Calisah: Kama Sio Mimi ni Wema Aliyevujisha...
Sinema ya model Calisah imezidi kushika kasi – amefunguka kwa kudai kuwa ni yeye au Wema Sepetu ndio waliovujisha video inaowaonesha wakilana denda. Siku chache zilizopita mwanamitindo huyo wa kiume alikamatwa na polisi kwa kosa la kudaiwa kusambaza kipande hicho cha video lakini baadae aliachiwa. Akiongea na kipindi cha Campus Vibes cha Times FM, Calisah […]
Read More..






