-->

Wastara Aeleza Sababu ya Kumpiga Kofi la Kw...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma, alimpiga kofi la kweli mwanadada Diana Kimaro, ambalo mpaka lilitoa chozi Diana wakiwa na wanaigiza filamu ya FAULO. Lakini hata hivyo baada ya kumaliza kuigiza filamu hiyo, aliamua kumuomba msamaha kwa kumpiga kofi hilo ambalo lilimtoka kwa hasira. Wastara anasema alijikuta akimpiga kofi hilo kwakuwa aliigiza kama mwanaye, akajikuta […]

Read More..

Lady Jaydee Afunguka Kuhusu Mahusiano Yake

Post Image

Msanii wa siku nyingi wa Bongo Fleva hapa nchini Judith Wambura a.k.a Lady Jaydee amewaomba watanzania wampende yeye kama yeye na si kumfuatilia kuhusu mahusiano yake kimapenzi. Jaydee ameyasema hayo katika kipindi cha E News kinachorushwa na kituo cha EATV kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa baada ya mtangazaji Sam Misago kumuuliza swali kwamba kuna […]

Read More..

Filamu ya ‘7314Munu Mukuru’ Kutoka Mwez...

Post Image

BAADA ya kufanya vizuri kwa filamu ya ‘Mr. Makuka’ msanii wa filamu Tanzania, Bakari Makuka ‘Beka’, yupo mbioni kuachia filamu mpya inayokwenda kwa jina la ‘7314Munu Mukuru’. Beka alisema katika filamu hiyo amewashirikisha wasanii wakongwe akiwemo, Fatuma Makongoro, ‘Bi Mwenda’, Chuchu Hans, Haji Salum ‘Mboto’, Pacho Mwamba na wasanii wengine wengi. “Filamu hii nataraji kuiachia […]

Read More..

Natamani kuwa na Mahusiano na Wizkid-Linah ...

Post Image

Msanii wa bongo fleva nchini Linah Sanga amefunguka na kusema kuwa alikuwa anatamani na bado anatamani sana kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii Wizkid kutoka nchini Nigeria. Akipiga stori kwenye kipindi cha eNEWS kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana (EATV) Linah Sanga alisema kuwa toka kipindi cha nyuma alikuwa anatamani kuwa na msanii […]

Read More..

Diamond Ateketeza Sh.Mil 100 Ulaya

Post Image

DAR ES SALAAM: Kufuru! Ndilo neno pekee linaloweza kuakisi takriban Sh. milioni 100 ambazo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameziteketeza akiwa na msururu mrefu wa wanafamilia wa Wasafi Classic Baby (WCB) barani Ulaya, akianzia nchini Ujerumani kufanya shoo sambamba na kula bata, Wikienda linakupa habari kamili. Diamond aliyeambatana na wanafamilia kama 14 wakiwemo Zarinah Hassan ‘Zari […]

Read More..

Msanii Huwezi Kufanya Kazi Peke Yako- Lady ...

Post Image

Msanii mkongwe katika muziki wa bongo fleva , Lady jaydee maarufu kama Komando ambaye sasa anatamba na wimbo wake mpya wa ‘Ndi Ndi ndi’ amefunguna na kuweka wazi sababu zilizomfanya kuwa chini ya uongozi na kudai kama msanii huwezi kufanya kazi kazi peke yako. Lady Jaydee alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Planet bongo alidai kuwa aliamua […]

Read More..

Nipo Kwenye Mahusiano Salama -Mwasiti

Post Image

Msanii wa bongo fleva hapa nchini Mwasiti Almasi amesema kwamba muonekano wake kwa sasa ni kutokana na kwamba yupo kwenye mahusiano ambayo ni salama. Mwasiti ametoa ya moyoni alipokuwa akizungumza na EATV kuhusiana na mwonekano wake kwa sasa kuonekana anavutia zaidi tofauti na siku za nyuma. ”Muonekano wangu kwa sasa nina mapenzi ambayo ni salama […]

Read More..

Khadija Kopa Adai Umri Unamtupa Mkono, Ajip...

Post Image

p>Malkia wa muziki wa taarab nchini, Khadija Kopa amesema kwa sasa anajipanga kuwekeza zaidi kwenye biashara kwa kuwa umri wa kuimba unamtupa mkono. Akizungumza katika kipindi cha Uhondo cha EFM Ijumaa iliyopita, Khadija amesema moja ya biashara kati ya zile ambazo anatarajia kuzifungua ni mgahawa. “Hivi sasa nampango wa kufungua mgahawa mkubwa, nataka nifungue na […]

Read More..

Afya ya Chid Benz Yawashtua Wengi

Post Image

Kuna picha siku ya jana zilikuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha Chid Benz akiwa amepungua mwili na kuonekana ni dhaifu, jambo ambalo limewahuzunisha mashabiki wengi na wadau mbali mbali, huku wengine wakisema kuwa Chid Benz anahitaji msaada kwani hali yake ni mbaya. Kwa upande wake msanii Afande Sele alipost picha hiyo ya Chid Benz […]

Read More..

Hemed PHD Wanted, Amtapeli Producer Roho Si...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu Hemed Suleiman ‘Phd’ anatafutwa na mtayarishaji wa Filamu nchini baada ya kuchukua malipo kwa ajili ya kushiriki filamu ya Maziko saa sita na kulala mitini FC imetonywa na mdaku aliyopo anga za Phd anazopinda kujidai. Mdaku huyo akiidakisha FC amedai kuwa msanii huyo wa muziki na filamu huku akifanya poa katika filamu […]

Read More..

Lady JayDee: Nililala, Nimeamka Tena!

Post Image

Unapozungumzia wakongwe wa Muziki wa Bongo Fleva kwa upande wa wanawake, jina la Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ hutaacha kulitaja miongoni mwao. Kwa zaidi ya miaka 15, mkongwe huyu ameweza kukaa kwenye muziki pasipo kutete-reka huku kila baada ya kipindi akiibuka na nyimbo ambazo zinakuwa gumzo. Tangu mwaka 2000 hadi sasa ameshanyakua tuzo zaidi ya 25 […]

Read More..

Lulu Atoa Sadaka ya Shukrani Kanisani

Post Image

Baada ya kushinda tuzo ya ‘Best Movie East Africa’ @elizabethmichaelofficial siku ya jana aliweza kuhudhuria ibada katika kanisani la Living Water Centre (Kawe Makuti) likiwa chini ya Mtume ‘Enesmo Ndegi’ kutoa sadaka ya shukrani kwa Mungu aliyemuwezesha kupata ushindi wa tuzo. “Nina kila sababu ya kumshukuru Mungu pamoja Baba na Mama hakika sijutii kuokoka kwangu […]

Read More..

Husna, Mobeto Ndani ya Bifu Zito

Post Image

Husna Maulid.   DAR ES SALAAM: Bifu la chinichini linaendelea kuwatafuna warembo wawili ambao wote waliwahi kunyakua taji la urembo wa Miss Kinondoni kwa nyakati tofauti, Husna Maulid (pichani)na Hamisa Mobetto baada ya kudaiwa kumgombea bwana, ambaye ni raia wa DRC, aitwaye Mwami Rajabu. Chanzo chetu makini kilisema kuwa Husna ndio wa kwanza kuanza kumtuhumu […]

Read More..

Picha: Lady Jaydee Arudisha ‘Ubinti’ na...

Post Image

Lady Jaydee ameamua kuvua gamba na kurudi upya kama binti wa miaka 10 iliyopita na kurejesha ladha aliyoanza nayo na iliyompa umalkia, R&B. Lady Jaydee akisaini mkataba na Mkito ambako wimbo wake utapatikana. Kushoto ni mwakilishi wa kampuni hiyo, Aishi Muimbaji huyo mkongwe amefanya uzinduzi wa single yake mpya aliyoipa jina ‘Ndindindi’ Jumamosi hii pale […]

Read More..

Mashauzi Yanapoteza Wasanii Wengi-Diamond P...

Post Image

Msanii Diamond Platnumz amefunguka na kusema wasanii wengi wa Tanzania na Afrika Mashariki kiujumla wanapotea kwenye ramani ya muziki sababu kubwa ni mashauzi na starehe na kutaka kujionesha. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Diamond Platnumz amedai kuwa mafanikio yake kimuziki na kuzidi kuendelea kufanya vizuri ni kutokana na ukweli […]

Read More..

JB Aanza Kushoot Tamthilia Yake Mpya ‘Kiu...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu na mtayarishaji, Jacob Stephen ‘JB’ amewataka mashabiki wa kazi zake za filamu kukaa mkao wa kula kwa ujio wa tamthilia yake mpya iitwayo ‘Kiu ya Kisasi’. Kupitia instagram, JB ameandika: Wapenzi wa Jerusalem nilikuwa sijawapa habari ya kazi tunayoendelea nayo sio filamu bali ni tamthilia. Inaitwa Kiu ya Kisasi. Ningependa wapenzi […]

Read More..

Ray C Hatumii Madawa ya Kulevya- Rash Don

Post Image

Muandaaji wa muziki (Producer) Rash Don amesema msanii wa siku nyingi Rehema Chalamila RC anakuja na ngoma kali ambayo yeye ndo anaitengeneza kwa sasa. Don ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na EATV katika kipindi cha E News ambapo amesema kwamba msanii huyo ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri kutokana na mabadiliko chanya ambayo yanaonekana kwa hivi […]

Read More..

Juma Nature Yupo Tayari Kumkabili Diamond P...

Post Image

Mwanamuziki mkongwe kwenye game la Bongo Fleva, Juma Nature, amesema yupo tayari kupambana na Diamond Platnumz kwenye game la muziki ‘live bila chenga’ kwenye uwanja wa mpira ili ajulikane nani anaweza zaidi. Ameyazungumza hayo alipokuwa kwenye show ya ‘Friday Night Live’ usiku wa kuamkia leo ambapo amefunguka kwa kusema kuwa Diamond ndiye anakalia game ya […]

Read More..