-->

Category Archives: BongoFleva

Ray C Ataka Kujiua Mara 10

Post Image

MWANAMUZIKI ambaye miaka kadhaa iliyopita alipotea kwenye anga la muziki baada ya kujitumbukiza kwenye matumizi ya madawa ya kulevya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amefunguka jinsi alivyotaka kujiua zaidi ya mara 10 kutokana na kujichukia. Akizungumza na Wikienda katika mahojiano maalum wikiendi iliyopita, Ray C au Kiuno Bila Mfupa alisema kuwa, alifikia uamuzi huo mara kwa […]

Read More..

Roma Mkatoliki Anena Jambo

Post Image

Msanii Roma Mkatoliki ambaye alikuwa akiuguza majeraha baada ya kutekwa na kuumizwa amefunguka na kusema hali yake inaendelea vyema na ameamua kutoka rasmi sehemu aliyokuwepo kwa kufanya misa ya shukrani jana na baada ya hapo aendelee na maisha yake. Roma Mkatoliki ambaye jana aliambatana na mkewe na kufanya Ibada ya misa takatifu ya shukrani kwa […]

Read More..

Video: Diamond Akusanya Kijiji Kwenye Show ...

Post Image

Msanii wa muziki, Diamond Platnumz, Jumapili hii amefanya show ya nguvu katika tamasha la ‘Mosi Day of Thunder Music Festival’ la nchini Zambia.   Muimbaji huyo aliwashukuru mashabiki wa nchi hiyo kwa kujitokeza kwa wingi katika show yake. “MY SHOW LAST NIGHT IN LIVINGSTONE ZAMBIA…. Mama see how much Zambia loves your Son… i hope […]

Read More..

Sizifahamu Movie za Ray – Nikk Wa Pili

Post Image

Msanii wa Hip hop nchini Tanzania Nikk Wa Pili amesema kuwa mastaa wengi wa Bongo Movie wanafahamika zaidi kuliko kazi zao tofauti na ilivyo kwa wasanii wa filamu kutoka nje. Nikk Wa pili alizungumza hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL)  nakusisitiza kuwa mastaa wengi wa bongo wanatrendi kwa muda mrefu hata zaidi […]

Read More..

Sipangiwi Wala Sifundishwi cha Kuongea R...

Post Image

Msanii wa Bongo fleva Nay wa Mitego amefunguka mapya na kusema yeye hana muda wa kupoteza wa kupigana na msanii wa bongo ‘movie’ Yusuph Mlela huku akijitapa kuwa hapangiwi wala hafundishwi jambo analotaka kuongea. Nay ameeleza hayo baada ya kuambiwa na Mlela ajiheshimu na asiingilie kazi za watu ambazo hazimuhusu huku akisisitiza kwamba kama angekuwa anaimba basi […]

Read More..

Kutoka na Mzee Siwezi-Shilole

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Shiloe alimaarufu kama Shishi Baby amefunguka na kuwataka wanaume ambao wanategemea wanawake kuvalishwa, kulishwa wabadilike na kuanza kufanya kazi ili wasitegemee tena wanawake kuendesha maisha yao. Shilole anasema wanaume ambao wanapenda kutunzwa na wanawake ni wanaume sanamu, maana wanaume makini hawawezi kutegemea kulelewa na wanawake. “Haya mambo hayatakiwi kuwepo, […]

Read More..

Video: Hussein Machozi Arudi Bongo

Post Image

Msanii wa muziki, Hussein Machozi, Jumatano hii usiku aliwasili jijini Dar es salaam katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere akitokea nchini Italy alipokuwa katika shughuli zake za masomo na muziki. Muimbaji huyo ametua nchini akiwa na video yake mpya iliyoandaliwa nchini humo. Akizungumza na waandishi wa habari muda mchache baada ya kuwasili, Hussein amedai […]

Read More..

Natamani Kufanya Kazi na Chid Benz-Ray C

Post Image

Msanii mkongwe ambaye kwa sasa anasikika na ngoma ya ‘Unanimaliza’  Rehema Chalamila ‘Ray C’ amekiri kutamani kufanya kazi nyingine na rapa Chid Benzi na anamuombea kwa Mungu ili aweze kutoka rasmi kwenye mtihani wa dawa za kulevya Ray C amefunguka hayo hivi karibuni na kusema kuwa mbali na kuwa walisha fanya wimbo wa pamoja na […]

Read More..

Daz Baba Amgundua Mchawi Wake

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop, Daz Baba amedai amegundua kitu ambacho kinamkwamisha ashindwe kufanya vizuri kama zamani. Daz ambaye amewahi kufanya vizuri na nyimbo nyingi ikiwemo ‘Namba 8’, ameimbia Bongo5 kuwa uwekezaji katika kazi zake za muziki ndio kitu ambacho kinamfelisha. “Mimi kitu ambacho kinanikwamisha kwa sasa ni video kali. Kwa sababu nyimbo […]

Read More..

Shilole: Sasa Natamani Kuvaa Shela

Post Image

STAA wa Mduara Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa, sasa anatamani kuvaa shela kama walivyovaa wanawake wengine kwani kuna wakati ukifika mwanamke lazima utamani hali hiyo. Akizungumza na Showbiz Xtra, Shilole alisema kuwa, watu wengi wanamtabiria mambo mazuri ya ndoa lakini anaamini kuwa siku yake itafika na ataolewa na kila mmoja atashangaa. “Natamani sana na […]

Read More..

Ne-Yo Ampongeza Diamond

Post Image

MKALI wa muziki wa RnB nchini Marekani, Shaffer Smith (NE-YO) amempongeza staa wa muziki nchini Tanzania, Nasibu Abdul (Diamond) kwa kuzindua manukato yake yajulikanayo kama Chibu. Ne-Yo, aliyeshirikishwa na Diamond kwenye wimbo wa ‘Marry You’, ameshindwa kuzuia hisia zake na kumpa pongezi msanii huyo kwa hatua aliyofikia ya kuwa na manukato yake, kama ilivyo kwa […]

Read More..

Video: Jux – Umenikamata

Post Image

Msanii Jux ameachia video mpya wimbo unaitwa ‘umenikamata‘ tazama hapa chini.

Read More..

Diamond Atoboa Sababu ya Kufanyakazi na You...

Post Image

Diamond amefunguka kwa mara ya kwanza sababu za kumshirikisha Young Killer katika wimbo wake mpya ambao bado haujatoka. Ni mara nyingi hitmaker huyo wa Marry You, ameonekana kushindwa kuzizuia hisia zake za kumkubali Msodoki huku mara kadhaa akionekana kutumia mistari ya rapper huyo katika kuandika katika mitandao yake ya kijamii. Akiongea na kipindi cha XXL […]

Read More..

Nay wa Mitego Akubali Yaishe Aomba Msamaha

Post Image

Baada ya kuporomoshewa maneno ya kashfa kwenye mitandao na mzazi mwenzake kwa kushindwa kumtunza mtoto zaidi ya kumuweka tuu kwenye mitandao ya kijamii na kujisifu, Nay wa mitego amekiri kubadilika na kuanza kumuhudumia binti yake. Nay wa Miteho leo Rapa kupitia ukurasa wake wa Instagram ameamua kuudhihirishia umma kuwa kuanzia sasa atakuwa baba mwema na ataanza kuwahudumia watoto […]

Read More..

Najivunia Kufananishwa na Jay Z- Joh Makini

Post Image

Msanii wa miondoko ya ‘Hip hop’ kutoka kampuni ya Weusi, Joh Makini amefunguka ya moyoni na kusema anajisikia faraja kwa mashabiki zake kumfananisha na msanii Jay Z. Joh Makini amesema ufananisho huo uko wazi kwa kuwa kiwango cha muziki wake ni mkubwa kiasi ambacho watu wanaomzunguka na wapenzi wa kazi zake hawaoni mtu mwingine wa […]

Read More..

Nay wa Mitego Apewa Makavu na Mzazi Mwenzak...

Post Image

Msanii wa hip hop, Nay wa mitego amechezea kichambo kutoka kwa mzazi mwenzake ambaye ni muigizaji wa filamu za bongo, Skyner Ally kuwa ameshindwa kuwa baba bora kwa binti yake. Kwenye ukurasa wake wa instagram Skyner amefunguka maneno hayo akiwa anamtakia heri ya kuzaliwa mtoto wake ambaye amefikisha miaka mitano na kudai kuwa alikuwa na […]

Read More..

Diamond Endelea Kuwaamsha Wasanii Waliolala

Post Image

NYOTA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ akisema leo hafanyi tena muziki basi ataweza kuishi kwenye hadhi aliyonayo sasa kwa muda mrefu sana. Jeuri hiyo anaipata kutokana na kufanya uwekezaji mkubwa kwenye kiwanda cha muziki nchini. Anamiliki lebo yenye wasanii wakali kama Rich Mavoko, Harmozine na Ray Vann. Tunafahamu ukubwa wa wasanii hao waliopo […]

Read More..

Beef ya Nay wa Mitego na Yusuph Mlela Yafik...

Post Image

Baada ya muigizaji wa filamu, Yusuph Mlela kuomba pambano la ngumi na rapa Nay wa Mitego, rapa huyo amemjibu muigizaji huyo kwa maneno ya kejeli. Wawili hao waliingia kwenye bifu hilo baada ya Nay wa Mitego, kuwaita wasanii wa filamu ‘mataahira’ kisa kuandamana kupinga biashara ya filamu ‘feki’ za nje ambazo hazilipi kodi. Rapa huyo […]

Read More..