-->

Daily Archives: February 28, 2018

Ray, JB Waapa Kutoana Meno Pasaka!

Post Image

WAKALI wa filamu za kibongo nchini, Vicent Kigosi ‘Ray’ na Jacob Stephen ‘JB’ wameapa kupasuana vilivilivyo katika pambano la raundi nane ambalo siyo la ubingwa lilipangwa kufanyika usiku wa pasaka kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro. Mbali ya manguli hao wa filamu nchini kutoka katika kiwanda cha Bongo Muvi, Bondia Twaha Hassan wa Morogoro  ‘Kiduku’ anatarajia kuzichapa dhidi ya Chimeme Chiota  […]

Read More..