Kajala Ashtukia Uwekezaji
KAJALA Masanja amewasihi mastaa wenzake wajifunze kuwekeza hela wanazopata kwa kuwa kuna kipindi kitafika ustaa utaisha na kutakuwa hakuna kitu kingine cha kuwaingizia kipato. Kajala ambaye analitendea haki soko la filamu Bongo, alisema kila mtu atumie wakati wake sasa,” alisema Kajala. amepata wazo hilo hivyo ameona ni vyema akawatonya na wenzake maana amewaona watu wengi […]
Read More..





