-->

Daily Archives: February 20, 2017

Simkubali Fid Q kwa Hili – Young Killer

Post Image

Rapa Young Killer Msodoki amefunguka na kusema hajawahi kumkubali rapa Fareed Kubanda  Fid Q kwenye kufanya mitindo huru kwa kuwa hajawahi kumuona mkali huyo wa hip hop Bongo akifanya mitindo huru. Young Killer alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema yeye anawakubali sana Nikki Mbishi, Godzilah pamoja na […]

Read More..

Video: Gigy Atoboa Kisa cha Kugombana na Mp...

Post Image

Mtangazaji wa kipindi cha Lavidavi cha ChoiceFm, Gigy Money amefunguka kwa kueleza kilichosababisha akagombana na mpenzi wake Mo J na jinsi walivyomaliza ugomvi wao. Akiongea na Bongo5 wiki hii, Gigy amedai aliumizwa na kitendo cha kupigwa na mpenzi wake huyo baada ya kugundua amechepuka. “Kuna mambo yalitokea, Mo J alichepuka mimi nikamshtukia, kwa baada ya […]

Read More..

VIDEO:Ray C Amtaja Mpenzi Wake wa Kwanza

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Ray C amefunguka na kusema katika maisha yake alianza mahusiano ya mapenzi akiwa na umri wa miaka 16 na kusema alikuja kuachana na mtu wake wa kwanza kutokana na mambo ya ujana. Mbali na hilo Ray C alizungumzia juu ya ujio wake mpya na kusema wiki ijayo atafanya video […]

Read More..

Mbowe Akamatwa na Polisi, Afikishwa Kituo c...

Post Image

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, leo Februari 20, 2017 amekamatwa na Jeshi la Polisi, Dar es Salaam wakati akienda kujisalimisha kwa ajili ya mahojiano kufuatia Mkuu wa Mkoa wa Dar, Pal Makonda kumtaja kwenye sakata la madawa. Kamanda wa Polisi Kanda maalumu Dar es Salaam Simon Sirro amethibitisha kukamatwa kwa Mwenyekiti Freeman Mbowe. Mwenyekiti wa Chadema […]

Read More..

Idris Sultan Asimulia Nafasi Aliyocheza Kwe...

Post Image

MCHEKESHAJI maarufu Bongo na aliyekuwa mshiriki wa shindano na ‘Big Brother Africa’, Idris Sultan amefunguka amefunguka kwa kuwaonjesha mashabiki wake uhusika aliouvaa kwenye filamu ya ‘Kiumeni’. Kupitia mtandao wa Instagram, Idris amesimulia kwa kuandika, “Humu ndani nauza madawa kwahiyo nina mpunga wa kumwaga halafu nipo kitaa, demu wangu wa zamani anakuja na mwanaume kumtambulisha kwao na […]

Read More..

Neno la Shamsa Ford kwa Mumewe Chid Mapenzi

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambaye ni mke wa Chid Mapenzi amefunguka ya moyoni na kusema hata kama dunia nzima itakuwa ikimzomea mumewe, yeye ataendelea kumpenda kwani kitendo hicho hakiwezi kubadilisha mapenzi yake kwake. Shamsa Ford amesema hayo kutokana na ukweli kwamba mumewe ni kati ya watu ambao wameitwa Kituo cha Polisi na Mkuu wa […]

Read More..