-->

Monthly Archives: April 2017

Picha:Madam Flora Afunga Ndoa Leo na Daudi ...

Post Image

Manamuziki maarufu wa nyimbo za Injili, Flora Flora, ambaye ni mjukuu wa aliyekuwa muhubiri maarufu nchini, Askofu, Moses Kulola (sasa marehemu), amefunga ndoa leo tarehe 30/04/2017 jiji Mwanza na mchumba wake Daudi Kusweka. Hizi ni baadhi ya picha za harusi hiyo.

Read More..

Sizifahamu Movie za Ray – Nikk Wa Pili

Post Image

Msanii wa Hip hop nchini Tanzania Nikk Wa Pili amesema kuwa mastaa wengi wa Bongo Movie wanafahamika zaidi kuliko kazi zao tofauti na ilivyo kwa wasanii wa filamu kutoka nje. Nikk Wa pili alizungumza hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL)  nakusisitiza kuwa mastaa wengi wa bongo wanatrendi kwa muda mrefu hata zaidi […]

Read More..

Bongo Muvi Acheni Kuwaonea Wakorea, Wafilip...

Post Image

BONGO Muvi imekwisha sasa. Hakuna anayeshtuka kusikia Ray ama Riyama katoa Muvi mpya. Bongo Muvi ipo ipo tu. imebaki kuwa kama Panadol. Haimalizi tatizo bali inatuliza tu. Mtu akitaka kuangalia muvi za nyumbani anaangalia ila anakuwa hajamalizwa kiu yake. Hakuna ubunifu wala viwango. Hakuna vipaji halisi wala kitu cha kushawishi kuangalia. Juzi wameandamana. Kabla ya […]

Read More..

Tetemeko la ardhi lazua hofu kwa wananchi w...

Post Image

Bukoba. Tetemeko la ardhi limetokea tena mkoani Kagera na kusababisha hofu kwa wananchi. Hofu hiyo inatokana na tetemeko la ukubwa wa 5.7 kwa vipimo vya Richter lililotokea mkoani hapa Septemba mwaka jana na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 10 majeruhi takriban 200 na mamia wengine kukosa makazi. Wananchi waliozungumza na gazeti hili, katika Manispaa […]

Read More..

Nay wa Mitego Anakula Madawa – Niva S...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Niva Super Mario ameendelea kumsakama Nay wa Mitego kwa kusema kuwa msanii huyo hana nguvu na si mtu wa mazoezi bali ni mtu ambaye anakula madawa ya kuongeza nguvu na mwili huku akitafuta kiki kupitia bongo movie. Niva alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL) na kusema hiyo […]

Read More..

Video: Rais Magufuli Awasili Mkoani Kiliman...

Post Image

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewasili mkoani Kilimanjaro kwa ziara ya siku tatu, ambapo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe ya wafanyakazi ‘Mei Mosi’. Ijumaa hii Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Said Meck Sadiki, alitoa wito kwa wananchi wa mkoa huo kujitokeza kwa wingi kumpokea Rais Magufuli pamoja na […]

Read More..

Sipangiwi Wala Sifundishwi cha Kuongea R...

Post Image

Msanii wa Bongo fleva Nay wa Mitego amefunguka mapya na kusema yeye hana muda wa kupoteza wa kupigana na msanii wa bongo ‘movie’ Yusuph Mlela huku akijitapa kuwa hapangiwi wala hafundishwi jambo analotaka kuongea. Nay ameeleza hayo baada ya kuambiwa na Mlela ajiheshimu na asiingilie kazi za watu ambazo hazimuhusu huku akisisitiza kwamba kama angekuwa anaimba basi […]

Read More..

Kajala Kajala Aanika Mwanaume wa Kumuoa

Post Image

MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja, amefunguka kuwa, endapo ataolewa tena, basi kigezo cha kwanza cha huyo mtarajiwa wake kitakuwa ni kudekezwa. Kajala ambaye aliolewa kisha ndoa yake kupata matatizo na mumewe kufungwa gerezani na hivi karibuni kuachiwa, alisema endapo itatokea ameolewa kwa mara nyingine basi kigezo cha huyo mwanaume ni lazima awe anayejua […]

Read More..

Wababe wa Game Wamerudi!

Post Image

WASANII wenye uwezo mkubwa katika tasnia ya filamu za Kibongo nchini wamerejea mzigoni. Hapa nawazungumzia Jimmy Mponda ‘J Plus’ na Sebastian Mwanangulo ‘Insp. Seba’.   Mseto wa J Plus a.k.a Jimmy Master na Seba ni wa aina yake. Ni wasanii wanaocheza sinema za mapigano na kwa hakika kwa namna wanavyoweza kuwasiliana wanapokuwa nyuma ya kamera, […]

Read More..

Kutoka na Mzee Siwezi-Shilole

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Shiloe alimaarufu kama Shishi Baby amefunguka na kuwataka wanaume ambao wanategemea wanawake kuvalishwa, kulishwa wabadilike na kuanza kufanya kazi ili wasitegemee tena wanawake kuendesha maisha yao. Shilole anasema wanaume ambao wanapenda kutunzwa na wanawake ni wanaume sanamu, maana wanaume makini hawawezi kutegemea kulelewa na wanawake. “Haya mambo hayatakiwi kuwepo, […]

Read More..

Wakazi Dar Watahadharishwa Juu ya Mvua Kubw...

Post Image

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa tahadhari kwa umma kuhusu vipindi vya mvua kubwa vinavyoambatana na upepo mkali na mawimbi makubwa katika mwambao wa ukanda wa pwani. Katika taarifa yake ya leo saa 11:15 jioni, TMA imetoa tahadhari kuwa, kuanzia leo hadi keshokutwa kutakuwa na vipindi vifupi vya mvua kubwa inayozidi […]

Read More..

Yusuph Mlela Ataka Wazichape na Nay wa Mite...

Post Image

Muigizaji wa filamu za bongo Yusuph Mlela leo amezungumza na kumtaka msanii wa muziki wa hip hop na Bongo fleva Nay wa Mitego, kuheshimu na kutoziingilia kazi za wasanii wengine kama anavyoheshimu kazi zake. Yusuf Mlela aliendelea kwa kusema kuwa kama Nay wa Mitego anaona ameshafanikiwa kimaisha basi awapishe wasanii wengine waendelee kujitafutia riziki kwani […]

Read More..

Steve Nyerere Afungukaia Urais wa Mwakifamb...

Post Image

Mchekeshaji Steve Nyerere amendelea kuwachana wasanii wenzake kutotumia nguvu nyingi kutaka kumng’oa madarakani  Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifamba kwa kisingizio cha kudai harakati za kufanya mabadiliko katika tasnia ya filamu. Steve ametema chehe hizo  kwa kudai figisu zinazofanywa na wasanii wenzake kwa njia za maadamano zina lengo la kutaka kumuondoa madarakani Simon Mwakifamba […]

Read More..

VIDEO: Rais Magufuli Afuta Ajira Zaidi ya E...

Post Image

Rais  Dk. John Pombe Magufuli, ameiagiza Wizara ya Fedha kufuta mara moja ajira za  watumishi wa umma 9,932 waliobainika kughushi vyeti, kwenye orodha ya malipo ya watumishi wa umma. Akiongea leo mara baada ya kupokea ripoti ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma mjini Dodoma, Rais Magufuli pia amewataka watumishi hao kuondoka wenyewe na […]

Read More..

Nicole Afungukia Ishu Vanessa Kumchukulia B...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Nicole aliyezaa na mbunge ambaye hakutaka kuweka jina lake wazi amefunguka tetesi za mzazi mwenzake huyo kutoka kimapenzi na msanii Vanessa Mdee na kusema yeye anafahamu kuwa Vanessa na mzazi mwenzake huyo ni kama mtu na mdogo. Akiongea kwenye kipindi cha eNewz Nicole amedai yeye hafahamiani kabisaa na Vanessa Mdee anasema […]

Read More..

Video: Hussein Machozi Arudi Bongo

Post Image

Msanii wa muziki, Hussein Machozi, Jumatano hii usiku aliwasili jijini Dar es salaam katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere akitokea nchini Italy alipokuwa katika shughuli zake za masomo na muziki. Muimbaji huyo ametua nchini akiwa na video yake mpya iliyoandaliwa nchini humo. Akizungumza na waandishi wa habari muda mchache baada ya kuwasili, Hussein amedai […]

Read More..

Natamani Kufanya Kazi na Chid Benz-Ray C

Post Image

Msanii mkongwe ambaye kwa sasa anasikika na ngoma ya ‘Unanimaliza’  Rehema Chalamila ‘Ray C’ amekiri kutamani kufanya kazi nyingine na rapa Chid Benzi na anamuombea kwa Mungu ili aweze kutoka rasmi kwenye mtihani wa dawa za kulevya Ray C amefunguka hayo hivi karibuni na kusema kuwa mbali na kuwa walisha fanya wimbo wa pamoja na […]

Read More..

Daz Baba Amgundua Mchawi Wake

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop, Daz Baba amedai amegundua kitu ambacho kinamkwamisha ashindwe kufanya vizuri kama zamani. Daz ambaye amewahi kufanya vizuri na nyimbo nyingi ikiwemo ‘Namba 8’, ameimbia Bongo5 kuwa uwekezaji katika kazi zake za muziki ndio kitu ambacho kinamfelisha. “Mimi kitu ambacho kinanikwamisha kwa sasa ni video kali. Kwa sababu nyimbo […]

Read More..