-->

Category Archives: BongoFleva

Nikki wa Pili awapa makavu wasanii

Post Image

Msanii kutoka kampuni ya Weusi Nikki wa Pili amefunguka na kuwachana wasanii wenzake ambao wanapuuzia vikao vinavyoitishwa na kudai endapo hawatobadilika na tabia hiyo basi watambue haki zao zitachelewa kuwafikia. Nikki amebainisha hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya yeye kuchaguliwa kuwa miongoni mwa wasanii wa kusimamia mfuko wa wasanii wa bongo fleva […]

Read More..

Madee amkataa Wolper kucheza video yake mpy...

Post Image

Msanii Madee Ali ‘Madee’ kutoka kundi la Tip Top Connection amefunguka kuwa anashangazwa na uvumi wa msanii mwenzake, Jackline Wolper kwa kudai kuwa ametumika katika video mpya ya msanii huyo ya ‘Sikila’ bila ruhusa yake. “Ile video haijamuonyesha mtu sura zaidi ya kuwa na katuni hivyo nashangaa kusikia hivyo, kikubwa ni kuwa hajatumika yeye bali […]

Read More..

Wanataka Kuniuwa – Said Karoli

Post Image

Ikiwa imepita miezi miwili toka msanii wa nyimbo za asili Tanzania Said Karoli arudi rasmi kwenye muziki na kuachia kazi zake mbili zilizopata mafanikio na kuwafikia watu wengi zaidi ameibuka na kudai watu wameanza kumpiga vita kishirikina na wanata. Said Karoli ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Orugambo’ amedai kuwa ushirikina upo na watu […]

Read More..

Wahyda Mkwe wa Mr Blue Atoboa Haya Kuhusu K...

Post Image

Mke wa msanii wa Hip hop bongo Mr. Blue Bi. Wahida maarufu kwa jina la Wahida wa Mr. Blue, ametoa sababu ambayo iliwafanya yeye na mumewe kupigana mara kwa mara. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Wahda amesema wakati wanamlea mtoto wao wa kwanza wa kiume Heri Samir, walikuwa na changamoto […]

Read More..

Chid Benz Akamatwa kwa Madawa ya Kulevya

Post Image

Jeshi la polisi Mkoa wa Ilala, limewakamata watu saba akiwemo msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro maarufu kama ‘Chid Benz’ kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamduni amesema watuhumiwa hao walikamatwa Agosti 12 mwaka huu saa 11.50 jioni wakijihusisha na uuzaji […]

Read More..

Hakuna mwanamke anapenda mwanaume – G...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Giggy Money amefunguka na kusema kuwa hakuna mwanamke anapenda mwanaume bali wanawake wanapenda pesa tu hivyo amedai yeye sasa hajali kumfurahisha mwanaume kwa umbo lake ila anachoangalia yeye anapiga pesa. Mbali na hilo Giggy Money anadai kuwa ndoto zake za kuja kutoka kimapenzi na msanii Wizkid kutoka Nigeria bado […]

Read More..

Fid Q Ajibu Hoja ya Mwakyembe

Post Image

Msanii Fareed Kubanda ambaye wengi humuita ‘concious rapper’ kutoka bongo, amejibu kauli ya Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe aliyosema wasanii wasiimbe siasa, na kusema kuwa siyo rahisi kwa wasanii kuacha kitu kitu hicho. Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Fid Q amesema Waziri hakuwa sahihi kusema hivyo, kwani siasa ipo kwenye […]

Read More..

TID Ameathirika Kisaikolojia – Q Chief

Post Image

Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Q Chief ameamua kumchana swaiba wake TID kwa kumwambia aachane na tabia ya kuzungumza vitu visivyomuhusu huku akimshauri kwa umri wake ni bora angejitahidi kuangalia jinsi ya kurudi kwenye muziki. Chief amesema TID ameathirika kisaikolojia kwani kwa hali ya kawaida msanii anayejitambua hawezi kuwa muda mwingi anafuatilia maisha ya mtu […]

Read More..

Makala: Watu 7 Maarufu Waliozungumza Kuhusu...

Post Image

Kipindi hiki cha utawala wa awamu ya tano chini ya uongozi wa Rais Dkt. John Magufuli, unapotaka kuzungumzia muziki wa wa Bongo Flava ni vigumu kuepuka kutaja la Diamond Platnumz na Alikiba. Muziki wao, ushindani na maneno ya hapa na pale yanatoa picha halisi ya game ya muziki huo ilivyo kwa sasa. Kutokana na uzito […]

Read More..

Sitegemei Kiki za Instagram-Shilole

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Shilole amewatolea povu mashabiki zake kwa kuwataka kuacha kumkalili kuwa yeye bila ya kiki na kukaa mtupu hawezi kufanya vizuri katika kazi zake za kimuziki. Shilole amebainisha hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live ‘FNL’ kutoka EATV baada ya baadhi ya mashabiki zake kumuona msanii huyo kutoa video ya […]

Read More..

Labda Nina Mimba ya Wizkid – Gigy Money

Post Image

Video vixen Bongo, Gigy Money amekanusha tetesi za kuwa na ujauzito. Gigy Money ambaye ameamua kuingia kwenye muziki na sasa anatamba na ngoma ‘Papa’, ameiambia FNL ya EATV kuwa ndoto yake kubwa ni kutoka kimapenzi na msanii Wizkid kutoka Nigeria pengine hapo ndipo utapatikana ujauzito. “Kipindi cha sasa hivi na Papa ndio nimetoa?, hapana, ujue […]

Read More..

Wimbo wa Roma Waibua Maswali

Post Image

SIKU mbili baada ya kuanza kusambaa mitandaoni na kuchezwa kwenye vituo mbalimbali vya redio, wimbo wa Msanii wa Bongo Fleva, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’, umeibua maswali mengi. Maswali yanaanzia kwenye jina la wimbo huo aliouita ‘Zimbabwe’, ambapo kwenye mashairi yake anasema ‘nakwenda Zimbabwe’, ambapo wengi wamejiuliza kwanini wimbo wa kuelezea kutekwa kwake aupe jina kama […]

Read More..

Mke Wangu Ameolewa Kabla Sijampa Talaka –...

Post Image

Msanii wa muziki, Nuh Mziwanda amedai Baby Mama wake, Nawal alishinikizwa kuolewa na wazazi wake kabla hata ajampatia talaka. Muimbaji huyo amedai ingawa tayari aliyekuwa mke wake huyo ameshaolewa mtu mwingine lakini bado hajampatia talaka ya kusema kwamba wameachana. “Mimi sijaachana na Nawal, mpaka sasa mimi sijatoa talaka kusema mimi wewe sikutaki endelea na maisha […]

Read More..

Sikuwahi Kujua Roma ni Msanii-Mke wa Roma (...

Post Image

Mke wa msanii Roma Mkatoliki amefunguka na kusema kuwa kwa mara ya kwanza alikutana na Roma Mkatoliki kwenye sherehe za kumnio na kudai msanii huyo alitambulisha kama Ibrahim na kusema kipindi hicho hakujua kama Roma ni msanii. Mke wa Roma Mkatoliki Nancy amesema hayo jana kupitia kipindi cha Friday Night Live (FLN) na kusema alikuja […]

Read More..

Mke wa Roma Afungukia Roma Kuchepuka

Post Image

Mke wa msanii Roma ameelezea jinsi mahusiano yake ya ndoa na rapper huyo yalivyo na kudai kuwa tabia ya wanaume kuchepuka kwenye ndoa ni wote wanayo. Baby Mama (Nancy) huyo ambaye alifunga ndoa na Roma mwaka 2015 ameiambia XXL ya Clouds Fm kuwa ni vigumu kujua kinachoendelea nyuma ya pazia kwa mwanaume ila kutokana na […]

Read More..

Ney wa Mitego Sawa na Amber Lulu – Du...

Post Image

Msanii Dudu Baya amemkingia kifua msanii Godzilla ambaye hivi karibuni amekuwa akiandamwa sana na msanii Ney wa Mitego akisema muziki umemshinda, na kumtaka Ney kutojifananisha na Godzilla. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East AFrica Radio, Dudu Baya amesema Ney wa Mitego asithubutu kujifananisha na Godzilla kwani hawezi kufikia uwezo wa kuchana kama […]

Read More..

DPP Aamua Kuachana na Mbunge Lwakatare Kuhu...

Post Image

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ameaondoa maombi yake dhidi ya Mbunge wa Bukoba Mjini (Chadema), Wilfred Lwakatare kuhusiana na shtaka la ugaidi dhidi yake. DPP alikuwa amefungua maombi Mahakama ya Rufani akiomba kibali cha kufungua maombi ya mapitio kuhusiana na uamuzi wa Mahakama Kuu kumfutia Lwakatare mashtaka ya ugaidi. Maombi hayo ya DPP […]

Read More..

Stara Thomas Atoboa Kinachowaharibu Wasanii...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Stara Thomas ameelezea sababu ya wasanii wengi wa kike wa sasa hivi kuimba nyimbo ambazo hazina maudhui na kupoteza ubora wa muziki, tofauti na ule ambao walikuwa wanafanya kipindi chao. Akizungumza kwenye kipidi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Stara Thomas amesema wasanii wa sasa hivi wanaimba muziki usio na […]

Read More..