-->

Busu la Penny Lazua Utata

Post Image

Busu ambalo mtangazaji Peniel Mungilwa ‘Penny’ amempiga mwigizaji Shamsa Ford limezua utata kufuatia watu kumhusisha na tabia isiyofaa. Hayo yalijiri hivi karibuni baada ya mtangazaji huyo kutupia picha kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram ndipo wafuasi wa mtandao huo walipoanza kumsema vibaya wakidai anajiabisha kwa vitendo visivyofaa. Alipoulizwa kuhusiana na jambo hilo, Penny alisema: “Hayo […]

Read More..

Harmonize Afungukia Penzi la Wolper

Post Image

Baada ya tetesi kuvuma kuwa ukaribu wa kimapenzi kati ya muigizaji Jackine Wolper na staa wa Bongo Fleva Harmonize ni wa kuigiza na kutafuta kiki, Harmonize ameamua kufunguka juu ya mahusiano hayo. Akizungumza na eNewz Harmonize alisema kuwa muda ukifika atampelekwa mchumba wake huyo kwao kwa ajili ya kumtambulisha kwa wazazi wake huku wakiwa na […]

Read More..

Lulu Kusaka Tuzo Oscar na Filamu ya ‘Ni N...

Post Image

ILE Filamu kubwa ya Ni Noma ‘Huyu Demu ni Feki’ kutoka kwa mwanadada Nyota katika tasnia ya filamu Swahilihood Elizabeth Michael ‘Lulu’ ipo tayari kuingia sokoni baada ya kutengenezwa katika viwango vya kimataifa, kazi hiyo inakwenda kusaka tuzo kubwa kabisa ya Oscar. Filamu ya Ni Noma chini ya utayarishaji wa mtayarishaji mahiri kabisa katika utayarishaji […]

Read More..

BASATA wafunguka, Baada ya Alikiba Kusaini ...

Post Image

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limempongeza msanii Alikiba baada ya jana kusaini mkataba chini ya kampuni ya ‘Sony Music’ duniani na kusema kuwa hilo ni jambo la msingi na litasaidia saa yetu na kusisitiza kuwa sanaa ya staha inalipa zaidi. BASATA wamedai kuwa siku zote ukifanya sanaa ambayo ina staha inalipa zaidi na kudai kuwa […]

Read More..

Sifanyi Muziki kwa Ajili ya Tuzo-Nay wa Mit...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Nay wa Mitego ambaye alisumbua sana na wimbo wake ‘Shika adabu yako’ ambao ulifungiwa na Baraza la Sanaa (BASATA) na sasa ameachia wimbo wake mpya ‘Saka hela’ amefunguka na kusema kuwa yeye hafanyi muziki ili kupata au kushinda tuzo. Nay wa Mitego aliyasema haya alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha eNEWS […]

Read More..

Kisa Talaka, Thea, Mike Wapelekana Kanisani

Post Image

Mastaa wa Filamu Bongo waliokuwa wanandoa, Mike Sangu na Salome Urassa ‘Thea’ wamepelekana kwa padri wa Kanisa  la Katoliki Parokia ya Mwananyamala jijini Dar kwa ajili ya hatua ya kutalikiana. Chanzo kilicho karibu na mastaa hao kilidai kuwa, Thea ndiye aliyekusanya picha anazoposti Mike kupitia ukurasa wake wa Instagram akiwa na mpenzi wake wa sasa […]

Read More..

Jux Asimulia Alivyomnasa Vanessa Mdee

Post Image

Msanii Jux amefunguka na kusimulia namna alivyoweza kumnasa na kumuweka kwenye imaya yake ya mapenzi Vanessa Mdee na kusema kuwa kwa mara ya kwanza aliweza kuonana kwa mara ya kwanza na Vanessa Mdee studio na hapo ndipo walipoanza kujenga taratibu mahusiano yao. Kupitia kipindi cha Mkasi Jux amesema kuwa yeye lengo lake kubwa lilikuwa ni kufanya […]

Read More..

Sijamvisha Mtu Pete- Harmonize

Post Image

Msanii kutoka katika label WCB Wasafi Harmonize ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya wa ‘Bado’ amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake ya hajawahi kuvalishwa pete ya uchumba na wala yeye hajawahi kumvalisha mtu pete ya uchumba na kudai mpenzi wake mpya Jackline Wolper amemkuta akiwa hana mtu na ndiyo maana wakaweza kuanzisha […]

Read More..

Amanda Abanwa Kuhusu Ukimwi, Afunguka

Post Image

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Amanda Poshi amefungukia taarifa zinazomhusisha yeye kuugua maradhi ya Ukimwi. Amanda amefunguka hayo baada ya kuvuja kwa picha zake zinazomuonesha akiwa amepungua mwili na kusababisha gumzo litawale kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii watu wakihusisha kukonda kwake na ugonjwa huo ndipo mwanahabari wetu alipombana, akafunguka: “Nina desturi ya kupima kila wakati, […]

Read More..

Nay wa Mitego ni Mtoto Mdogo Kwangu Kisanaa...

Post Image

ZUBERY Mohamed ndio jina lake alilopewa na wazazi wake lakini katika filamu anajulikana kama Niva super Mario msanii huyu ambaye ni mwigizaji na mwanamuziki wa kizazi kipya anaibua malumbano na msanii wa muziki wa Bongo Fleva Ney wa Mitego na kusema kuwa ni mdogo katika sanaa. “Unajua kwa wale wasiomjua Ney wa Mitego ndio wanamhofia […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kuhusu Uchawi Kwenye M...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz amesema yeye haamini kama kuna ushirikina, hususani kwa wanamuziki wa bongo fleva. Ommy Dimpoz ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye stori 3 za Planet Bongo East Africa Radio, na kusema kuwa hawezi kumtuhumu mtu mshirikina kwani hajawahi kumuona mtu akifanya ushirikina. “Kwenye bongo fleva siwezi kusema kuna ushirikina, au hakuna, mi siamini mambo […]

Read More..

Gardner Agoma Kumuomba Radhi Lady JayDee

Post Image

Mtangazaji wa Clouds FM, Gardner G. Habash kupitia wakili wake, amemjibu aliyekuwa mkewe, Lady Jay Dee, aliyemtaka aombe radhi ndani ya siku saba kwa kauli aliyoitoa iliyodaiwa kuwa imelenga kumdhalilisha. Katika majibu yake amekana madai hayo. Siku chache zilizopita, Gardner alionekana katika kipande cha Video akisherehesha tukio la kumsaka mrimbwende wa chuo cha Tanzania Institute […]

Read More..

Sumaku: Sijamuona wa Kuvaa Viatu vya Kinyam...

Post Image

KIONGOZI wa Wasanii wa Vichekesho Tanzania, Habib Mkamba ‘Sumaku’ amesema kwamba kifo cha msanii mwenzao, James Peter ‘Kinyambe’ kilichotokea hivi karibuni, hakuna wa kuliziba pengo lake. Akipiga stori na Ijumaa, Sumaku alisema Kinyambe alikuwa na staili yake ya kipekee katika uchekeshaji hivyo hakuna msanii anayeweza kuvaa viatu vyake. “Mimi sijaona wa kuvaa viatu vya Kinyambe, […]

Read More..

Fid Q Afunguka Haya Kuhusu Kuchanwa na Rad...

Post Image

Baada ya lile bifu la siku nyingi kati ya rapa kutoka mwanza Fareed kubanda a.k.a Fid Q na msanii mwenzake kutoka lebel ya Kiraka Rado,hatimaye Fid Q amekiri kuwa Rado ni msanii pekee aliyemdiss kwa mistari mikali kuliko wasanii wote waliowahi kumdis. Akizungumza na Enewz Fid Q alisema kuwa Rado ni rafiki aliyemfunza kitu katika […]

Read More..

Diamond Platnumz Atajwa Kuwania Tuzo za BET

Post Image

Mwananmuziki Diamond Platnumz ametajwa kwa mara ya pili kuwania tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act: Africa, mwaka huu 2016. Wakali wengine wanaowania tuzo hiyo ni pamoja na Wizkid, Yemi, AKA na wengineo.Tuzo hizo zitatolewa mwishoni mwa mwezi Juni nchini Marekani.

Read More..

Wema Sepetu Afunguka Haya Huhusu Alikiba

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu amefunguka na kusema kuwa msanii Alikiba ni mtu wa kumuacha kutokana na uwezo wake wa kuimba na namna ambavyo anaweza kuipangilia sauti yake kwenye muziki.     Wema Sepetu amezidi kuonyesha mapenzi aliyonayo kwenye kazi za msanii Alikiba na kusema huwa zinamkosha sana na kudai hajawahi kumuangusha siku zote […]

Read More..

Rose Ndauka Atoboa Siri ya Mambo Yake Kumny...

Post Image

MKALI wa filamu Bongo, Rose Ndauka ametoa siri ya mambo yake kumnyookea kuwa imetokana na kumuhusisha Mungu kwa kila anachokifanya na wala si vinginevyo kama watu wanavyodhania. Akizungumza na Amani, Rose ambaye kwa sasa anamiliki kampuni inayojishughulisha na kutengeneza Jarida la Rozzie, alisema kuwa Mungu ndiye aliyemtendea miujiza hiyo kwani asingemshirikisha asingekuwa hapo alipo. “Siri […]

Read More..

Pasha Amuumbua Snura, Afunguka Haya

Post Image

Baada ya msanii wa Bongo fleva Snura Mushi kufunguka kuwa hajawahi na hafikirii kutoka na msanii wa Bongo Fleva Pasha amuumbua. Akizungumza na Enewz Pasha alisema kuwa yeye alishawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Snura ila kipindi hiko Snura alikuwa hajaanza kufahamika na yeye alikuwa akitamba na nyimbo ya ni soo. “Kusema hajawahi kutoka […]

Read More..