-->

Niliitwa Mimi Mwizi- Babu Tale

Post Image

Meneja wa Diamond Platnumz na Tip top Connection, Babu Tale amefunguka na kusema kuwa wasanii wengi waliondoka kwake kwa maneno ambayo walikuwa wakiambiwa mtaani na wananchi kuwa ana wasimamia huku akiwaibia pesa zao. Babu Tale alisema haya kupitia kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kudai wasanii hao waliamua kuondoka chini ya uangalizi […]

Read More..

Wimbo wa ‘Pale Kati’ wa Nay wa ...

Post Image

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa ‘pale kati patamu’ ulioimbwa na Msanii Ney wa Mitengo kutokana na ukiukwaji mkubwa wa maadili. Taarifa iliyotolewa leo na Baraza hilo na kusainiwa na Katibu wake Mtendaji Godfrey Mngereza, imeeleza kuwa msanii huyo amekuwa na tabia na mienendo yenye kuchafua Sekta ya Sanaa yeye binafsi […]

Read More..

Mama Afunguka Wema Kurudiana na Diamond!

Post Image

Licha ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na staa wa filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuibuka na kukanusha sakata lao la kurudiana, bado madai ya wawili hao kutoka kwa siri yamekuwa yakishika kasi kiasi cha kumfanya mama mzazi wa Wema, Miriam Sepetu naye kulazimika kufungukia taarifa hizo. MADAI YA KURUDIANA […]

Read More..

Steve Nyerere: Mastaa Tupunguze ‘Raundi’

Post Image

MCHEKESHAJI mahiri Bongo, Steve Nyerere amewataka mastaa wenzake kupunguza kuagiza raundi wanapokuwa kwenye starehe za unywaji pombe badala yake, siku moja moja wajitoe kwa ajili ya kuwasaidia watoto yatima. Akizungumza wakati wa futari iliyoandaliwa na mfanyabiashara Davis Mosha nyumbani kwake Sinza, Steve aliwataka kuiga mfano wa pedeshee huyo kwa kuwa mara nyingi hujitoa kwa watoto […]

Read More..

Faiza Ally Afungukia Kiki za Bongo Movi

Post Image

Msanii wa filamu Faiza Ally amewataka wasanii wenzake wa filamu kuacha kutafuta ‘kiki’ ambazo haziwanufaishi katika kazi zao. Akiongea na Bongo5 wiki hii, Faiza amesema wasanii wengi wa kike wa filamu wanatafuta kiki za mapenzi bila kujua kiki hizo zitawasaidiaje. “Kiki sio mbaya lakini hiyo kiki inakusaidiaje?, mimi ukiona nafanya kiki ujue kuna kazi ambayo […]

Read More..

Roma Amemchana Babu Tale

Post Image

Wakati wananchi wa kisubiri kusikia wimbo mpya wa Roma juu ya kuichana serekali ya Magufuli ,Roma ameachia wimbo wake huo ambao amewachana wala unga pamoja na babu tale kumganda Diamond Baada ya mashabiki kukaa na kusubili kazi mpya ya Roma Mkatoliki ambayo amemshirikisha msanii mwenzake Darasa ambayo kila mwananchi akitegemea kusikia akiichana serekali ya Magufuli […]

Read More..

Johari Afungukia Ishu ya Kuolewa Mke wa Pil...

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka na kuweka wazi sababu yeye kubadili dini na kuwa muislam na kudai kwamba mwanaume hajawa sababu yeye kubadili dini bali yeye mwenyewe ana damu ya uislam ndani yake kwani wazazi wake mmoja ni mkristo na mwingine ni muislam. Johari kupitia kipindi cha eNEWS alisema hana mpango wa kuolewa […]

Read More..

Uwoya: Nikilala, Nikiamka Nawaza Siasa Tu

Post Image

STAA mkali Bongo Muvi, Irene Uwoya amefunguka kuwa bado hajakata tamaa ya kuwa mwanasiasa japokuwa mwaka jana alishindwa lakini hiyo imempa nguvu ya kujipanga zaidi na kwamba kwa sasa akili yake yote akilala, akiamka ni kuwaza siasa tu. Akizungumza na Amani Uwoya alisema kuwa, changamoto alizozipitia kipindi cha kampeni zimemfundisha mambo mengi na pia zimemkomaza […]

Read More..

Roma Mkatoliki: Babu Tale Alinichimba Mkwar...

Post Image

Msanii Roma Mkatoliki ambaye leo ameachia ngoma yake mpya ‘Kaa tayari’ amefunguka na kusema moja ya mstari uliopo kwenye wimbo wake huo unamuhusu meneja wa Diamond Platnumz ambapo unamchana kuwa saizi anamganda sana Diamond Platnumz mpka amelisahau kundi lake na Tip Top Connection. Roma Mkatoliki amedai kabla ya wimbo huo haujatoka aliweza kusimkilizisha Babu Tale kisha […]

Read More..

Tetesi:Masogange, Rammy Galis Wamwagana

Post Image

Kimenuka! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia ubuyu ulioenea ‘town’ kuwa uchumba wa mastaa wapenzi Bongo, Rammy Galis na Agness Gerald ‘Masogange’ unadaiwa kuvunjika. Ubuyu huo ulianza kutapakaa baada ya picha ya Rammy ambaye ni mwigizaji wa Bongo Muvi na Masogange kuwekwa kwenye kurasa mbalimbali za Mtandao wa Kijamii wa Instagram huku zikiwa zimeambatana na maneno yanayodaiwa […]

Read More..

Dudubaya:Muziki Siyo Mkojo

Post Image

Msanii Dudubaya amefunguka na kusema kuwa msanii anapaswa kutulia na kujipanga kwenye kutengeneza nyimbo zake ili aweze kufanya kazi nzuri na yenye kuvutia kwa mashabiki kwani muziki si kama mkojo kuwa unapojisikia umekubana ukojoe. Dudubaya amesema hayo kupitia kipindi cha eNEWS alipokuwa akielezea sababu za yeye kuendelea kutamba na kuzungumziwa sana kwenye mitandao ya kijamii […]

Read More..

Shilole: Huyu Ndiye Mrithi wa Nuh!

Post Image

STAA anayebeba fani mbili kwa mpigo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, juzikati alimwanika bwana’ake mpya huku akijinadi kuwa ndiye mrithi halali wa aliyekuwa mpenzi wake wa kitambo, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni baada ya kubambwa kwenye Ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga jijini Dar es Salaam ilipokuwa ikifanyika Shoo ya Black Tie, […]

Read More..

Kufuatia Tetesi za Kuwepo kwa Mgogoro wa Ki...

Post Image

Kuna tetesi nyingi sana zimevuma kwenye mitandao ya kijamii wiki hii kuhusiana na Diamond na Zari. Miongoni mwa tetesi hizo ni pamoja na kuwa Zari haelewani kabisa na ndugu zake Diamond akiwemo mama mkwe wake na wifi yake, Esma. Hilo Zari alilielezea kwa mafumbo kwenye Snaochat na kudai kuwa hajali kama nchini au ukoo usipomkubali, […]

Read More..

Linah Sanga Afunguka Sababu ya Kutomuweka ...

Post Image

Msanii Linah Sanga ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ya ‘Imani’ amefunguka na kusema kuwa kwa mambo ambayo tayari yamemkuta kwenye mahusiano hayupo tayari tena kumuweka wazi mpenzi wake kwenye mitandao ya kijamii. Linah Sanga akiongea kwenye kipindi cha Enews amesema kwamba kwa sasa yeye hayupo tayari kumuweka wazi mpenzi wake kama ilivyokuwa […]

Read More..

Picha: Shamsa Ford Amuweka Wazi Aliyechukua...

Post Image

Staa mrembo kutoka bongo movies,  Shamsa Ford baada ya kupigana chini na mkali wa bongo fleva Nay wa Mitego na kuapa kutomwanika tena mpenzi wake mpya katika mitandao ya kijamii, Jumamosi hii hali imemshinda na kuanza kushare picha mbalimbali akiwa na mtu wake wa karibu. Muigizaji huyo mahiri wa filamu ambaye ni mama wa mtoto […]

Read More..

Shule 25 Kunufaika na Filamu za ZIFF

Post Image

MKURUGENZI wa Tamasha la Ziff, Profesa Martin Mhando, amesema kwamba baadhi ya filamu katika tamasha la mwaka huu zitatumika kwa ajili ya kufundishia. “Tumeanza kujihusisha na filamu za kuonyesha vijijini na kufundishia shuleni ambapo shule zaidi ya 25 zitanufaika kwa elimu hiyo itakayokuwa ikitolewa kila wiki.” Alisema wameona kuna umuhimu mkubwa kutumia filamu kufundishia ili […]

Read More..

Nilimtoa Masogange-Belle 9

Post Image

Msanii wa RnB Abednego Damian ‘Belle 9’, amesema umaarufu wa mkali wa kunogesha video za wasanii, Agnes Gerald ‘Masogange’, umetokana na wimbo wake wa ‘Masogange’. Belle 9 alisema huwa anaamini kipaji cha mtu ndio maana wengi aliowashirikisha katika nyimbo zake wamepata umaarufu mkubwa. “Nimefanya kazi na wasanii wasiotambulika akiwemo Masogange na wamepata umaarufu mkubwa pia […]

Read More..

Dkt Shein: Zanzibar Kuwa Kitovu cha Filamu ...

Post Image

RAIS wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Zanzibar inaweza kupiga hatua kubwa ya kimaendeleo katika tasnia ya utengenezaji filamu na maigizo kutokana na mandhari na historia yake katika fani hiyo sambamba na mikakati liyojiwekea. Dk. Shein aliyasema hayo leo Ikulu mjini Zanzibar, wakati alipokuwa na mazungumzo na Mkongwe wa Filamu za Kihindi Kunal […]

Read More..