Wema Sepetu Ampongeza Rais Magufuli Kwa Hil...
Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu amefunguka na kumpa hongera Rais Magufuli kwa kuwakuza vijana wengi kiakili na ufahamu kutokana na namna alivyoongoza nchi na kuleta tija kwa watanzania. Pongezi hizo zinakuja Ikiwa ni takribanmiezi tisa sasa toka Rais Magufuli kutangazwa na kuapishwa kuiongoza Tanzania, msanii wa filamu nchini Wema. Wema Sepetu kupitia ukurasa wake […]
Read More..





