-->

Author Archives: editor

Ray Ashangaa Chuchu Kujifungua!

Post Image

KITUKO! Wakati pongezi za kufa mtu zikielekezwa kwa muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ kupata mtoto wa kiume kwa mchumba’ke, Chuchu Hans, muigizaji huyo ameibuka na kushangaa watu wanaoeneza habari za kujifungua kwa Chuchu wakati si kweli kama amejifungua. Ray alitoa kioja hicho Alhamisi iliyopita wakati akizungumza na Risasi Jumamosi baada ya kupigiwa simu ili kumpongeza kwa […]

Read More..

Sababu za Weusi Kuficha Wapenzi Wao Yafichu...

Post Image

Rapa Nikki wa Pili kutoka katika kundi la Weusi amefunguka na kuweka wazi sababu ambazo zinawafanya wao kama Weusi kutoweka wazi maisha yao binafsi ikiwepo maisha ya mapenzi na maisha ya kawaida ya kila siku Akionge kwenye kipindi cha Planet Bongo Nikki wa Pili amesema wamekuwa wakificha maisha yao binafsi kwa sababu hawahitaji familia zao […]

Read More..

Gabo Aushukia Mtandao Huu wa Kenya

Post Image

Muigizaji anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu, Gabo Zigamba ameujia juu mtandao mmoja wa Kenya ambao umedai kuwa yeye ni raia wa Kenya. Muigizaji huyo baada ya kuona taarifa hiyo, kupitia instagram aliandika: Kinachoweza kuondoa makucha haya ya majirani ni film tuu. Film is the best method of propaganda spreading. Na ili tufikie hapo ni […]

Read More..

Lulu Aifungukia Video ya Darassa, Aipa Namb...

Post Image

Msanii wa Filamu nchini Elizabeth Michael ambaye amekuwa msanii wa kwanza kufungua kipindi cha ‘NgazKwaNgaz’ mwaka 2017 ametaja video zake 20 ambazo zilimkosha sana na kumfurahisha mwaka jana. Katika ngoma 20 zilizofunga vizuri mwaka kwa Lulu Michael wimbo wa Darassa ‘Muziki’ ndiyo umekamata nafasi ya kwanza. Lulu anadai kwa mara ya kwanza alipoiona video hiyo […]

Read More..

Matonya Ajigamba Kumbadilisha Gigy Money

Post Image

STAA kitambo kunako Muziki wa Bongo Fleva, Seif Shaban ‘Matonya’ amejitamba kumbadilisha tabia modo mwenye mbwembwe nyingi, Gift Stanford ‘Gigy Money’ kupitia wimbo wake wa Hakijaeleweka. Akizungumza na Global TV Online kupitia kipindi cha Exclusive, Matonya ambaye aliwahi kuwika pia na vibao kibao kama Teksi Bubu, Vaileth na Anita alisema kuwa, mashabiki wengi wa Gigy […]

Read More..

Ujauzito Feki wa Nisha Wamsababishia Haya

Post Image

Mcheza filamu maarufu katika soko la filamu Bongo Movie, Salma Jabu, maarufu kama Nisha Bebee amejipotezea uaminifu mtaani anapoishi na jamii nzima inayomzunguka kwa kitendo cha kuudanganya umma mwishoni mwa mwaka 2016. Nisha aliibuka na kudai kuwa ni mjamzito na ujauzito huo aliupata kutoka kwa mmoja wa wasanii wa Bongo Fleva kwa kubakwa. Habari ya […]

Read More..

Emmanuel Mbasha Asema Bado Anamuhitaji Mke ...

Post Image

Mume wa mwanamuziki wa Injili Flora anayefahamika kwa jina la Emmanuel Mbasha amefunguka na kuweka wazi kuwa amekuwa akihangaika sana kuhakikisha mkewe huyo anarudi nyumbani na kuendelea kuishi kama zamani lakini jitahada zake zimegonga mwamba. Emmanuel Mbasha akiongea kwenye kipindi cha eNEWZ alisema kuwa toka mkewe huyo ameanzisha songombingo hilo yeye alikuwa anahitaji mambo hayo […]

Read More..

JB Amvuta Muigizaji wa Zambia ‘Cassie’

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu na Mkurugenzi wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephan ‘JB’ amemvuta muigizaji maarufu wa Zambia Cassie Kabwita kwa ajili ya kushiriki katika tamthilia yake mpya ya runinda iitwayo Jirani. King Cassie tayari ameshashiri filamu ya ‘Vita Baridi’ pamoja na ‘Mzee wa Swagga’ akiwa na JB. Wiki hii JB alikutana na muigizaji huyo […]

Read More..

Young Killer Afunguka Ishu ya Joh Makini Ku...

Post Image

Msanii wa rap Bongo Young Killer amemdiss msanii wa Hip Hop Joh Makini kwenye ngoma yake mpya SINA SWAGA akidai kwamba anabebwa kisanaa. Akiongea kupitia eNEWZ Killer amesema aliamua kuwakilisha baadhi ya maneno ambayo yamekuwa yakiongelewa na wasanii wengi ikiwemo Chid Benz ambaye aliongelea kwenye media na  kutunga mistari inayoelezea jinsi gani Joh anabebwa kisanaa. Hata […]

Read More..

Mama Kanumba: Huyu Ndiye Mrithi wa Kanumba,...

Post Image

DAR ES SALAAM: Wakati ikiwa inakaribia miaka mitano tangu  Aprili 7, 2012, ambapo aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, Steven Kanumba, alipoaga dunia, mama yake mzazi Bi. Flora Mtegoa ametembelea kaburini kwa marehemu mwanaye siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake akiwa ameambatana na kijana aliyemuanika kuwa ndiye mrithi wa muigizaji huyo nambari one nchini. Katika makaburi […]

Read More..

Diamond Akabidhiwa Bendera Kuiwakilisha Tan...

Post Image

DAR ES SALAAM: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye leo January 14 2016 amemkabidhi nyota wa Afro Pop, Diamond Platnumz bendera ya Taifa ili kuiwakilisha nchi ya Tanzania kwenye ufunguzi rasmi wa mashindano ya Africa Cup of Nation (AFCON) yanayotarajiwa kuanza nchini Garbon hivi karibuni. Hafla hiyo fupi iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli […]

Read More..

Ukweli wa Nuh na Shilole Mwanza, Huu Hapa

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda ambaye bado anafanya vyema na wimbo wake ‘Jike shupa’ amekanusha tetesi za yeye kuwa pamoja na mpenzi wake wa zamani Shilole jijini Mwanza siku mbili hizi. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, Nuh Mziwanda anasema ni kweli alimuona Shilole Mwanza kwenye club ambayo yeye alikuwa anafanya show na aliambiwa kuwa yupo pale […]

Read More..

Rose Muhando Afungukia Kimya Chake na Tuhum...

Post Image

Muimbaji mashughuli wa nyimbo za injili hapa nchini,Rose Muhando amevunja ukimya na kufuka juu ya ukimya wake na tuhuma za kutumia madawa ya kulevya ‘Unga’. Akiongea na gazeti la mwanaspoti hivi karibuni, Rose anasema, amekuwa kimya kwa sababu mbalimbali lakini anawaambia mashabiki wake yupo na anafanya maandalizi mengine: “Nipo hata hivyo kuna kazi nyingine nimeandaa […]

Read More..

Mzee Majuto Afunguka Kuendelea Kuigiza Mpak...

Post Image

Muigizaji wa filamu za vichekesho nchini Amri Athumani maarufu kama ‘Mzee Majuto’ ambaye mwaka jana aliwahi kutangaza kuacha uigizaji na kumrudia Mungu amefunguka na kusema kuwa ataendelea kuigiza mpaka anakufa kwa sababu uigizaji upo kwenye damu. Akiongea na EATV Mzee Majuto alisema kuwa yeye hawezi kukubali kuona fani inachezewa chezewa na watoto hivyo ataendelea kuigiza mpaka […]

Read More..

Pacha’ wa Harmonize Aangua Kilio Stejini

Post Image

HARMORAPA, msanii chipukizi wa Bongo Fleva anayefanana sana kwa sura na msanii kutoka WCB, Harmonize kiasi cha kubatizwa jina la ‘Pacha wa Harmonize’, juzikati aliangua kilio stejini baada ya kukutana kwa mara nyingine na mkali huyo wa Ngoma za Matatizo, Aiyola na Bado, baada ya kupita muda mrefu bila kuonana. Tukio hilo ‘ameizing’ lilijiri juzikati […]

Read More..

Flora Mbasha Akataa Hadi Jina

Post Image

Msanii wa nyimbo za injili Flora Mbasha amesema swala la mahusiano na mapenzi ni ya watu wawili hivyo hataki kuweka wazi juu ya ishu yake ya kudai talaka. Akiongea kupitia eNEWZ Flora ambaye amesema anataka kuitwa madam Flora kwa sasa kwa kuwa maisha yake anayoyaishi kwa sasa yana amani na furaha hivyo anapendelea kuishi vile apendavyo […]

Read More..

Shilole Aendeleza Urithi wa Mama Yake

Post Image

UNAJUA biashara ya kupika inalipa kiasi gani? Muulize Zuwena Mohammed (Shilole), kwani kitu hicho ndicho kilichomfanya msanii huyo achukue biashara hiyo aliyokuwa akiifanya mama yake. Shilole aliliambia MTANZANIA kwamba, kama wasanii wasichana wangejua faida ya biashara ya chakula wangewekeza huko kwa kuwa inalipa licha ya kudharaulika na baadhi ya watu. “Naipenda biashara hii kwa kuwa […]

Read More..

TigoApp: Pata Huduma Zote za Tigo Kupitia S...

Post Image

Sasa Tigo inakuletea huduma zote za Tigo kupitia simu yako ya mkononi. Tumia hii huduma sasa kurahisisha maisha yako! #TigoApp  

Read More..