-->

Daily Archives: February 13, 2018

Zari saa chache baada ya picha ya Hamisa na...

Post Image

Baada ya muimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz na mzazi mwenzake Hamisa Mobetto kufikishana Mahakamani wiki iliyopita inadaiwa kuwa mambo yao yapo sawa kwa sasa na wamemaliza tofauti zao, hiyo ni baada ya kusambaa kwa picha za official videographer wa Diamond Platnumz ambaye ni Lukamba kusambaa kwa picha mtandaoni akiwa na Hamisa. Kitendo cha Lukamba kuonekana kumfanyia photoshoot Hamisa kimeanza kuhusishwa kuwa Diamond na Hamisa wapo sawa kwa sasa ndio maana Lukamba ameonekana […]

Read More..

VideoMPYA: Saida Karoli kwenye “Akatambal...

Post Image

February 12,2018 msanii mkongwe katika game ya muziki nchini Saida Karoli anakuletea video ya wimbo wake mpya “Akatambala” akiwa ndani kamshirikisha Hanson Bariluno kutokea Uganda.

Read More..

VideoMPYA: Beka Flavour anakualika kuipokea...

Post Image

Tukielekea kwenye msimu wa Valentine msanii wa Bongo Fleva Beka Flavour anakuletea hii video mpya ya kuitazama “Kibenten”. Usisahau kuweka comments yako baada ya kuitazama

Read More..