Mapya Kutoka kwa Lady Jaydee
Mwanamuziki mkongwe katika tasnia ya bongo fleva Lady Jaydee amefunguka na kusema kuwa mpaka sasa tayari ana album nzima iko ndani na anachofanya ni kutoa kazi moja moja kila baada ya miezi mitatu. Leo kupitia kipindi cha East Africa Breakfast kinachorushwa na East Africa Radio. Lady Jaydee amesema album yake imekamilika na inaitwa ‘Woman’ hivyo […]
Read More..





