Ray C Afungukia Swala la Mahusiano Yake Kwa...
Msanii Rehema Chalamila a.k.a Ray C ambaye ametamba kwenye anga la Bongo Fleva kwa siku nyingi, ameweka wazi kuwa kwa sasa hayuko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yeyote. Ray C ambaye amerejea kwenye game kwa kasi baada ya kutoka kwenye dimbwi ya matumizi ya dawa la kulevya, amefunguka hilo alipokuwa kwenye kipindi cha FNL […]
Read More..





