-->

Monthly Archives: April 2017

Harmorapa, Bahati Haiji Mara Mbili!

Post Image

ATHUMANI Omary ambaye Sasa ni gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii na magazeti kama Harmorapa, ni msanii ambaye amekuja na bahati ambayo wengi wameshindwa kuipata, hata baada ya miaka kadhaa ya kuhangaikia jina kwenye Muziki wa Kizazi Kipya. Wapo wanaoamini katika bahati na wengine wanajaribu kumhusisha meneja wake, Irene kuwa ndiye aliye nyuma ya matukio […]

Read More..

Ben Paul: Wanaume Msikatae Mimba

Post Image

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Benard Paul ‘Ben Pol’, amewataka wanaume wakware kutokutaa mimba kwa sababu kufanya hivyo wanasababisha vifo vya watoto wasio na hatia. Ben Pol alisema wasichana wengi wanatoa mimba kutokana na kukataliwa na wanaume wanaowapa mimba hizo. “Kuitwa baba ni raha sana jamani watoto ni sehemu kubwa ya faraja, mimi kila […]

Read More..

VIDEO:Roma asimulia Walivyotekwa

Post Image

Msanii Roma Mkatoliki amesimulia kilichomkuta siku ya Jumatano wiki iliyopita huku akieleza kusikitishwa na maneno yanaayoenezwa kuwa yeye na wenzake wamepewa pesa na viongozi wa kisiasa kwa ajili ya kutengeneza ‘kiki’ kwa maslahi yao binafsi. Akizungumza leo na wanahabari ikiwa ni siku ya pili baada ya kuachiwa huru baada ya kutekwa kwa takriban siku tatu, […]

Read More..

TID Afichua Rushwa Inavyowatafuna Wasanii

Post Image

Mzee Kigogo ‘Mnyama TID’ amedai kuchukizwa na baadhi ya wadau wa muziki wanaowadai wasanii pesa ndipo ngoma zao ziweze kupenya kwenye masikio ya mashabiki kitu ambacho kinachangia kupotea kwa vipaji vingi mtaani. Akiwa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio TID alidai wasanii wananyonywa na wadau wanaoshughulika kusukuma muzilki hali amabayo inawafanya wasanii wengi kutenga […]

Read More..

Maalim Seif: Hakuna CUF ya Maalim wala CUF ...

Post Image

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chama hicho kitaendelea kufanya mambo kiungwana kwa kuwa Tanzania ni nchi ya amani na kuwa hakuna CUF ya Maalim Seif wala CUF ya Lipumba.   Akizungumza na waandishi wa habari leo, Maalim Seif alisema CUF inatimiza wajibu wa kutunza amani na iwapo kingetaka […]

Read More..

Nape Nnauye Asimulia Maneno Haya Aliyoambiw...

Post Image

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye leo April 9 2017 amekutana na wazee wa jimbo la Mtama na kuzungumza nao. Kati ya vitu amezungumza ni pamoja na kusimulia kipindi alipoteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Masasi na Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete.   Millardayo

Read More..

Nuh Mziwanda Afungukia Kilichomkutanisha na...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Nuh Mziwanda amesema Shilole ni msanii mwenzake na walivyoenda Zanzibar hawakuwa pamoja kila mtu alikuwa ameenda kwa kazi yake. Akipiga story kupitia eNewz ya EATV Nuh Mziwanda amesema hata kama akiamua kutoka nje ya ndoa siyo lazima atoke na Shilole kwakuwa wanawake ni wengi na anapokuwa  kwenye show huwa anakutana na wanawake wengi hivyo […]

Read More..

Nilijua Leo Tungeambiwa Roma Amepatikana &#...

Post Image

Msanii Mrisho Mpoto leo asubuhi na mapema alikwenda Kituo Kikuu cha Polisi (Central) ili kufuatilia sakata la kutekwa kwa msanii Roma Mkatoliki, Moni Centrozone na wenzao wengine wawili akiwepo producer Binladen pamoja na Emma. Mrisho Mpoto anasema alikwenda leo asubuhi na mapema akiwa na matarajio kuwa huenda polisi leo wangeweza kuwapa taarifa kuwa wasanii hao […]

Read More..

Chonde Chonde Mzee Wangu Gwajima-Diamond

Post Image

Diamond Platinumz amejikuta katika wakati mgumu baada ya kumtaja askofu Joseph Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima kwenye wimbo wake mpya wa “Acha Nikae Kimya”, kitendo ambacho kimepelekea askofu Gwajima kuandika mtandaoni kuwa atajibu mapigo kwenye siku ya kesho jumapili.   “Kesho Ibada itakuwa LIVE on YOUTUBE kuanzia saa nne na nusu, kutoka Kanisa […]

Read More..

Kama Siyo Harmonize, Harmorapa Angekuwa Wap...

Post Image

UKIMSIKILIZA kwa makini msanii Rajab Ibrahim ‘Harmonize’ kutoka Lebo ya Wasafi Classic Baby ‘WCB’, kisha Nasibu Abdul ‘Diamond’ ni kama unamsikiliza mtu mmoja tu – Diamond. Harmonize ameshindwa kabisa kutafuta identity yake. Ni kweli anajua kuimba, anajitahidi kuvaa na kuishi kisanii, lakini ndani yake anaonekana Diamond. Niseme ukweli kuwa lebo aliyopo ni sahihi na ndiyo […]

Read More..

VIDEO: Roma Aongeza kwa Mara ya Kwanza Tang...

Post Image

Msanii wa Bongofleva Roma Mkatoliki na wenzake watatu wamerudi uraiani baada ya kuripotiwa kutekwa April 5 2017 na kupelekwa kusikojulikana, baada ya kurudi uraiani ameyaongea kwenye hii video hapa chini. MillardAyo

Read More..

Video: Nay wa Mitego Afunguka Haya Muda Mch...

Post Image

Msanii wa muziki wa hip hop, Nay wa Mitego ni mmoja kati ya wasanii waliofika hapa Oysterbay polisi jijini Dar es salaam kumsubiria rafiki yake Roma Mkatoliki ambaye anahojiwa na jeshi la polisi muda mchache baada ya kupatikana. Rappa huyo alitekwa Alhamisi iliyopita akiwa studio pamoja na wenzake watatu. Akiongea na Bongo5 jioni hii akiwa […]

Read More..

Ray Kigosi Amvaa Wema Sepetu Sakata la Roma

Post Image

Msanii wa filamu nchini Ray Kigosi amefunguka na kusema tukio la kupotea kwa Roma isiwe sababu ya kutakatisha uchafu wa mtu. Ray Kigosi ameonyesha kuguswa na kile alichosema Wema Sepetu kuwa baadhi ya wasanii wa filamu wao suala la Roma hawaoni kama linawagusa. Ndipo hapo Ray alipofunguka na kumtaka Wema asiwagombanishe na wananchi. “Nafikiri ni […]

Read More..

VIDEO:RC Makonda Atoa Ahadi Hii Kuhusu Roma...

Post Image

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, wameahidi Roma Mkatoliki, Moni pamoja na wengine wawili kupatikana Jumapili hii baada ya wasanii hao kutekwa na watu wasiojulikana Jumatano hii wakiwa Tongwe Record. Alisema hayo akiwa nyumbani kwake Masaki jijini Dar es salaam, muda mchache baada ya kutembelewa na wasanii ambao walimtaka mkuu huyo kuwasaidia […]

Read More..

Wanatumia Ndumba Kunipoteza – Sam wa Ukweli

Post Image

Msanii Sam wa ukweli ametuma salam kwa wasanii wenzake wanaomfanyia fitina kwa kutumia ndumba asirudi kwenye muziki waache kwani tayari ameshawafahamu na kuwataka wasiogope yeye kurudi kwenye ‘game’ kwani kila mtu ana riziki yake. Akifunguka kwenye eNewz ya EATV, Sam wa Ukweli anayetamba na ‘hit’ ya Kisiki amedai kuwa amepewa taarifa na baadhi ya watu kuwa wasanii wenzake […]

Read More..

Video: Nay wa Mitego – Wapo

Post Image

Msanii Nay wa Mitego ameachia video yake mpya ya wimbo unaitwa “Wapo”, video imeongozwa na Khalfani Khalmandro, tazama hapa chini alafu toa komenti yako.

Read More..

VIDEO:Wasanii Huu ni Wakati wa Kupendana-Jo...

Post Image

STAA wa filamu nchini, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema kuwa kwa sasa wasanii wa maigizo wanapaswa kushikamana na kuondoa tofauti zao. Johari ameyasema hayo leo wakati akipiga stori na mwandishi wetu akiwa katika Makaburi ya Kinondoni kwa ajili ya sala fupi ya kumwombea aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Charles Kanumba aliyefariki siku kama ya leo […]

Read More..

Steve:Tumuenzi Kanumba kwa Vitendo

Post Image

MSANII wa maigizo na vichekesho nchini, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema kuwa, wasanii wa tasnia ya filamu wanapaswa kumuenzi kwa vitendo aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Charles Kanumba ambaye leo ametimiza miaka mitano tangu kifo chake. Steve alisema hayo leo wakati alipoungana na baadhi ya wasanii wa Bongo Movies kufanya ibada fupi ya kumuombea […]

Read More..