]

Read More..

JB Afungukia Soko la Kazi Zake

Post Image

Msanii maarufu wa filamu hapa nchini, Jacob Steven ‘JB’ amefunguka na kuweka wazi kuwa tangu ameanza uigizaji hajawahi kupata changamoto ya soko ya kazi zake kama ambavyo baadhi ya wasanii wa filamu bongo wamekuwa wakilalamika. JB ambaye mpaka sasa ametengeneza filamu zaidi ya 40 ikiwa ni pamoja ya zile kazi alizoziandaa na kuigizwa na watu wengine […]

Read More..