-->

Author Archives: editor

Wema Sepetu ataja sifa za mwanaume anayemta...

Post Image

Msanii wa filamu, Wema Sepetu ameibuka na kudai kwamba yeye si mwanamke anayependa wanaume wenye uwezo mkubwa kama tuhuma dhidi yake zinavyoeleza. “Mimi napenda mwanaume anayejielewa,mwenye upendo na mchapakazi, ikitokea ana fedha itakuwa imetokea,lakini si mwanamke ninayependa pesa kuliko utu na mapenzi ya kweli,”alijinadi Wema Sepetu na kuongeza; “Unajua pesa sio kikwazo katika maisha yangu, […]

Read More..

Wema Amlipua Mke wa ‘Nabii’ Tito

Post Image

DAR ES SALAAM: Katika hali isiyotarajiwa, imeelezwa kuwa msanii nyota wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu, amemlipua mke wa ‘Nabii Tito’ baada ya mwanamke huyo kumshawishi kupitia mitandaoni aolewe na nabii huyo. Chanzo chetu makini kilisema kuwa, msanii huyo amekasirishwa na kitendo cha mke huyo kumshawishi kuolewa na mumewe anayeitwa Onesmo Machija ‘Nabii Tito’ (44). “Wema Sepetu […]

Read More..

Tausi Mdegela Kuolewa Mke wa Pili

Post Image

Msanii wa filamu wa Tanzania mwenye muonekano wa kipekee na kipenzi cha watoto, Tausi Mdegela, ameutaarifu umma kuwa anatarajia kuolewa kuwa mke halali wa mpenzi wake wa siku nyingi ambaye ni msanii wa muziki wa taarabu, Prince Amigo. Akizungumza na mwandishi wa EATV, Tausi amesema suala la ndoa ni mipango lakini ni jambo ambalo lipo, kwani […]

Read More..

Mama Mjatta Atoa Angalizo Hili kwa Wasanii

Post Image

MWIGIZAJI mkongwe nchini, Tecla Mjatta amefichua kuwa moja ya mambo yanayoweza kumsaidia msanii na kufika mbali ni kuzingatia nidhamu tu. Amefichua kwamba, kama wasanii watahimiza na kukomalia nidhamu kwenye kazi basi watafika mbali na kuwa wasanii wakubwa ndani ya nje ya nchi. Mama Mjatta alisema hata yeye hiyo ndiyo silaha yake kubwa na ndio maana […]

Read More..

Wolper: Ufundi Unanilipa

Post Image

MSANII wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper, amesema mbali na sanaa yake hiyo, amekuwa akipata hela nzuri kupitia kazi yake ya mitindo ambapo sasa ameamua kuwa fundi seremala. Wolper amesema huu ni wakati wake wa kutengeneza fedha ili kutimiza ndoto zake za kuishi maisha aliyojipangia tangu akiwa mdogo. “Hakuna asiyependa maisha mazuri na tutambue tu […]

Read More..

Mweee! Eti Senga Hajapata Mrithi

Post Image

MCHEKESHAJI mkongwe katika filamu Bongo, Ulimboka Mwalulesa ‘Senga’ amesema hajapata mtu wa kuendeleza makali yake ya uchekeshaji sambamba na pacha wake Pembe bin Kichwa, licha kujaa wasanii wa kumwaga nchini. “Filamu ni kama soka tu, zamani wachezaji wenye vipaji walikuwa wengi, ila hawakuwa na fedha, lakini siku hizi fedha nyingi lakini vipaji hakuna. Natamani sana […]

Read More..

Nabii Tito Akamatwa

Post Image

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma, linamshikilia Onesmo Machibya maarufu Nabii Tito mwenye miaka 44 ambaye ni mkazi wa kijiji cha Ng’ong’ona Manispaa ya Dodoma, kwa kosa la kueneza chuki ya kidini dhidi ya watu wengine. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma Gilles Muroto, amesema Nabii Tito amekamatwa baada ya kurekodi vipande […]

Read More..

Natasha alivyojigeuza kioo cha Monalisa

Post Image

Hivi sasa wanawake wengi wamekuwa wakiogopa kuwaruhusu watoto wao hususani wa kike kuingia katika sanaa kutokana na namna wanavyobadilika kitabia wanapokuwa ndani ya ya tasnia hiyo. Pamoja na uoga huo, kwa Suzan Lewis maarufu kwa jina la Natasha, hakuhofia hilo na kumruhusu mwanae Yvonne Cherry ‘Monalisa’ kuingia ndani ya fani hiyo iliyojaa mitihani kibao kwa […]

Read More..

Harmorapa Aibuka, Aahidi Kuja na Drama Zaid...

Post Image

Dar es Salaam. Baada kuwa kimya kirefu msanii Harmorapa aemeibuka na kusema mashabiki wake watarajie drama zaidi ya zile za mwaka jana. Msanii huyo asiyeishiwa vituko, alikuja juu kipindi cha mwaka jana baada ya kufananishwa na msanii anayefanya vizuri katika muziki wa bongofleva Harmonize anayemilikiwa na kundi la wasafi. Akizungumza na Mwananchi jana Ijumaa, Harmorapa […]

Read More..

Waziri Mwakyembe Amtembelea Wastara

Post Image

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe hapo jana( Jumapili) alikwenda kumtembelea msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma nyumbani kwake na kumjulia hali. Mh.Waziri Mwakyembe ambaye aliambata na Katibu wa Bodi ya Filamu walifika nyumbani kwa muigizaji huyo kwa ajili ya kumjulia hali ambapo Waziri huyo aliahidi kumsaidia kiasi cha shilingi milioni. […]

Read More..

Sitozikwa na Wasanii Pekee- Wastara

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wastara Juma amesema hatokuja kumladhimisha mtu yeyote katika tasnia ya ‘bongo movie’ kuwa yeye hana pesa ya kujitibia ugonjwa wake unaomsumbua kwa madai hata siku ikitokea akifa hawezi kuzikwa na hao pekee yao. Wastara ametoa kauli hiyo kwenye kipindi cha ‘FRIDAY NIGHT LIVE’ (FNL) kinachorushwa na EATV tinga namba moja kwa […]

Read More..

Msanii Engine Atoboa Siri ya Kumchukua Wolp...

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Engine ambaye hivi karibuni kulikuwa na tetesi za kumng’oa Jackline Wolper na kumuweka ndani, ameweka wazi sababu za kuamua kumtumia msanii huyo kwenye kazi yake. Akizungumza kwenye Friday Night Live Engine amesema Wolper ni miongoni mwa wanawake wachache Tanzania wanaojitambua, na ndio sababu iliyomfanya asifikirie mara mbili kumfuata. “Wolper […]

Read More..

Nicole Aingilia Ishu ya Wastara Kuchangiwa ...

Post Image

MSANII wa filamu Bongo, Nicole Francklyn amewataka wasanii wenzake kuungana na kuendesha kampeni ya kumchangia msanii mwenzao, Wastara Juma kutokana na maradhi ya mguu yanayomsibu, kwa kuwa hakuna aijuaye kesho. Akizungumza na Star Mix, Nicole alisema, kama wasanii wangekuwa na umoja na kuungana katika hilo, kwa jinsi ambavyo wamekuwa wakijionyesha kumwaga pesa kwenye mambo ya […]

Read More..

Kesi ya Masogange Yakwama

Post Image

UPANDE wa mashitaka katika kesi ya kutumia dawa za kulevya inayomkabili, Agness Gerald ‘Masogange’, umeiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuonya upande wa utetezi kwa kushindwa kutoa ushahidi wao kwa mara ya tatu mfululizo. Upande wa mashtaka umefikia hatua hiyo baada ya Wakili wa Utetezi, Nehemia Nkoko, kudai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri, […]

Read More..

Nay wa Mitego Afungukia Ishu Yake na Nini

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Emmanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego, amesema jambo lolote linaweza kutokea kati yake na msanii Nini, ingawa kwa sasa hawana mahusiano.   Akizungumza na EATV Nay amesema kitu kilichopo kati yake na Nini kwa sasa ni kazi tu, lakini haitakuwa kitu cha ajabu iwao lolote likitokea baina yao. “Mimi […]

Read More..

Sura yangu Haijakomaa, Bado Mrembo-Shamsa F...

Post Image

MUIGIZAJI wa filamu Bongo movie Shamsa Ford katoa mpya pale aliposema kuwa bado yu ngali kijana kwani akijiangalia uso wake bado na sura yake ina mvuto na kumuweka katika makundi ya wadada wadogo kabisa, anafurahia kwa muonekano huo ambao anahisi hakimbizani na uzee akijiangalia uso wake. “Mpaka rahaa jamani nilikuwa najiangalia katika kioo kumbe uso […]

Read More..

Fid Q Amweka Hadharani Mpenzi Wake

Post Image

RAPA Fareed Kubanda ‘Fid Q’ ameamua kujilipua kwa kumweka hadharani mpenzi wake mapema katikati ya wiki hii kupitia ukurasa wake wa Instagram. Katika kile kinachoonekana kufuata nyayo za washkaji zake, FA na AY walioamua kuwaweka hadharani wapenzi wao, Fid Q ameonekana kujiachia na mpenzi wake huyo kwa kupiga selfie kwa kujiachia. Moja ya picha zilizotikisa […]

Read More..

Monalisa Awapa Neno Wanaomtolea Maneno Mach...

Post Image

MUIGIZAJI asiyechuja kutoka Bongo movie Yvonne Cherryl ‘Monalisa’ anasema kuwa anakutana na changamoto ya kutusiwa na hata watu ambao hawamjui wala yeye pia hana mahusiano nao awali ilikuwa ikimsumbua lakini kwa sasa anaamini kuwa watu wa namna hiyo si wa kuwalaumu inawezekana wana msongo wa mawazo. “Kuna watu wameumbwa kwa ajili ya kuwakwaza wenzao kuna […]

Read More..