-->

Category Archives: BongoFleva

Wamevujisha Wimbo Kuniharibia – Q Chief

Post Image

Mkali wa Rnb na Zouk Tanzania Q Chief amefunguka na kutoa malalamiko yake kwa baadhi ya watu ambao wamevujisha wimbo wake mpya kwa lengo la kumuharibia soko la muziki wake kuuza katika njia za mitandao. Q Chief muda mrefu alisema ameshafanya kazi na msanii kutoka nchini Nigeria Patoranking na kuanza promo kama maandalizi ya kutoa […]

Read More..

Bwana Misosi Amwimbia Rais Magufuli

Post Image

BAADA ya kimya cha muda mrefu katika muziki, msanii Joseph Lushalu ‘Bwana Misosi’, ameamua kurudi kwa nguvu na wimbo wa kumsifia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli. Wimbo huo unaoitwa ‘Makofi kwa Magufuli’, umeimbwa chini ya ushirikiano kati yake na msanii Nuruel. “Nimekuja na ujio mpya wa funga mwaka kwa […]

Read More..

Darasa: Kilichotokea Kwa Dereva ni Mzuka Il...

Post Image

KUFUATIA madai kwamba dereva aliyeacha usukani na kukucheza wimbo wa ‘Muziki’ ulioimbwa na msanii Sharif Ramadhani ‘Darasa’ akishirikiana na Bernard Paul ‘Ben Pol’ huku gari likiwa katika mwendo kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kuhatarisha maisha ya wasafiri na watumiaji wengine wa barabara, msanii wa wimbo huo ametahadharisha mashabiki wake. “Kilichotokea kwa dereva aliyeacha usukani […]

Read More..

Nay wa Mitego: Biashara ya Mimi na Mr T Tou...

Post Image

Nay wa Mitego anaweza akawa anamiss midundo ya producer wake wa zamani, Mr T Touch lakini hana mpango wa kufanya naye tena kazi. Tangu waache kufanya kazi pamoja, rapper huyo amekuwa kimya kiasi na huenda akawa bado hajapata producer mwingine wa kuziba pengo lake. Akizungumza na mtangazaji wa Jembe FM, JJ, Nay amesema kuwa biashara […]

Read More..

Mkubwa na Wanawe Wamekuja na Matobo Kutok...

Post Image

KUNDI la muziki wa kizazi kipya la Madada Sita, ambalo lenye makazi yake Temeke jijini Dar es salaam, limeachia wimbo wa Matobo ambao wanaamini utakuja kulifanya kundi hilo kuwa miongoni mwa kundi bora la wanamuziki wa kike. Akizungumza kiongozi wa kundi hilo, Christina Peter (Favell), alisema wamejipanga kufanya kazi bora ambazo zitafanya wanamuziki wengi kuunda […]

Read More..

HATARI! Kumbe Rose Muhando ana Balaa Namna ...

Post Image

Unapowazungumzia wasanii wa nyimbo za injili ambao ni maarufu Afrika Mashariki na kati basi jina la Rose Mhando halitakosekana. Rozi amejizolea umaarufu kutokana na staili yake ya kuimba kwa hisia na ukweli kwamba suala la kutawala jukwaa huwa halimsumbui kabisa. Hata hivyo, katika siku za karibuni Rozi amekaa kimya huku akiacha maswali kwa mashabiki wa […]

Read More..

Young Dee Aeleza Sababu ya Kufanya Video na...

Post Image

Rapa Young Dee ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya ‘Furaha’ amefunguka na kuweka wazi sababu kubwa iliyompelekea yeye kufanya kazi na mwanamitindo Tunda. Young Dee akiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio alisema kuwa aliamua kufanya video hiyo na Tunda kwa sababu kwanza ni mtu ambaye yupo naye karibu hivyo […]

Read More..

COSOTA Yataja Runinga Mbili, Redio Moja Zin...

Post Image

KATI ya redio zaidi ya 100 na runinga zaidi ya 20 zilizopo nchini, ni vituo vitatu tu vikiwamo vya Mlimani tv, Azam tv na Joy Fm ya Kigoma ndivyo vilivyolipa mirabaha kwa kutumia kazi za wasanii nchini. Mkaguzi wa Hakimiliki kutoka Chama cha Hakimiliki Tanzania (Cosota), Paul Mabula, alisema kutokana na kukumbwa na changamoto nyingi […]

Read More..

Picha: Zari na Diamond Wapata Mtoto wa Kium...

Post Image

Hatimaye Zari The Bosslady na Diamond wamefanikiwa kumpata prince wa familia aliyekuwa akisubiriwa kwa hamu kubwa. Mtoto huyo amezaliwa saa 10 na 35 Alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki, Jumanne, December 6. Mtoto huyo amezaliwa kwenye hospitali ya NETCARE ya Pretoria nchini Afrika Kusini. Tayari Diamond na Zari wameonesha picha za mtoto huyo japo hawajaweka […]

Read More..

Darasa Atoboa Siri ya Muziki Wake Kukubalik...

Post Image

MSANII wa miondoko ya hip hop nchini, Sharif Ramadhan, amesema siri iliyopelekea nyimbo zake kukubalika ni kutambua wanachotaka mashabiki wa muziki wake. Darasa aliliambia MTANZANIA kwamba katika ushindani wa sasa, msanii hatakiwi kukurupuka, bali anatakiwa atambue mashabiki wake wanataka nini na kwa wakati gani. “Mwanzo nilikuwa nikitoa nyimbo zenye vionjo vyenye ujumbe wa kutosha lakini […]

Read More..

Wakati Zari Akitarajiwa Kujifungua Muda Wow...

Post Image

Wakati mpenzi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan akiwa ‘leba’ tayari kwa kujifungua mtoto wa pili wa kiume kwa nyota huyo, meseji mbalimbali zikiambatana na picha zimezidi kutrend kupitia mitandao ya kijamii hasa Instagram nyingi zikimtakia heri katika zoezi hilo. Zari aliyepelekwa ‘leba’ jana katika Hospitali ya Netcare Pretoria iliyopo […]

Read More..

Ommy Dimpoz Amshauri Alikiba Amuoe Kidoti

Post Image

Alikiba na Jokate Mwegelo wanaogelea katika bahari ya huba japo hawataki kualika wageni kujumuika nao – penzi lao ni la faragha. kadri siku zinavyozidi kwenda, ndivyo mizizi ya uhusiano wao inazidi kumea licha ya kuendelea kuuwekea tinted kuepusha karaha! Licha ya kuwa ya kuwa wachoyo wa kuuweka wazi uhusiano, marafiki zao wa karibu wana access […]

Read More..

PICHA: Nuh Mziwanda na Mkewe Wanatarajia Ku...

Post Image

Siku 21 baada ya msanii wa Bongofleva Nuh Mziwanda atangaze kufunga ndoa na mchumba wake, December 1 2016 ndoa yao imeingia kwenye headlines mpya ambazo awali zilianza kuenea kama tetesi tu. Nuh Mziwanda na mpenzi wake walifunga ndoa November 10 2016 huku tetesi zikiwa zimeenea mtaani kuwa wameamua kufunga ndoa baada ya mchumba wa Nuh Mziwandakupata […]

Read More..

Christian Bella:Sipendi Kufanya Kolabo

Post Image

Mkali wa masauti Christian Bella amefunguka kwa kusema kuwa hapendi kufanya sana kolabo kwani zinamfanya azoeleke zaidi na mashabiki wake. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi atakuwa anafanya kolabo chache ambazo zitakuwa na faida kubwa katika muziki wake. “Mimi sipendi sana kufanya fanya kolabo kwa sababu lazima nimlinde Christian Bella,” alisema Bella. “Siwezi kuwa […]

Read More..

Soko la Gigy Money Lipo Huku Kwasasa

Post Image

Video Queen Gigy Money amesema kwa sasa wasanii wachanga wanamgombania kutaka atokelezee kwenye video zao. Akiongea na Bongo5 wiki hii, Gigy Money amedai wasanii hao wanaamini akitokelezea kwenye video zao na wao watakuwa wametoboa. “Kusema kweli sasa hivi underground wananisumbua sana,” alisema Gigy Money. “Wengi wanaamini nikishiriki kwenye video zao ‘nitawakikisha’ na watatoboa. Lakini nashukuru […]

Read More..

Raymond Amshukuru Diamond Alichomfanyia Kwe...

Post Image

Raymond ameendelea kumshukuru bosi wake wa lebo ya WCB, Diamond Platnumz kwa kile anachomsaidia kupitia muziki wake. Hitmaker huyo wa Natafuta Kiki, amefunguka kwa kuweka wazi kuwa nguo alizovaa kwenye video ya ‘Kwetu’ na ‘Mugacherere’ zilikuwa za bosi wake huyo. Kupitia mtandao wa Instagram, Ray Vanny ameandika: Kwenye Video ya #KWETU Nguo zote Ulinipa wewe!!! […]

Read More..

Crazy GK Sina Mpango Na Diva… Ni Mpenzi W...

Post Image

UNAIKUMBUKA East Coast Team chini ya kiongozi wao Gwamaka Kaihula a.k.a King Crazy GK? Enzi za Ama Zangu, Ama Zao utawataka? Kule alisimama Mwana FA, pale AY, usiwasahau O Ten, Snare, Buff G na wengine kibao kutoka maskani yao  Upanga Mashariki. Kundi hili ambalo lilitesa zaidi miaka ya 2000 wakichuana vikali na Kundi la TMK […]

Read More..

Mshiriki wa Bongo Star Search Aeleza Sababu...

Post Image

Hadi sasa watu wanajiuliza nini kimetokea kwa Kayumba – mshindi wa Bongo Star Search mwaka jana. Mbona kijana huyo alionesha uwezo mkubwa wakati wa shindano hilo kiasi ambacho walimtabiria angekuja kuwa kuwa Diamond wa pili? Babutale, Madam Rita na Kayumba Alitoa wimbo ambao video yake ilifanyika nchini Afrika Kusini lakini haukuweza kufanya vizuri. Na sasa […]

Read More..