-->

Ishu ya Madawa ya Kulevya, Tunda Amkingia K...

Post Image

David Genzi ‘Young D’ akiwa na mpenzi wake Tunda. MUUZA nyago kwenye video za Bongo Fleva, Tunda Sebastian amejikuta akimkingia kifua mwandani wake, David Genzi ‘Young D’ kutokana na kuhusishwa na matumizi ya madawa ya kulevya na kudai maneno hayo ni uzushi mtupu. Akibonga na Showbiz alisema kuwa, anawashangaa watu ambao kila kukicha wamekuwa wakimsakama […]

Read More..

Waziri Nape Aelezwa Rose Mhando Alivyo jipu

Post Image

MSANII wa nyimbo za injili nchini, Rose Mhando, ameshtakiwa kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, kwa kitendo cha utapeli na kushindwa kutekeleza mkataba wa kuhudhuria na kutumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka lililofanyika jijini Mwanza licha ya kulipwa gharama zote alizotaka. Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions inayoongozwa na Alex Msama, ambayo […]

Read More..

Ferooz Awashukia Msahabiki Wanaodai Anatumi...

Post Image

Ferooz amewajia juu mashabiki wake katika mitandao ya kijamii baada ya kuambiwa anatumia madawa ya kulevya.   Ferooz amedai baada ya Chidi Benz kuonekana afya yake imedhoofika kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya basi mashabiki wanamchukulia kila msanii aliyepungua mwili wake anatumia unga. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Ferooz ameandika: Tatizo la wabongo mnapenda […]

Read More..

Ray c Anaswa Kazimika

Post Image

Ray C akiwa hoi na kinachodaiwa kuwa ni utumiaji wa madawa ya kulevya. Stori: Musa Mateja, Wikienda DAR ES SALAAM: LICHA ya kutumia nguvu nyingi kukanusha habari zinazochapishwa na Magazeti Pendwa ya Global Publishers kuwa, amerejea kwenye matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’, hatimaye staa wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amenaswa ‘laivu’ akiwa […]

Read More..

Wastara Atoroshwa Hospitalini

Post Image

Staa wa Bongo Muvi, Wastara Juma akiwa hoi hospitali. Morogoro: Taarifa mbaya! Staa wa Bongo Muvi, Wastara Juma ambaye mapema wiki iliyopita alidai kupewa talaka la mumewe, Sadifa Khamis Juma, Mbunge wa Donge, Zanzibar, anadaiwa kutoroshwa hospitalini kisha kupelekwa hoteli ya mafichoni huku akiendelea na matibabu. Kwa mujibu wa chanzo makini, Wastara aliyekuwa amelazwa kwenye […]

Read More..

Riyama Alipiwa Mahari

Post Image

Hatimaye! Taarifa ikufikie kwamba, staa wa kitambo wa Bongo Muvi, Riyama Ally amelipiwa mahari na mpenzi wake ‘sharobaro’ ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Haji  Mwalimu ‘Leo Mysterio’ huku mipango kabambe ya ndoa ikiendelea. Riyama ameliambia Wikienda kuwa, anamshukuru Mungu kumpata mtu anayeona ndiye anamfaa katika maisha yake na tayari sasa ni mchumba rasmi wa […]

Read More..

Bifu la Diamond na Alikiba Linavyowanufaish...

Post Image

Ni ukweli kuwa Diamond na Alikiba ni wasanii ambao hawapatani kwa muda mrefu.   Kutokana na ugomvi wao uliopo umepelekea mpaka mashabiki wao kuanzisha team, team hizi zinakuwa zinamsupport msanii wao na kumpinga mpinzani wao. Diamond aliwahi kuhojiwa kwenye kipindi cha Sporah Show alisema, “Kuna wimbo wa Alikiba ‘Singel Boy’ nilimuomba Alikiba kuingiza sauti tulipokuwa […]

Read More..

Vanessa Yuko Kipesa Zaidi na Sio Mapenzi!

Post Image

Msanii Vanessa Mdee amefunguka ya moyoni na kusema kuwa kwake pesa ndio kila kitu, na sio mapenzi ya kweli. Kwenye kipindi cha Friday Night Live ambacho kinarushwa na East Africa Television na East Africa Radio, Vanessa ametoa jibu kuwa yeye anapenda pesa zaidi, kuliko mapenzi, na kuibua hisia kuwa huenda hata kwa mwandani wa ambaye […]

Read More..

Umaarufu Wamfanya Harmonize Aishi kwa Shida

Post Image

Harmonize ameongea hayo alipokuwa akiongea na mwandishi wa East Africa Radio, na kusema kuwa wao kama WCB hawana kawaida ya kwenda club kutokana na kubanwa na majukumu, na pia hata bosi wao ambao ni mfano mzuri kwao, hana kawaida ya kwenda sehemu kama hizo. “Labda nizungumze kitu kimoja, WCB sio mimi tu hata wasanii wengine […]

Read More..

Nimerudi Rasmi na Filamu ya Faulo- Wastara

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu wa kike Wastara Juma ‘Stara’ amesema kuwa sasa amerudi kikazi kwa ujio wake wa filamu yake ya Faulo ambayo yeye ni mtayarishaji huku akiwa ni kinara wa filamu hiyo ambayo itakuwa filamu yake ya kwanza kutolewa na kampuni yake ya Wajey Film. “Nimejipanga kwa ajili ya kufanya kazi nzuri zenye mafunzo katika […]

Read More..

Tetesi ya Kwamba Ray C Amerudi Kwenye Matum...

Post Image

Matumizi ya Madawa ya kulevya hapa nchini yanaongezeka kwa kasi sana. Huku ikionekana wasanii ni moja kati ya waathirika wa kubwa wa janga hili. Tumeona hivi karibuni rapa mkongwe Chidi Benz jinsi alivyothorofika kutokana na matumizi ya Madawa ya kulevya. Kupitia mitandao ya kijamii kumekuwa na tetesi kwamba Ray C amerudi katika matumizi ya madawa […]

Read More..

Mashabiki Wakerwa na Kauli Hii ya Zari, Wad...

Post Image

Labda ukweli unauma.. Kwamba wengi tunatamani sana maisha mazuri anayoishi Diamond na mchumba wake, Zari the Bosslady. Wapo wanaoishia kutamani na kumuomba Mungu nao waje kuwa na maisha hayo, wengine hushukuru na hufurahi tu kwa kile walichonacho ama tumeseme wameridhika na kidogo wanachopata. Lakini wapo ambao hushindwa kujizuia kupata wivu na kuwachukia tu watu wenye […]

Read More..

Wasanii Bongo Muvi Wachangia Damu Palestina

Post Image

Mkongwe wa filamu, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’akishiriki zoezi la kuchangia damu. Anayemuhudumia ni muuguzi wa Hospitali ya Palestina. Mzee Chilo na Bakari Makuka wakiwa tayari wanatolewa damu. Baadhi ya wasanii wa filamu wakisubiri kuchangia damu katika Hospitali ya Sinza Palestina. Msanii, Elizabeth Kilili akiandaliwa kutoa damu na muuguzi wa Hospitali ya Sinza. Mmoja wa wasanii […]

Read More..

Day After Death ya Wema na Van Vicker kuish...

Post Image

Wema Sepetu ni bingwa wa kutumia gharama kubwa kufanya filamu na kutengeneza kiu kubwa kwa mashabiki wake halafu then mradi unageuka kuwa kama album ya Detox ya Dr Dre, ambayo haijawahi kutoka hadi leo. June 2012: Muigizaji wa Nigeria, Omotola Jalade akiwa na Wema baada ya kuwasili kutoka Nigeria kuhudhuria uzinduzi wa filamu ya Superstar […]

Read More..

Dudu Baya: Watu Mfano wa Chidi Benz Hawatak...

Post Image

Baada ya rapa Chidi Benz kuomba msaada ili asaidiwe kuirudisha afya yake ambayo imethorofika kutokana na matumizi ya Madawa ya kulevyana na baadae kusaidiwa na Babu Tale kwa kupelekwa rehab. Wadau mbalimbali pamoja na wasanii wenzake walimpongeza Babutale lakini Dudu Baya amedai hakupenda rapa huyo asaidiwe. Akizungumza na Bongo5 Jumamosi hii, Dudu amedai rapa huyo […]

Read More..

Kuvaa Nusu Utupu Natangaza Brand- Vanessa M...

Post Image

Msanii wa muziki wa bogno fleva ambaye anafanya poa katika anga za kimataifa Vanesa mdee, amefunguka sababu ya yeye kupenda kuvaa nguo za nusu utupu. Akiwa kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na East Africa Radio na EATV, Vanessa Mdee amesema anapenda kuvaa mavazi hayo ambayo hayakubaliki kwa jamii, kwa sababu anatangaza brand yake, […]

Read More..

Alikiba Si Mtu Mzuri- Hakeem 5

Post Image

Msanii Hakeem 5 ambaye alitambulika katika muziki baada ya kufanya Collabo na msani Ali Kiba kwenye wimbo wa ‘Nakshi Mrembo’ amefunguka na kusema kuwa msanii Ali Kiba si mtu mzuri na wala hana muda nae kwa sasa. Akipiga stori kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio ambapo leo alipewa heshima ya Bongo fleva, […]

Read More..

Umaarufu Unavyomtesa Jini Kabula

Post Image

TAMTHILIA ya Jumba la Dhahabu ndiyo iliyomtambulisha Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ kwenye tasnia ya filamu kutokana na uigizaji wake mzuri. Jina la Jini Kabula lilitokana na kuigiza kama joka kubwa,uwezo mkubwa alioutumia katika kuigiza tamthilia hiyo iliwafanya watu wengi waamini kwamba yeye ni jini kweli. Katika hali ya kusikitisha, Jini Kabula alionekana hakuridhika na umaarufu […]

Read More..