Muigizaji Mtanzania Ateuliwa Kuwa Rais wa K...
Muigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka nchini Tanzania, anayefahamika zaidi kupitia filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon (pichani hapo chini), ameteuliwa kusimamia kampuni ya Kimataifa ya utengenezaji na usambazaji filamu, D Street Media Group, kama Rais. Kampuni hiyo yenye Makao Makuu yake katika nchi anayoiongoza Rais Donald Trump, Marekani kwenye jiji la New York na […]
Read More..





