-->

Monthly Archives: February 2017

Ray C Afungukia Swala la Mahusiano Yake Kwa...

Post Image

Msanii Rehema Chalamila a.k.a Ray C ambaye ametamba kwenye anga la Bongo Fleva kwa siku nyingi, ameweka wazi kuwa kwa sasa hayuko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yeyote. Ray C ambaye amerejea kwenye game kwa kasi baada ya kutoka kwenye dimbwi ya matumizi ya dawa la kulevya, amefunguka hilo alipokuwa kwenye kipindi cha FNL […]

Read More..

40 ya Nillan: Wolper Achafua Hali ya Hewa, ...

Post Image

WAKATI sherehe ya kutimiza 40 kwa mtoto wa Diamond na Zari, Nillan ikiendelea, staa wa Bongo Movies, Jackline Wolper Massawe amekerwa na wanaomsema vibaya Zari na kuamhua kuwafungukia hadharani akitoa povu lake mbele ya wageni waalikwa MTAZAME HAPA

Read More..

Picha ya Mtoto wa Diamond,Nillan

Post Image

KWA mara ya kwanza, Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platnums ameianika sura ya mwanaye wa kiume, mdogo wake Tiffah aitwaye Nillan. Diamond na mpenzi wake Zari, wameiweka hadharani picha ya mtoto wao huyo ambaye leo Februari 11, 2017 anatimiza siku 40 tangu alipozaliwa nchini Afrika Kusini.

Read More..

Shamsa Ford Umetisha Mama, Mungu Atakulipa

Post Image

MWEZI Februari umeanza vibaya kwa mastaa kadhaa kwenye kiwanda cha burudani ndani ya Bongo. Najua mnafahamu wazi kile kilichotokea wiki iliyopita na kupelekea baadhi ya wasanii wa muziki na filamu kutupwa rumande, tuyaache hayo. Kilichofanya nitumie wino wangu kuyaandika haya unayoyasoma ni jinsi ukubwa wa tatizo la ukosefu wa ushirikiano linavyoitafuna tasnia ya burudani. Ukitaka […]

Read More..

Nilishakufa, Namshukuru Mungu-Ray C

Post Image

Msanii wa bongo fleva Ray C ambaye awali alikuwa mtumiaji wa madawa za kulevya amefunguka na kusema yeye alishakufa ila anamshukuru Mungu kwa wema wake na kumtoa katika janga hilo la dawa za kulevya. Ray C alisema hayo jana alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL) na kusema leo hii yeye anasimama mstari wa […]

Read More..

TID Amtembelea Makonda Nyumbani, Afunguka H...

Post Image

Msanii wa kizazi kipya nchini TID ambaye siku kadhaa zilizopita alikuwa matatizoni akihusishwa na matumizi ya madawa ya kulevya, amefunguka na kusema muziki bila madawa ya kulevya inawezekana. TID ambaye leo amekutana na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda anasema kuwa amepata nafasi ya kukaa na kujadili na kiongozi huyo kuona […]

Read More..

Movie Trailer: ‘Gate Keeper’ ya...

Post Image

Kutoka Steps entertainment, Filamu ya GATE KEEPER inatarajiwa kuingia sokoni mwezi wa tatu mwaka huu. GATE KEEPER imechezwa na mastaa kibao katika tasnia ya bongo movie , kutana na Vincent Kigosi (Ray) Single Mtambalike (Richie), Kajala Masanja, Nicole Franklyin. Tazama Trailer ya Filamu hii hapa chini  

Read More..

Nikki Mbishi Arusha Dongo kwa Nikki wa Pili

Post Image

Msanii wa Hip Hop Nikki Mbishi amemchana Nikki wa Pili na kumuambia kwamba aache kujiita msemaji wa wasanii kwa kuwa yeye ni msemaji wa kikundi kidogo cha wasanii wachache. Akiongea kupitia eNewz Nikki amesema Nikki wa Pili hapaswi kujiita msemaji wa wasanii kwa kuwa sanaa ya muziki ipo huru na kila mmoja anaposema ni msemaji wa wasanii siyo […]

Read More..

Rais Afanya Uteuzi Mamlaka ya Kupambana na ...

Post Image

 

Read More..

Mzee wa Upako Afunguka Askofu Gwajima Kutaj...

Post Image

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ ameshauri kuwapo kwa utaratibu maalumu wakati wa kuwaita kwa mahojiano watu wanaoitwa kwa mahojiano kuhusu dawa za kulevya. Mzee wa Upako alisema hakukuwa na umuhimu wa vyombo vya habari kuhusika katika kuwataja watu hao hasa viongozi wa dini, bali wangeitwa kwa barua maalumu. Alisema […]

Read More..

Prof. Jay Afungukia Muziki wa Hip Hop Bongo...

Post Image

Rapa mkongwe nchini Prof. Jay ambaye mwaka jana alitoa ngoma ya ‘hip hop singeli’ iliyokwenda kwa jina la ‘Kazi Kazi’ ameibuka na kusema wivu wa baadhi ya wasanii wa hip hop Bongo hauwezi kusaidia muziki wa hip hop kufika mbali. Licha ya wimbo huo wa ‘Kazi Kazi’ kufanya vizuri, na kuwepo kwa baadhi ya wasanii […]

Read More..

Kamanda Sirro: Mbowe Asiporipoti Tutamfuata

Post Image

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema kama Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe hataripoti bila kutoa taarifa yoyote ya hudhuru atafuatwa kwa kuwa jeshi hilo linahitaji kumhoji. Kamanda wa kanda hiyo, Simon Sirro amesema hayo leo muda mfupi baada ya Mbowe kueleza kuwa hataripoti polisi kutokana na wito wa […]

Read More..

Wema Aalikwa Kwenye 40 ya Prince Nillan Jum...

Post Image

Kupitia kipindi cha LEO TENA kinachorushwa na CloudsFM Diamond Platnumz akiwa na mpenzi wake Zari, wamefunguka kumpa mwaliko staa wa bongo movie na mpenzi wa zamani wa Diamond,Wema Sepetu kwenye arobaini ya Mtoto wao Prince Nillan. “Namuomba Mungu Wema sepetu amalize tatizo lake salama na yeye tumemualika kwenye shughuli ya Prince NIllan Jumamosi, itakuwa ni […]

Read More..

Mkalimani Feki wa Mtalii Anaswa

Post Image

Mwongoza Watalii (Guide), ambaye anadaiwa kupotosha tafsiri ya matamshi ya mtalii aliyekuwa amemaliza kutembelea Mamlaka ya Bonde la Ngorongoro (NCAA), ametiwa mbaroni. Video ya mwongoza watalii huyo, ilianza kusambaa katika mitandao ya kijamii wiki iliyopita, na kuzua taharuki katika sekta ya Utalii nchini,huku wadau wengi wakitaka asakwe na kukamatwa. Katika video hiyo, mtalii huyo ambaye […]

Read More..

Viongozi wa Dini Waunga Mkono Juhudi za Mak...

Post Image

Baraza la viongozi wa dini la kupambana na dawa za kulevya Tanzania linaunga mkono juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kupambana na dawa za kulevya. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam Jumatano hii, Mwenyekiti wa Baraza hilo, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa […]

Read More..

Gwajima Atinga Central Polisi Dar na Kundi ...

Post Image

Askofu Josephat Gwajima ameripoti katika Kituo Kikuu cha Polisi  ili kuhojiwa baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kumtaja jana kwenye sakata la madawa ya kulevya. Gwajima alikuwa wa pili kuwasili kituoni hapo miongoni mwa wale 65 waliotajwa jana ambapo Mwenyekiti wa Yanga Yusuf Manji aliripoti mapema majira ya saa 4:30 […]

Read More..

Zari Afungukia Mipango ya Harusi Yake na Di...

Post Image

Zari The Bosslady amedai kuwa anataka harusi yake na Diamond Platnumz iwe kubwa na yenye gharama kuwahi kufanyika Afrika Mashariki. Hata hivyo, itafanyika baada ya kuwa wamefanya mambo ya muhimu zaidi ikiwemo kujijenga zaidi walivyo sasa. Akizungumza kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM Alhamis hii, Zari amedai kuwa suala la kufunga ndoa sio […]

Read More..

Wema Asomewa Mashtaka, Aachiwa kwa Dhamana

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu na wenzake wawili wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu asubuhi ya leo na kusomewa mashitaka matatu yanayohsiana na matumizi ya dawa za kulevya aina ya bangi. Akisomewa mashtaka na wakili wa serikali Nassoro Katuga mbele ya Hakimu Mkazi Thomas Simba imeelezwa kuwa msanii huyo alikutwa na kiwango kidogo cha […]

Read More..