Kesi ya Masogange Yakwama
UPANDE wa mashitaka katika kesi ya kutumia dawa za kulevya inayomkabili, Agness Gerald ‘Masogange’, umeiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuonya upande wa utetezi kwa kushindwa kutoa ushahidi wao kwa mara ya tatu mfululizo. Upande wa mashtaka umefikia hatua hiyo baada ya Wakili wa Utetezi, Nehemia Nkoko, kudai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri, […]
Read More..





