Koffi Olomide Akamatwa Nyumbani Kinshasa
Mwanamuziki maarufu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC amekamatwa akiwa nyumbani kwake mjini Kinshasa. Wiki iliyopita Olomide alitimuliwa kutoka nchini Kenya baada ya video kuonyesha akimpiga teke mnenguaji wake wa kike katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta baada yake kuwasili nchini humo. Lengo la ziara ya Kenya alipangiwa kutumbuiza mashabiki wake Bomas of […]
Read More..







