-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Kisa Riyama, Mwanaheri Achaniwa Nguo!

Post Image

Msanii wa filamu anayekuja kwa kasi Bongo, Mwanaheri Ahmed hivi karibuni alikumbwa na dhahama alipokatiza Mtaa wa Kongo, Kariakoo jijini Dar baada ya kuchaniwa dera lake kisa kufananishwa na muigizaji mwenzake, Riyama Ally. Akizungumza na Amani Mwanaheri alisema kuwa, amekuwa akikutana na sintofahamu kubwa njiani baada ya watu wengi kumfananisha na Riyama hata kabla ya […]

Read More..

Muna Afungukia Madai ya Kumuingiza Wema Kwe...

Post Image

Mrembo aliyewahi kufanya vyema kwenye tasnia ya maigizo Bongo, Rose Alphonce ‘Muna’, amefungukia madai ya watu kumtuhumu kuwa amemwingiza shosti wake Wema Sepetu ‘Madam’ kwenye matumizi ya madawa ya kulevya kwa kusema madai hayo hayana ukweli. Akizungumza na paparazi wetu, Oktoba 5, mwaka huu, Muna alisema mbali na kumhusisha kumwingiza Wema kwenye madawa hayo, amekuwa […]

Read More..

Barafu: Kutoka Sonara Mpaka Staa wa Filamu

Post Image

KAMA wewe ni mfuatiliaji wa filamu za kibongo, basi jina la Suleiman Abdallah ‘Barafu’ litakuwa si geni masikioni mwako. Barafu amewahi kuonekana kwenye filamu nyingi, kama vile Shoe Shine, Jamani Mwanangu , Daladala, House Boy, Sindano ya Moto, Pasuko la Moyo, Nesi, Selena, Babylon, Curse of Marriage, One Night,  Last Card,  The Long Story na DNA. Swaggaz imepata nafasi ya […]

Read More..

Mashabiki Wanadhani Nimeacha Kuigiza – Sh...

Post Image

Malkia wa filamu Shamsa Ford amesema anapokea maswali mengi kutoka kwa mashabiki wake wakimuuliza kama ni kweli ameacha kuigiza baada ya kuingia kwenye maisha ya ndoa. Mwigizaji huyo ambaye alifunga ndoa mwezi mmoja na nusu uliopita na mfanyabishara wa maduka ya nguo, Chidi Mapenzi, amesema ndoa haiwezi kumtenganisha na mashabiki wake wa filamu. “Kusema kweli […]

Read More..

Mboto Afungukia Kuhusu Kutoka na Aunt Ezeki...

Post Image

KAMA kawa Mtu Kati ipo ‘live’ leo tena, ambapo baada wiki iliyopita kukuletea mwanadada mkongwe anayefanya vizuri kwenye Tasnia ya Filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’ wiki hii inakusogezea mvunja mbavu mwenye jina kubwa katika ardhi ya JPM, Haji Salum ‘Mboto.’ Huyu ni mchekeshaji mkongwe kidogo aliyeanzia sanaa yake katika Kundi la Kaole Sanaa Group mwishoni […]

Read More..

Siri ya Moyo Itawazima Wakongwe-Man Fizo

Post Image

SALUM Saleh ‘Man Fizo’ mwigizaji na mtayarishaji wa filamu anatamba kwa kujinasifu kuwa toka aingie na kupenya katika soko la tasnia ya filamu Swahilihood kila siku anapanda alianza na filamu kubwa ya Nimekosea wapi? iliyosumbua wakongwe anasema sinema yake ya Siri ya Moyo atawazima wakongwe. “Siri ya Moyo ni kazi ambayo nimerekodi kwa zaidi ya miezi […]

Read More..

‘Siri ya Mtungi’ Imenifungulia Milango ...

Post Image

Msanii wa filamu Daudi Michael Tairo, anayefahamika zaidi kwa jina la Duma ndani ya tamthilia ya Siri ya Mtungi, amefunguka na kueleza jinsi tamthilia hiyo ilivyompatia mashavu ndani na nje ya nchi. Mwigizaji huyo ambaye hapo awali aliwahi kushiriki katika filamu ya ‘Money Desire’, ‘Its Too Lets’ na filamu nyingine nyingi, ameiambia Bongo5 kuwa tamthilia […]

Read More..

Mboto Amuombea Msamaha Tunda Man kwa Hili

Post Image

Mchekeshaji nguli wa bongo movie Mboto Haji amemuombea msamaha msanii wa bongo Fleva Tunda Man kwa kauli yake ya kudanganya mashabiki zake Kauli hiyo ilidai kuwa wapo kambini wakiandaa filamu itakayo kuja kwa jina la Mama Kijacho kama ilivyo wimbo wa mama kijacho ambapo video yake imemuonyesha Mboto na Riyama Ally. Baada ya Tunda Man […]

Read More..

Kuishi na Majirani Vyema ni Funzo Kwangu &#...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Tanzania, Daudi Michael ‘Duma’, amefunguka na kusema kuwa kuishi na watu vizuri kumemfunza na kumfanya aone kuwa na umuhimu huo baada ya majirani na marafiki zake kumfanyia sherehe ya kuzaliwa mtaani kwake Mwananyamala, Dar es Salaam. Akizungumza na eNewz mwishoni mwa juma lililopita, Duma, alisema amefurahishwa na kitendo cha marafiki na […]

Read More..

Wastara Arudiana na Mpenzi Wake wa Zamani B...

Post Image

Malkia wa filamu Wastara Juma baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha CCM (UVCCM) Taifa ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Donge, Sadifa Khamis Juma, amerudiana na mpenzi wake wa zamani, Bond Bin Sinan. Mwigizaji huyo amesema Bond Bin Sinan alikiri makosa yake kwenye vyombo vya […]

Read More..

Dude ni Meneja Wangu Tu – Ester Kiama

Post Image

WASWAHILI usema kuwa raha jipe mwenyewe na aisifia Mvua imemnyea, haya yanajitokeza kwa mwigizaji wa filamu wa kike Bongo Ester Kiama pale anapojikuta akimsifia mwigizaji mwenzake Kulwa Kikumba ‘Dude’ kama ni meneja sahihi kwake kwani kuwepo naye katika kazi zake kumezaa matunda katika kazi hiyo. Kama ningekuwa pekee yangu labda ingekuwa kazi ngumu sana hata […]

Read More..

Vigoma Dili, Lakini kwa Wema Hapana Aisee!

Post Image

NANI alikuwa na uwezo wa kupinga ushindi wa Wema Sepetu mbele ya Jokate Mwegelo na Lisa Jensen, mwaka 2006 katika  jukwaa la Miss Tanzania? Hakuna na asingetokea sababu ilikuwa ni halali yake. Macho ya majaji yaling’amua uwezo wa kipekee uliobebwa ndani ya urembo wa Wema. Ndiyo maana magwiji kwenye tasnia ya filamu walimvuta na kumwingiza […]

Read More..

Wastara Alamba Dili Nono

Post Image

NYOTA inawaka! Diva wa filamu za Kibongo Wastara Juma, amepata dili jipya baada ya kusaini mkataba utakaomwingizia fedha nyingi. Mkataba aliosaini Wastara ni wa kuwa balozi wa simu ya KZG ambayo hutengenezwa na Kampuni ya KZG kutoka China, ambapo atakuwa na uhakika wa kulamba milioni 400 kwa mwaka. Tukio la kusaini mkataba huo lilifanyika Septemba […]

Read More..

Jengua Afunguka Haya Kuhusu Kukuza Vipaji v...

Post Image

Mzee Mohammed Fungafunga maarufu katika tasnia ya filamu kama Jengua amefunguka na kusema anaweza kufanya filamu hata bure ili kuwasaidia wasanii wachanga waweze kutoka katika tasnia ya filamu nchini. Amesema anafanya hivyo kwa kuwa anatambua kuwa ni lazima waweze kukuza watu wengine kwenye tasnia ya filamu kwani wao umri umeshakwenda. Mzee Jengua alisema hayo kwenye […]

Read More..

Gabo Zigamba:Matapeli Wanatumia Jina langu

Post Image

Wezi wa mtandaoni wameonekana kutembea karibu na msanii nguli wa Bongo movies, Gabo Zigamba ikiwa ni siku chache tangu walipoidukua akaunti yake ya facebook. Msanii huyo ametoa tahadhari kuhusu utapeli unaoendelea kwa kutumia jina lake. Awali, msanii huyo alipoteza simu mbili za mkononi ambazo baadaye zilionekana kutumiwa na matapeli hao kuomba misaada kwa watu mbalimbali […]

Read More..

Kuigiza Ukahaba, Ulevi Si Dhambi- Dokii!

Post Image

UMMY Wenceslaus ‘Dokii’ mwigizaji wa filamu wa kike mkongwe amefunguka kwa kusema kuwa msanii anapoigiza sehemu inayohusu ulevi au ukahaba haina maana ndio tabia yake halisi bali ni uhusika tu ambao ni njia mojawapo ya kuionyesha athari ya matukio hayo wala si tabia ya mhusika. “Unapopewa nafasi ya kuigiza kama Kahaba au mlevi ukiangalia imani […]

Read More..

Dude: Tasnia ya Filamu Bongo ni Kama Choo c...

Post Image

Msanii wa filamu nchini, Kulwa Kikumba aka Dude, amesema tasnia ya filamu Tanzania imekuwa kama choo cha jiji ambapo kila mwenye hela na anayetaka kuwa maarufu, hukimbilia huko. Dude amesema hiyo ni sababu kubwa ya kuzorota kwa tasnia ya filamu nchini. “Ubovu wa kazi za movie unakuja kutokakana na kupenda hela zaidi kuliko kufikiri,” Dude […]

Read More..

Ujumbe wa Wema Sepetu Kwa Wote Waliomtumia ...

Post Image

Jumatano hii ilikuwa ni siku ya kuzaliwa ya staa wa filamu Wema Sepetu ambao ndugu, jamaa pamoja na marafiki walimtakia heri na mafanikio mrembo huyo. Moja kati ya vitu ambavyo vilileta gumzo kwenye mitandao ya kijamii ni baada ya mama Diamond kum-wish malkia huyo wa filamu huku akimkaushia Zari ambaye ni mama watoto wa Diamond. […]

Read More..