-->

Author Archives: editor

SHILOLE : Macho ya Uchebe, Tabasamu Lake Mi...

Post Image

NAJUA unamjua ila Mpaka Home inakujuza zaidi. Siyo mwingine ni staa wa Bongofleva, Shilole maarufu kama Shishi Baby ambaye wazazi wake walimpa jina la Zuwena Mohammed. Shishi ametamba na nyimbo kadhaa katika Bongofleva ingawaje umaarufu wake ulianzia kwenye filamu. Hivi karibuni, alifunga pingu za maisha na Ashraff Uchebe, watu wengi hawajui staa huyu anaishi vipi […]

Read More..

Miss Tanzania Afunguka Haya Kuhusu Alikiba

Post Image

Miss Tanzania 2016, Diana Edward amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye anampenda sana Ally Saleh alimaarufu kama ‘Ali Kiba’ kutokana na ukweli kwamba msanii huyo amejiweka tofauti na wasanii wengine na ametulia. Miss Tanzania ameweka wazi hilo kupitia kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio wakati akipiga stori na Big Chawa na kusema yeye […]

Read More..

Ukweli Kuhusu Zawadi ya Gari Aliyoahidi Har...

Post Image

Utakumbuka mapema mwaka huu msanii Shilole alifanya harusi mara baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake, Uchebe. Mastaa kibao walimzawadia vitu mbali mbali, miongoni mwao ni Harmonize ambaye aliahidi kumnunulia Shilole gari aina ya Noah. Hata hivyo Shilole amesema bado hajakabidhiwa gari hilo ila Harmonize kamdhibitishia kuwa ameshalinunua na kilichobaki ni makabidhiano mbele ya vyombo […]

Read More..

Mume wa Shilole Aukana Usangoma

Post Image

MUME wa mwanamuziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’ Ashrafu Uchebe amekana kuwa mganga (Sangoma) wa kutumia vitabu na kuweka wazi kuwa kazi yake ni ufundi wa magari. Maelezo hayo yamekuja kutokana na madai yaliyokuwa yumeenea kwamba, mbali na kufanya mambo mengine lakini pia anatibu kwa kutumia Quran na amekuwa akifanya hivyo tangu alipokuwa Zanzibar. Akizungumza na Risasi […]

Read More..

Ishu ya Tunda, Aunt Ezekiel Iko Hivi!

Post Image

AREMBO wa Bongo hawajawahi kuwa salama wala kumuacha mtu salama. Safari hii mambo ni moto kwelikweli kwa mastaa wawili wa kike, Aunt Ezekiel na Tunda. Wadada hao wenye mvuto wa kipekee ndani ya Bongo, wamelianzisha kinoma huko kwenye mitandao ya kijamii na hali kwa sasa si shwari. Ishu yao ilianza kama utani vile, lakini baadaye […]

Read More..

Tumenusurika kumwagwa damu – Shilawadu

Post Image

Kupitia mtayarishaji wa kipindi cha Shilawadu kinachoruka Clouds Tv, Benedict Noel amebaisha kuwa kazi ya kukusanya material ya kipindi hicho ni kigumu kutokana na mambo wanayopitia wakati wa kutafuta habari ya kipindi husika. Mtayarishaji huyo amebaibsha hayo kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram wa kipindi hicho kwa kuandika mambo wanayokutana nayo na waliyokutana nayo hivi […]

Read More..

Bongo Movies Kuonyeshwa Kwenye ‘Porta...

Post Image

Mwaka mpya mambo mapya, Steps Entertainment imeleta portable cinema ambayo inawawezesha wapenzi wa filamu kujionea filamu kwenye screen kubwa ikiwafata mtaani. Jionee picha hizi za hivi karibu kwenye viwanja vya jangwani.  

Read More..

Dude Afunguka ‘Kumpiga’ JB

Post Image

Mwigizaji Kulwa Kikumba maarufu zaidi kama Dude amefunguka na kudai ameshawahi kumuingiza mjini msanii mwenzake Jacob Stepheni (JB) kwa kumtapeli laki moja na thelathini japokuwa mwenyewe alifahamu. Dude ameeleza hayo kwenye Big Chawa ndani ya kipindi cha Planet Bongo ya East Afrika Radio baada ya kuulizwa ni msanii gani amekaa kizembe zembe ambaye anaweza akatapeliwa […]

Read More..

Msanii Radio afariki dunia

Post Image

Uganda. Msanii wa muziki wa nchini Uganda, Moses Ssekibogo maarufu Radio amefariki dunia jana  alhamisi saa sita asubuhi. Mwandaaji wa matamasha, Balaam Barugahara alimthibitishia mwandishi wa Dailly Monitor kuwa msanii huyo alifariki wakati akiendelea na matibabu hospitalini. Msanii huyo ambaye alikuwa akifanya vizuri na mwenzie Weasel, tangu Januari 23 mwaka huu hali yake ilikuwa mbaya […]

Read More..

Mume Ampiga Stop Shamsa Mitandaoni

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford anadaiwa kupigwa stop kutumia mitandao ya kijamii na mumewe, Chid Mapenzi na kwa muda sasa haonekani hasa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram ambako aliwaaga kabisa mashabiki zake. Chanzo kilieleza kwamba Chid Mapenzi alimpiga marufuku mkewe Shamsa kutumia mitandao ya kijamii kwa kuwa muda mwingi alikuwa akiutumia kwenye […]

Read More..

Monalisa Aliamsha Tuzo za Kimataifa

Post Image

MWIGIZAJI mwenye mvuto nchini, Yvonne Cherryl ‘Monalisa’, amechaguliwa katika kinyang’anyiro cha tuzo zinazojulikana kwa jina la The African Prestigious Awards akigombea kama mwigizaji Nyota wa Kike wa Mwaka. Washindi wa tuzo hizo hupatikana kwa kupigiwa kura na mashabiki na Monalisa amewaomba mashabiki wake kutomwangusha. “Ninawaomba mashabiki wangu wote kwa jumla kunipigia kura ili niweze kubeba […]

Read More..

Rais Magufuli Amtembelea Mzee Majuto Hospta...

Post Image

Siku chache baada ya MCL Digital kumtembelea muigizaji wa filamu na maigizo Mzee Majuto na kuandika habari zake kwenye gazeti la Mwanaspoti na mitandao ya kijamii, hatimaye Rais Dk John Pombe Magufuli leo Jumatano amemtembelea muigizaji mkongwe, Mzee Majuto katika Hospitali ya Tumaini jijini Dar es Salaam anakopatiwa matibabu. Akithibitisha habari hizo, mke wa Mzee […]

Read More..

Mambo ya Kununua Vitu Mtandaoni ‘Yame...

Post Image

Msanii wa muziki bongo asiyeisha vituko, Zuwena Mohamedi maarufu kama Shilole, ameweka wazi janga lililomkuta kwenye nguo aliyovaa ambayo imeonekana kuwaacha watu midomo wazi huku wakimcheka. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Shilole amesema nguo hiyo aliagiza mtandaoni, lakini matokeo yake ilikuja kumbadilikia baada ya kuvaa. “Kwaweli haya mambo ya kununua vitu mitandaoni […]

Read More..

Ebitoke: Ben Pol Amenipotezea

Post Image

MCHEKESHAJI, Anna Exavery ‘Ebitoke’ amefunguka kuwa hajawahi kuachana na msanii, Ben Pol isipokuwa aliona jamaa kama amempotezea hivyo akaamua kujiweka kando.   Akizungumza na Full Shangwe, Ebitoke alisema hajawahi kuachana na Ben Pol ila alipoona yuko kimya na yeye akaamua kukomaa na mishe zake. “Hatujawahi kuachana na Ben Pol, niliona yuko kimya na mimi ikabidi nikomae […]

Read More..

Sitaki Ali Choki Afie Kwangu – Asha Baraka

Post Image

Baada ya msanii wa mziki wa Dance Ali Choki kupiga stori na eNEWZ wiki chache zilizopita na kusema mwaka 2018 atafanya kazi zake mwenyewe kama Mama Asha Baraka ataendelea kulala, kiongozi huyo wa Twanga Pepeta amemjibu Choki. Mama Asha Baraka baada ya kusikia kauli hiyo  amesema anamshangaa sana Ali Choki kusema maneno hayo kwani tangu […]

Read More..

Bongo Muvi Ubinafsi, Ujuaji na Kutekelezana

Post Image

KATIKA mtandao maarufu wa WhatsAap niko katika makundi mawili yanayohusu sanaa. Moja limejaa wasanii maarufu wa Bongo Muvi na lingine limejaa wasanii maarufu wa Bongo Fleva. Katika kundi la Bongo Fleva wasanii wanajadiliana, wanasifiana na wanahamasishana kufanya kazi nzuri. Kwao sio aibu msanii kusema tuige mfano wa msanii fulani ama sio hatari kusema Vanesa Mdee […]

Read More..

Sikutaka Hela ya Mtu – Wastara

Post Image

Msanii wa filamu wa bongo Wastara Juma ambaye hivi karibuni amepewa mchango wa milioni 15 na familia ya Rais Magufuli, amewajibu watu wanamtuhumu kuwa tapeli kwani hana ugonjwa unaomsumbua. Akizungumza na mwandishi wa EATV Wastara amesema kabla ya kuomba michango alijitahidi sana kujitafutia mwenyewe hiyo pesa kwani hakutaka pesa ya mtu mwengine ije imsaidie, kwani […]

Read More..

Rais Magufuli Amchangia Wastara Sh15milioni

Post Image

Rais John Magufuli na mkewe Janeth, leo wametoa msaada wa Sh15milioni kwa msanii wa filamu nchini, Wastara Juma anayetakiwa kwenda nchini India kwa matibabu. Msanii huyo anahitaji Sh37milioni zitakazogharamia matibabu yake ya mguu na mgongo na alitakiwa kwenda India tangu mwaka jana, lakini imeshindikana kutokana na kukosa fedha. Kiasi hicho cha fedha kilichotolewa na Rais […]

Read More..