-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Pete ya Lulu ya Waacha Njia Panda Mashabiki...

Post Image

  Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewaacha njia panda mashabiki wake mtandaoni baada ya hii leo kubandika picha wenye ukurasa wake wa instagram ya pete kidoleni  kwenye ukurasa wake wa instagram na kuandika haya;   “Asante MUNGU Wangu Kwa Neema Zako ambazo hazijawahi kuniacha ??? Maana Hata hiki kitendo cha kishujaa kujinunulia Pete […]

Read More..

Bishanga: Waigizaji Wengi wa Sasa Wanaiga ...

Post Image

Mwigizaji Mkongwe ambaye alikuwa kwenye kundi la Mambo Hayo lililokuwa maarufu miaka ya 90, Bishanga Bashaija amesema kuwa waigizaji wengi wa sasa hivi wanaiga sana Umagharibi,ndio maana tamthilia nyingi za sasa zinaoonyeshwa kwenye runinga kwa sasa ni kutoka Latin America. “Waigizaji wengi wa sasa wa hapa nchini wanaiga sana Umagharibi,ndio maana tamthilia nyingi za sasa zinazonyeshwa […]

Read More..

Madaha: Nikikosa Faragha Siku 3 tu Naugua

Post Image

STAA wa muziki Bongo fleva na Bongo Movies, Baby Joseph Madaha ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa, starehe yake kubwa ni kuwa faragha na laazizi wake kiasi kwamba akipitisha siku tatu huwa anaugua. Akibonga na paparazi wetu kuhusu maisha yake ya kimapenzi, Madaha alisema kuwa kila mtu kuna kitu anakipenda hivyo yeye ugonjwa […]

Read More..

Nimeijua Thamani Yangu Nilipokuwa Burundi-S...

Post Image

Msanii wa filamu Shamsa Ford, amefunguka mambo mengi yaliyomtokea wakati akiandaa filamu yake mpya ‘Najuta Shamsa’ iliyofanyikia nchini Burundi na Tanzania. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Shamsa amesema mashabiki wa Burundi wamemfanya ajue thamani yake kama masanii. “Thamani yangu ya kuwa msanii nimeijua nchini Buruduni,” alisema Shamsa. “Nilivyopokelewa, kwanza kuanzia uwanja wa ndege, mule ndani […]

Read More..

TANAPA Kutoa ‘Location’ kwa Wasanii

Post Image

MENEJA Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa (Tanapa), Pascal Shelutete, amesema wasanii wa filamu nchini wanatakiwa kutumia mandhari za asili zilizoko katika hifadhi za Taifa kwa ajili ya kurekodi filamu zao ili kutangaza utalii wa ndani. Shelutete alisema hayo katika tamasha la chama cha wasanii wa filamu wa jijini Arusha (TFDAA) katika Uwanja wa Sheikh Amri […]

Read More..

Kitale: Sina Fedha za Kuanzisha Kundi la Sa...

Post Image

MSANII wa filamu na vichekesho, Musa Kitale ‘Mkude Simba’, amesema hana mpango wa kuanzisha kundi la vijana wenye vipaji kwa sasa kwa kuwa hana fedha za kumudu shughuli hiyo. Alisema lengo lake ni kuanzisha kundi lakini kwa sasa hayupo tayari kwa kuwa hana fedha za kutosha. “Kwa kweli mpango wa kuwa na vijana ninao, kuna […]

Read More..

Picha: Odama Atoa Sadaka Kwenye Kituo cha K...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ akiwa na wasanii wenzake siku ya jana walitembelea na kutoa sadaka kwenye kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazigira magumu, kituo cha Kituo Cha UMRA Kilichopo Magomeni Mikumi  jijini Dar. Odama ambaye filamu yake mpya ya MKWE  imeigia sokoni hiyo jana, amewataka mashabiki wake waende madukani wakajipatie nakara […]

Read More..

Lulu Ashambuliwa kwa Maneno, Kisa Mama Kanu...

Post Image

KITENDO cha muigizaji wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, kudaiwa kutoa maneno yenye kuonesha sawa na kumtusi mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa, baadhi ya watu wamesema kuna dalili za msichana huyo kuitafuta laana. Hivi karibuni, mama Kanumba aliliambia gazeti moja nchini (siyo ya Global Publishers) kuwa tabia ya mpenzi huyo wa zamani […]

Read More..

Nay Wa Mitego kumsaidia mzazi mwenzie ‘Si...

Post Image

Mahakama ya wilaya ya Nyamagana,Mkoani Mwanza jana ilimhukumu miaka miwili jela mzazi mwenzie na msanii Nay Wa Mitego, Siwema Edson kwa makosa ya kimtandao,msanii huyo anafikiria kuahirihisha shoo yake kwa mwisho wa mwezi huu ili aende Mwanza kumsaidia mama watoto wake huyo. ’Inabidi niondoke hivi karibuni ilibidi nisubiri nimalize shoo lakini kwa ajili ya kumpambania […]

Read More..

Davina Ajikita na Huku Sio kwenye Movie Pek...

Post Image

MWIGIZAJI wa kike wa Filamu Bongo Halima Yahaya ‘Davina’ anasema kuwa kaamua kuwa mjasiriamali badala ya kutegemea njia moja tu ya kuigiza wakati anakuwa na mahitaji mengi ni bora kuwa mjasiriamali kuweza kumudu maisha ya watu nyota. “Maisha magumu kwa sasa huwezi kutegemea kitu kimoja tu lazima ujishughulishe katika kuhakikisha unapata kile uanchotaka kama sasa […]

Read More..

Rammy Galis Apata Shavu la Kuigiza Movie Mp...

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini, Rammy Galis amepata shavu la kuigiza filamu mpya Nigeria iitwayo Her Shoes. Rammy alienda Lagos kumalizia kurekodi video yake iitwayo Red Flag lakini imebidi aendelee kuwepo huko baada ya kupata shavu la Nollywood. “KAZI niliyo onesha #Maproducer wa Nollywood katika #RedFLAG hatimaye imeleta Matunda. #MUNGU Amepokea Dua zenu , Ameweza Kunipa […]

Read More..

Wezi wa Filamu Kufungwa Jela Miaka Mitatu F...

Post Image

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) itaendelea na msako mkali kwa wafanyabiashara wote wanauza kazi za filamu na muziki bila kubandika stempu halali za kodi, ili kulinda kazi hizo kwa ajili ya kuwanufaisha wasanii pia kuhakikisha serikali inapata kodi kutoka na kazi za wasanii. Msako endelevu utahusisha kukamata bidhaa zote ambazo hazina stempu za kodi na […]

Read More..

Wastara Afungukia Kuvunjika kwa Ndoa Yake n...

Post Image

Msanii wa filamu Wastara Juma amefunguka na kuzungumzia kuvunjika kwa ndoa yake na Mbunge wa Donge kupitia CCM Sadifa Khamis Juma ambayo imeduku kwa kakribani miezi 3. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Wastara amesema mahusiano ya mapenzi ni kama mtu anavyoishi na rafiki yake, mkizinguana maachana. “Binafsi kwa sababu ni muda mchache naumia kuwakarahisha mashabiki […]

Read More..

Nikikutana na Nay wa Mitego sina time naye,...

Post Image

Shamsa Ford na Nay wa Mitego ni pua na moshi. Shamsa Ford amesema akikutana na Nay wa Mitego hawezi salimiana naye kutokana na mambo ambayo walifanyiana. Mwigizaji huo wa filamu aliwahi kukiri kwamba hawezi toka tena kimapenzi na staa, ikiwa ni muda mchache toka aachane na Nay wa Mitego. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Shamsa […]

Read More..

Huku Mitaani ni Shidaa Tajiri Mfupi Tajiri...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu Hussein Khamis ‘Chodo’ amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa anajikuta yupo katika wakati mgumu sana kutokana umaarufu aliopata baada ya kuigiza kama mwigizaji kinara katika filamu ya Tajiri mfupi kutikisa. “Sitaki kuwa na mpenzi sijui demu kwa sasa na kama nitataka kuwa hivyo nitaoa kwa kufuata taratibu za kidini utaratibu unajulikana, wengi […]

Read More..

Aunt Afungukia Kuachana na Moses Iyobo

Post Image

KUFUTAIA kuwepo kwa taarifa kuwa Mwigizaji Aunt Ezekiel amempiga chini mpenzi wake Moses Iyobo, mrembo huyo ameibuka na kusema taarifa hizo hazina ukweli. Akizungumza na paparazi wetu, Aunt alisema madai hayo ya kuachana na mpenzi wake huyo yanatengenezwa na watu wake wa karibu hivyo akijiridhisha, atawatumbua. “Wanaowaza kuwa mimi na Mose tunatarajia kugombana leo au […]

Read More..

Sikumjua Nay mtu wa aina gani – Shamsa Ford

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amefunguka na kusema kuwa moja ya sababu yeye kuachana na mpenzi wake Nay wa Mitego ni kutokana na ukweli kwamba yeye hakutambua toka mwanzo kuwa msanii huyo ni mtu wa namna gani.   Akizungumza kwenye kipindi cha Enews Shamsa Ford anasema wakati anaanza kutoka na Nay wa Mitego hakutambua […]

Read More..

Aunt Ajinasua kwa JPM

Post Image

Hatimaye staa wa Bongo Muvi, Aunt Ezekiel Grayson amefanya kila liwezekanalo na kujinasua mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.John Pombe Magufuli ‘JPM’ kwa kukomboa gari lake aina ya Audi lililokuwa limeshikiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushindwa kulipa kodi. Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa mbwembwe kibao wikiendi iliyopita, Aunt […]

Read More..