-->

Daily Archives: February 15, 2018

Riyama Awatolea Povu Hawa

Post Image

NYOTA wa filamu nchini, Riyama Ally amedai kukerwa na tabia za baadhi ya watayarishaji na wasambazaji wanaomtumia katika kazi zao kibabaishaji na kumharibia jina lake. Alisema ametengeneza jina lake kwa gharama kubwa na kwa muda mrefu, kitendo ambacho kinamvunja moyo kuona watu wanaliharibu kirahisi. “Mtu anasema dada yangu naomba unisapoti katika kazi yangu, uso umeumbwa […]

Read More..

BreakingNews: Zari na Diamond wameachana!

Post Image

Zarinah Hassan anayejulikana kama “Zari the boss lady” ametangaza rasmi kuwa amemuacha msaani maarufu  Nasibu Abdul anayejulikana “Diamond platnumz”. Kwa kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa kijamii wa Instagaram, Zari amesema kilichompelekea kufanya hivyo ni kutokana na Diamond kutokuwa mwaminifu kwenye mahusiano   MANENO ALIYOANDIKA ZARI KUPITIA MTANDAO WAKE WA INSTAGRAM   “Understand that this is […]

Read More..