-->

Sakata la Chidi Benz Kutoraka ‘Sober Hous...

Post Image

Wakati wadau wa muziki wakifahamu kuwa msanii wa muziki wa Hip Hop Bongo, Rashid Makwilo ‘Chidi Benz’ yuko katika kituo cha kusaidia waathirika wa madawa ya kulevya ‘sober house’ kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani, inadaiwa Chidi Benz alishatoroka kitambo na sasa yuko kitaa. Akizungumza na Global Publishers meneja wa kituo hicho, Tumaini Majura, amethibitisha kuondoka kwa […]

Read More..

Young Dee Afunguka Kuhusu Madawa ya Kulevya...

Post Image

Young Dee amekanusha tena uvumi ulioenea mtaani kuwa anajihusisha na matumizi ya dawa za kulevya. Akiongea kwenye kipindi cha Harakati cha Clouds FM kinachoendeshwa na Kalapina, rapper huyo amesema tokea akiwa mdogo amekutana na mambo mengi ya kuzushiwa. “Hata mimi nasikia sana,” alijibu alipoulizwa kuhusu tetesi za kutumia unga. “Unajua mimi nimekuwa kwenye muziki tokea […]

Read More..

Nay wa Mitego Awafungukia Wolper, Nisha na ...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva  ambae haishi kuwachana mastaa wenzake. Nay wa Mitego, amewatupia vijembe wasanii wa kike wa bongo movie wanaopenda wasanii wa Bongo Fleva wanaochipukia na kuhit redioni. Kupitia video aliyoipost kwenye account yake ya instagram amewataja warembo hao kuwa Jacqueline Wolper, Nisha pamoja na Shilole. Amesema wasanii hao ni kiboko kwa kukwapua wasanii […]

Read More..

Gabo Zigamba Adai Kunfunika Ray

Post Image

Msanii wa filamu nchini ambaye anafahamika kwa kuigiza kwa lafudhi ya Kimakonde Gambo Zigamba amefunguka na kusema kuwa yeye ni zaidi ya msanii Ray Kigosi kwenye kazi kwani yeye anafanya zaidi ya Ray. Akizungumza kwenye kipindi cha eNewz Gambo Zigamba aliweka wazi kuwa kipindi ambacho wakina Ray na wasanii wengine wakongwe wanafanya kazi zao hizo […]

Read More..

Wolper Afungukia Penzi Lake na Harmonize, A...

Post Image

Mwigizaji Jackline Wolper jana amefanya mahojiano na Zamaradi Mketema kwenye kipindi cha TakeOne na kuzungumzia mambo mengi kuhusu yeye na aliyekuwa mpenzi wake Putin ‘Mkongo’ aliyemvisha pete, na uhusiano wake na msanii Harmonize. ‘Ni kweli Raj (Harmonize) ni mpenzi wangu,ukweli nilimjua siku nyingi nilikuwa nikimchukulia kama mwanamuziki tu, tuna mwezi mmoja na wiki mbili sasa’’ […]

Read More..

Nay Amnasa Mchumba Mhabeshi

Post Image

Miezi michache tu baada ya staa wa Hip Hop Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’  kuripotiwa kutoka na msichana anayejulikana kama Chaga Baby, imedaiwa kuwa hivi sasa, yupo na mrembo raia wa Ethiopia (Mhabeshi) anayejulikana kwa jina la Addi na ameapa kufunga naye ndoa. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa, Nay na mwanadada huyo ambaye […]

Read More..

Mboto na Riyama Wamshushua Tunda Man

Post Image

Mchekeshaji maarufu hapa nchini, Mboto, pamoja na muigizaji wa filamu Bongo movies, Riyama Ally, wamekanusha kufanya filamu ya ‘Mama Kijacho’ kama alivyodai mwanamuziki Tunda Man ambaye ndiyo alijinadi kuwa muhusika mkuu. Mboto amekanusha hayo mbele za kamera ya eNewz na kusema kuwa “mimi sijawahi kushuti movie ya mama kijacho,” alisema Mboto alizidi kuongeza kuwa “Msema […]

Read More..

Meneja wa Wema Afungukia Ugomvi wa Mirror n...

Post Image

Mwanamitindo na Meneja wa Wema Sepetu, Martin Kadinda amefunguka juu ya ugomvi wa Mirror na Petiti Man.  Akizungumza na Enewz Kadinda alisema kuwa ugomvi wa Mirror na Meneja wake anayesimamia kazi zake za muziki yaani Petit man ni utoto tu unawasumbua. “Petiti bado yupo Endles Fame kwakuwa bado hajaiandikia barua kampuni kuwa anatoka na yote […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kuumizwa na Hiki Kuhus...

Post Image

Ikiwa zimesalia siku chache tu kuadhimishwa kwa miaka mitatu ya kifo cha msanii wa Hip Hop na mkali wa Free style Albert Mangwea, Ommy Dimpoz amefunguka mengi kuhusu msanii huyo. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Ommy Dimpoz ambaye ni moja kati ya miongoni mwa watu walioathiriwa na msiba wa Ngwair, amemzungumzia msanii […]

Read More..

Picha: Wolper na Harmonize Mahaba Niue

Post Image

Couple inayokuja kwa kasi Bongo kati ya staa wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper na mwanamuziki anayekimbiza katika Bongo Fleva, Harmonize imezidi ku-make headlines katika mitandao ya kijamii. Wawili hao walianza kwa siri lakini kwa sasa wameamua kuweka mambo hadharani bila kupepesa macho na kuudhihirishia umma kuwa kwa sasa ni wapenzi na hakuna kificho tena. Katika […]

Read More..

JB Adai Alizitolea Nje Ofa Tatu za Movie za...

Post Image

JB si msanii anayezuzuka na filamu za Kinaijeria ndio maana amesema ameshazitolea nje ofa tatu za kuigiza filamu za Kinaijeria. “Natoboa siri ambayo watu hawaijui, nimekataa script zaidi ya tatu Nigeria kwenda kuact kwasababu hazinilipi,” muigizaji huyo aliiambia 255 kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM. “Naapa mbele ya Mungu ukitaka nitakuonesha, zipo. Sababu ni […]

Read More..

Mv Bukoba Imeua Furaha Yangu – Kala J...

Post Image

Msanii Kala Jeremiah amesema inapofika siku yake ya kuzaliwa huwa ni siku ya huzuni kwake, tofauti na wengine wanaosherehekea siku zao za kuzaliwa. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Kala Jeremiah amesema siku hiyo ndio siku ambayo ilitokea ajali ya Mv Bukoba na kuuwa watu zaidi ya 800, hivyo huitumia siku hiyo kufanya […]

Read More..

Alikiba Amuombea Kura Diamond Platnumz

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka na kusema kwa mafanikio aliyopata toka amerudi kwenye muziki tena ndani ya muda ni mfupi ni sawa na kuchana msamba kwake maana siyo hatua za kawaida. Alikiba alisema haya kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kusisitiza kuwa yeye kusaini mkataba na kampuni ya ‘Sony Music’ jambo kubwa sana […]

Read More..

Kisa Chura, Snura Anusurika Kichapo

Post Image

STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Chura’ juzikati akiwa kwenye shoo iliyofanyika Masasi, Mtwara alijikuta katika wakati mgumu baada ya kutaka kupigwa na mashabiki kisa kikiwa eti ni kutokuimba Wimbo wa Chura ambao umefungiwa. Kwa mujibu wa chanzo, tukio hilo lilijiri mida ya usiku katika ukumbi mmoja maarufu uliopo Masasi ambapo Snura alikuwa […]

Read More..

Aunt Ezekiel Aeleza Maumivu Aliyopata Wakat...

Post Image

Msanii wa filamu Aunt Ezekiel amefunguka na kueleza jinsi alivyopitia maumivu makali wakati wa kujifungua mtoto wake wa pekee ‘Cookie’ ambaye ametimiza moja mmoja hivi karibuni. Kupitia ukurasa wake wa instagram, Aunt Ezekiel aliandika: Haikuwa siku ya furaha katika maisha yangu ilikuwa ni siku ngumu kushinda siku zote nilizowahi kupitia katika maisha yangu hata misiba […]

Read More..

Picha: Wema azindua ‘Mobile Aplication’...

Post Image

   

Read More..

Kuelekea Ramadhan, Nisha Afanya Jambo Hili

Post Image

  ZIKIWA zimesalia siku chache kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhan kuanza, staa wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ jana aliukaribisha kwa kula chakula cha jioni na watoto yatima. Nisha aliwatembelea watoto yatima wa kituo cha New Hope Family Group kilichopo Kigamboni, Dar,  ambapo alipata nafasi ya kula nao chakula cha jioni alichokiandalia, hali iliyosababisha […]

Read More..

Lulu, Gigy Money Wacharuana

Post Image

MASTAA wawili wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Gift Stanford ‘Gigy Money’ wamejikuta wakiingia kwenye mtifuano mkali baada ya kutoleana maneno machafu. Chanzo makini kilieleza kuwa ishu ilianzia kwa Gigy ambaye alisema mwanadada Lulu hajui kuvaa anavaa matangazo, hii ni baada ya kuulizwa na kituo kimoja cha runinga kwamba ataje mastaa kumi wanaojua kuvaa ambapo […]

Read More..