-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Kajala Ashtukia Uwekezaji

Post Image

KAJALA Masanja amewasihi mastaa wenzake wajifunze kuwekeza hela wanazopata kwa kuwa kuna kipindi kitafika ustaa utaisha na kutakuwa hakuna kitu kingine cha kuwaingizia kipato. Kajala ambaye analitendea haki soko la filamu Bongo, alisema kila mtu atumie wakati wake sasa,” alisema Kajala. amepata wazo hilo hivyo ameona ni vyema akawatonya na wenzake maana amewaona watu wengi […]

Read More..

Baba Haji: Ni Mwendo wa Kutoa Vipaji Tu!

Post Image

HAJI Adam ‘ Baba Haji’ anasema kuwa elimu yake ya Sanaa aliyosoma anaitumie kwa kuwasaidia wasanii wenzake na kuwatia moyo kuwa wana nafasi ya kuweza kujiunga na vyuo vya sanaa endepo watatenga muda na kujigawa kwa ajili ya kujiendeleza zaidi kitaaluma. “Nimekuwa mwalimu mzuri kila ninapokutana na wasanii chipukizi hata wakubwa kujaribu kuwagawia kile nilichojariwa […]

Read More..

Mtanzania Ashinda Tuzo ya Filamu za Kigeni ...

Post Image

SOKO la filamu za Tanzania limezidi kujitangaza nje ya nchi baada ya Filamu ya ‘Daddy’s Wedding’ iliyoongozwa na Mtanzania, Honeymoon Aljabri, kushinda tuzo ya filamu bora ya kigeni katika tamasha la filamu za kimataifa lililofanyika juzi katika Hoteli ya Double Tree mjini Houston Marekani. Honeymoon ambaye pia ndiye prodyuza wa filamu hiyo, alisema furaha yake […]

Read More..

Mafufu Adaiwa Kuzabwa Kibao na Mkewe

Post Image

Kali tuliyoinasa inamhusu msanii maarufu wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu ambaye inadaiwa juzikati alijikuta akinaswa kibao na mkewe baada ya kumsifia msichana aliyemuona kwenye TV. Chanzo ambacho ni ndugu wa mke wa Jimmy kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, siku hiyo walikuwa wakitazama filamu kwenye TV, Jimmy akaonekana kuvutiwa na mdada mmoja na kuanza […]

Read More..

Ommy Clayton Amleta Gabo na Kitu

Post Image

MTAYARISHAJI na mtunzi mahiri wa filamu za Kibongo  Omary Clayton ‘ Ommy Clayton’ wiki ijayo anatarajia kuachia filamu yake kali nay a kusisimua ya Kitu ambayo amewashirikisha wasanii wakali kama vile Ahmed Salim ‘Gabo’ na wengine. “Safari hii nimejipanga zaidi kikazi kwani filamu yangu ya Kitu si mchezo unakutana na msanii Gabo kafanya maajabu humo, […]

Read More..

Rammy Gallis Achukia Kuitwa Kanumba Feki

Post Image

MAMBO vipi mpenzi msomaji wangu, kama ilivyo kawaida yetu ni kukupa wewe msomaji kitu roho inapenda kwa kuwa tunajua unapenda kujua maisha halisi ya mastaa wetu wa hapa Bongo. Leo aliyetupendezeshea ukurasa wetu ni muigizaji anayefananishwa na marehemu Steven Kanumba, Rammy Gallis anayeishi maeneo ya Chang’ombe jijini Dar. Ili kujua maisha yake halisi, twende pamoja […]

Read More..

Lulu Afunguka, Mama Kanumba Ajibu

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ anadaiwa kulinogesha bifu lake na mama wa aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegeo kufuatia posti yake ya hivi karibuni akiashiria kumtisha mama huyo. Lulu juzikati alitupia ujumbe mtandaoni akimjibu mmoja wa mashabiki wake aliyeuliza sababu ya yeye na mama Kanumba kutoiva ambapo aliandika: “…ni […]

Read More..

Odama Kuanza Mwaka na Filamu ya Mkwe

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Jeniffer Kyaka maarufu kama Odama anakuja na movie yake mpya ya ‘Mkwe’. Odama ni miongoni kati ya wasanii wenye vipaji vya kuigiza kwenye kiwanda cha Bongo Movie. Mpaka sasa amefanikiwa kufungua kampuni yake ya production (J Film For Life) ambayo tayari ameshafanikiwa kupata deals kadhaa. Tarehe 25 ya mwezi huu wa […]

Read More..

Shilole Alazwa Hospitali Baada ya Kuzidiwa ...

Post Image

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva,  Shilole amelazwa hospitali baada ya kuzidiwa usiku wa jana.   Akiongea na Bongo5, Babalevo ambaye yupo katika hospitali aliyolazwa muimbaji huyo iliyopo Kinondoni, amedai kuwa usiku wa jana alichemka kiasi cha kukosa nguvu na kulazimika kupelekwa hospitali. Aliwekewa drip kushusha homa hiyo na madaktari wamemshauri apate muda wa […]

Read More..

Bi Kidude Kukumbukwa Unguja na Dar

Post Image

FILAMU ya maisha ya Bi Kidude inatarajiwa kuzinduliwa Aprili 16 visiwani Zanzibar katika Ukumbi wa ZanCinema mjini Unguja. Filamu hiyo pia itazinduliwa  Dar es Salaam Aprili 19 mwaka huu. Mwandaaji na mtayarishaji wa filamu hiyo, Andu Jones, alisema filamu hiyo itabeba ujumbe kuhusu maisha ya bibi huyo na kueleza kifo chake ikiwa katika lugha ya […]

Read More..

Kajala Amtolea Chozi ‘CK wa Wema’!

Post Image

Siku chache baada ya gazeti dada na hili, Risasi Jumamosi kuandika juu ya aliyekuwa kigogo wa msanii Wema Sepetu, Clement Kiondo ‘CK’ kunaswa akiuza mishikaki, tukio hilo limemliza shosti wa Wema, Kajala Masanja. Kumwaga chozi kwa Kajala kumetokana na maelezo yake kwamba, baada ya kuiona habari hiyo hakuweza kuamini kama kweli ni CK yule aliyewahi […]

Read More..

Ndauka Afungukia Mapenzi, Kampuni Yake!

Post Image

Leo kwenye safu yetu hii tunaye mwanadada Rose Ndauka ambaye amepotea kidogo kwenye sanaa ya uigizaji kutokana na kubanwa na kazi zake binafsi. Rose ameongea mengi alipokuwa akijibu maswali 10 aliyoulizwa na Mwandishi Wetu Hamida Hassan ndani ya ofisi yake iliyopo Mwenge jijini Dar. Unataka kujua alichofunguka? Fuatilia hapa chini. Ijumaa: Mambo Rose, mbona kimya […]

Read More..

Hemed PHD: Sitaacha Kujipodoa kwa Hofu ya W...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu na msanii wa Bongo Fleva, Hemed Suleiman ‘Hemedy PhD’, amesema kwamba hataacha kutumia vipodozi kwa kuwa humuweka nadhifu na humwongezea mvuto wa mwili wake. Hemed anayetamba na wimbo wake wa ‘Imebaki stori’, alisema vipodozi anavyotumia zaidi ni poda, lipshine na pafyum na hataacha kujiremba. “Sitaacha kujiremba kwa sababu kujiremba siyo kwa wasichana […]

Read More..

Bongo Movie Premiere: Shamsa Ford na Odama ...

Post Image

Ilikuwa ni siku ya jumatanowiki hii  ndani ya Escape One, pale Steps Entertaiment ilipokusanya wasanii wa Tanzania na Burundi katika uzinduzi wa filamu ya Najuta Shamsa na Mkwe ambayo imetengeneza na Odama. Wasanii waliokuwepo ni Dude, Jb, Rashid Mrutu, Faridi Uwezo, Omary Clayton, Rose Ndauka, Wastara, Shamsa Ford, Odama, Mussa Banzi na wengine kibaoooooo.

Read More..

Shamsa Ford: Simtaki Nay wa Mitego!

Post Image

Staa wa filamu Tanzania Shamsa Ford amesafisha hewa baada ya kuwepo kwa uvumi wa yeye na Nay wa Mitego kutamaniana kurudisha penzi lao.   Shamsa alifunguka yote hayo baada ya vyombo kadhaa vya habari na mitandao tofauti tofuti ya kijamii kuripoti kuwa Nay katika moja ya mahojiano aliyoyafanya hivi karibuni alisema kuwa anatamani kurudiana na […]

Read More..

Msalaba wa Ajabu Wamshangaza Mama Kanumba

Post Image

Jambo limezua jambo! Baada ya hivi karibuni barua yenye ujumbe mzito kukutwa kaburini kwa aliyekuwa staa wa sinema za Bongo, marehemu Steven Kanumba, limezuka  jipya ambapo kitu kilichopo kaburini kinachodaiwa ni msalaba (kilichozungushiwa duara pichani) kimemshangaza mama wa Kanumba, Flora Mtegoa. Kitu hicho cha chuma chenye umbo la pembe tatu katikati kikiwa na alama ya […]

Read More..

Snura Mushi: Natamani Kufumaniwa

Post Image

KATIKA hali ya kushangaza mkali wa wimbo wa ‘Chura’ wenye mahadhi ya Singeli, Snura Mushi ‘Snura Majanga’, amedai kwamba anatamani afumaniwe. “Sijawahi kufumaniwa ila natamani nifumaniwe ili nijue uchungu na changamoto zake maana ili uweze kusimulia kitu vizuri sharti kikutokee,” alieleza Snura. Pia Snura alifafanua kwamba licha ya kutokuwahi kuolewa ana watoto wawili huku akiongeza […]

Read More..

Kisa Mil.98 Wema Ammwaga Idris

Post Image

Habari ya mtoto mzuri Wema Sepetu ‘Madam’ kumwagana na mpenzi wake, Idris Sultan si ngeni masikioni mwa wapenda ubuyu, imetapakaa kwenye mitandao ya kijamii lakini Amani limenasa sababu kubwa inayodaiwa kusababisha penzi hilo kuvunjika, twende pamoja. Mwishoni mwa wiki iliyopita, wawili hao waliripotiwa kumwagana rasmi ambapo haikubainika mara moja sababu. TUJIUNGE NA CHANZO Iliposambaa habari […]

Read More..