-->

Harmorapa ni Level Nyingine- P Funk Majani

Post Image

Producer mkongwe na mwenye heshima yake P Funk Majani ameibuka na kumzungumzia huku akimsifia msanii anayeibukia kwa kasi katika bongo fleva, Harmorapa na kusema kuwa rapa huyo ni “level nyingine”. Tangu Msanii Harmorapa ameingia kwenye muziki kwa kuanza kujifafanisha na msanii Harmonize, kila wakati rapa huyo amekuwa akiingia kwenye ‘headline’ mbalimbali na kuzungumziwa na wasanii wengi […]

Read More..

Video: MarryYou by Diamond Platnumz ft Neyo

Post Image

Tazama video mpya kabisa kutoka kwa mkali wa bongo fleva ,Diamond Platnumz akiwa amemshirikisha Neyo msanii kutoka kwa Trump.

Read More..

Kamanda Sirro Amtaja Vee Money Ishu ya Mada...

Post Image

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro amemtaja msanii wa Bongo Fleva, Vanesa Mdee ‘Vee Money‘ kuwa ni miongoni mwa wanaotuhumiwa kuhusika na mtandao wa biashara haramu ya madawa ya kulevya baada ya jina lake kuongezwa kwenye orodha iliyotajwa jana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. […]

Read More..

Wema Sepetu: Situmii Madawa ya Kulevya

Post Image

Wema Sepetu anataka kuweka jambo moja ‘very clear’ kuwa yeye si mtumiaji wa madawa ya kulevya. Staa huyo ametoa kauli hiyo baada ya kuwepo kwenye orodha ya mastaa wanaotuhumiwa kubwia unga na walioamriwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kujisalimisha kituo cha polisi central jijini Dar, Ijumaa hii kwa mahojiano zaidi. […]

Read More..

Pichaz: Wema Sepetu na Wenzake Waitikia Wit...

Post Image

Kufuatia agizo la mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kuwataka baadhi ya mastaa wanaoshukiwa kujihusisha na matumizi na biashara ya madawa ya kulevya kuwasili kituo cha polisi cha kati siku ya leo baadhi ya mastaa wametii agizo hilo na kuwasili. Malkia huyo wa filamu ambaye alikuwa mmoja kati ya wasanii waliotuhumiwa na […]

Read More..

Asha Boko Awalilia ‘Comedians’ wa Kike

Post Image

Msanii wa vichekesho Asha Boko amewasihi wachekeshaji wa kike kujitokeza kwa wingi ili kuweza kuchangamsha sekta ya uchekeshaji kwa wasanii wa kike nchini Akiongea kupitia eNewz ya EATV, Asha amesema anashangazwa na uchache wa wasanii wa kike kwenye upande wa Comedian na kuwataka wasiogope kwakuwa hakuna wasanii wa vichekesho Bongo wengi kwa upande wa wanawake. […]

Read More..

Movie Trailer: Tino Kuja na ‘Singo Zero’

Post Image

Staa mkongwe wa filamu hapa bongo, Tino anafungua mwaka kwa kuachia bonge moja la filamu lenye kila aina ya vitu, kuanzia mapigo na kisa kizito cha kusismua, ni filamu ya SINGO ZERO Kutoka Tino Muya Film, Steps Entertainment imeshasambaza filamu hii kwenye maduka yote nchi nzima. Tazama Trailer ya filamu hiyo

Read More..

Ben Pol Awaomba Radhi Mashabiki, Kisa Hiki ...

Post Image

Msanii Ben Pol ambaye siku kadhaa zilizopita alikuwa mbogo kwa mtangazaji wa kipindi cha eNewz ya EATV, baada ya kuulizwa maswali kuhusu familia yake hususani mwanamke aliyezaa naye pamoja na mtoto, msanii huyo ameomba radhi kwa kitendo hicho. Kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio Ben Pol amesema kuwa hakutegemea kufanya jambo hilo […]

Read More..

Familia Yakubali Barua Uchumba wa Wema, Man...

Post Image

DAR ES SALAAM: Hivi karibuni, msemaji wa Klabu ya Simba ya jijini hapa, Haji Manara alisema anataka kumchumbia Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu akijipa matumaini kwamba hawezi kukataliwa, lakini habari mpya ni kwamba, mwanaume mmoja aliyedai ni mjomba wa Wema, ameongea na Amani na kusema kuwa, anamshangaa Manara. Mjomba huyo alisema kuwa, anamshangaa Manara kwa […]

Read More..

Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Mkuu wa Maje...

Post Image

Rais John Magufuli amemteua Luteni Jenerali Venance Mabeyo kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini. Taarifa ya Ikulu iliyotolewa jana jioni inasema Mabeyo amechukua nafasi ya iliyoachwa wazi na Davis Mwamunyange ambaye amestaafu. Mbali na kuteuliwa kuwa Mkuu wa Majeshi, Mabeyo amepandishwa cheo kuwa Jenerali. Pia, Rais Magufuli amemteua Meja Generali James Mwakibolwa kuwa Mnadhimu […]

Read More..

Khadija Kopa Naye Sasa ‘Aisoma Namba’

Post Image

Msanii wa taarab Bongo, Khadija Kopa ni kama naye sasa ‘anaisoma namba’ baada ya kutoa kilio chake juu ya kupungukiwa na mapato yatokanayo na muziki na kutaja sababu mojawapo kuwa ni uamuzi wa serikali kuzuia matamasha ya muziki baada ya saa 6 usiku. Amesema hivi sasa yeye na wenzake wapo katika mpango wa kuongea na mkuu […]

Read More..

Yusuph Mlela na Chuchu Hans Ndani ya ‘...

Post Image

Wasanii wa Boongo Movies, Yusuph Mlela ‘Yusuph Mlela ‘Mlelandro’ na mrembo Chuchu Hans wakatikunikisha ndani ya Filamu ya Mr BodaBoba Msomi. Filamu ya Mr. Bodaboda Msomi ni filamu ya aida yake inayazungumzia maisha halisi ya biashara nzima ya boda boda yakiwepo matukioa ya uhalifu na mapenzi ndani. Kutoka Steps Entertainment, Filamu hii itaingia sokoni muda si […]

Read More..

Video: Harmorapa Aonyesha Mahela Mtandaoni

Post Image

Msanii wa muziki wa hip hop Harmorapa akiwa bado anaendelea kutrendi katika mitandao ya kijamii, amekuja na mpya kwa kuonyesha mabunda ya hela mtandaoni. Rapper huyo ambaye anafananishwa na msanii kutoka kundi la WCB Rajab Abdulhan ‘Harmonize’, Jumatano hii zimesambaa picha mtandaoni akionyesha kinachompatia jeuri. Kwa habari ambazo bado hazijathibitika zinadai kuwa rapa huyo yupo […]

Read More..

Chidi Mapenzi Aeleza Ilipo Gari Alilomnunu...

Post Image

Mume wa msanii wa bongo movie Shamsa Ford anayejulikana kwa jina la Chidi Mapenzi amesema gari alilomuahidi  mke wake  limeshafika likimiwa limeingilia badari ya  Zanzibar na kichafanyika sasa niki Akiongea kupitia eNewz ya EATV, Chidi amesema “lile ni gari ambalo alijisikia na alilipenda akaamua kumnunulia mke wake, pesa ya kulilipia anayo lakini kinachoshindikana ni namna ya kulitoa bandarini […]

Read More..

Video: Mzee Wa Upako Anthony Lusekelo Ahubi...

Post Image

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Ubungo-Kibangu jijini Dar es salaam, Lusekelo Anthony ‘Mzee wa Upako’ ametrendi mtandaoni wiki hii baaada ya kusambaa kwa video inayomwonyesha akiwaubiria watumishi wa kanisa lake kwa kutunia wimbo ‘Muziki’ wa Darassa. Mchungaji huyo amedai ameamua kubadilisha namna ya kuubiri kwa kuwa dunia inaenda kila siku ikibadilika. “Lazima ujue huku […]

Read More..

Video: RC Makonda Awataja Wema, TID, Askari...

Post Image

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataja Askari wa Jeshi la Polisi pamoja na wasanii maarufu hapa nchini wanaotuhumiwa kuhusika na mtandao wa biashara haramu ya madawa ya kulevya. Makonda amewataja askari hao wakati akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam. RC Makonda amewataja wanaotuhumiwa kutumiwa dawa za […]

Read More..

Iyobo Anaogopa Kumnunulia Gari Aunt, Kisa M...

Post Image

DANSA maarufu wa Kundi la Wasafi  Classic Baby (WCB), Moses Iyobo amefunguka kuwa kamwe hawezi kumnunulia gari mzazi mwenziye, Aunt Ezekiel kwa kuwa anaogopa atapandisha michepuko yake. Iyobo alifunguka hayo juzikati alipokuwa akipiga stori mbili tatu na Global Publishers ambapo alisema kwa sasa anajipanga kumnunulia nyumba mpenzi wake huyo lakini siyo gari maana anaweza kuwapandisha […]

Read More..

Simu Yawagombanisha Vanessa na Jux

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Vanessa Mdee amefunguka na kuweka wazi kuwa mara nyingi huwa wanagombana na mpenzi wake huyo Jux kutokana na tabia yake ya kuchelewa kujibu jumbe fupi au hata kupokea simu zake. Vanessa Mdee alisema haya kwenye kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana EATV na […]

Read More..