-->

Category Archives: BongoFleva

Mwana FA Akiri ‘Kutia Chumvi’ K...

Post Image

Mkongwe wa Rap ndani ya Bongo, Mwana FA, amesema siyo kila kitu alichoimba kwenye ngoma yake inayotikisa hivi sasa ya ‘Dume Suruali kina uhalisia, huku akikiri ‘kutia chumvi’ nyingi kwenye wimbo huo. FA amefunguka hayo alipokuwa kwenye show kubwa ya kila Ijumaa saa 3;00 ya FNL inayoruka kupitia EATV, na kuwatoa hofu mashabiki wake hususani […]

Read More..

Picha: Alikiba Ashiriki Kwenye Mechi ya Sok...

Post Image

Kama isingekuwa muziki, huenda Alikiba angekuwa mmoja wa vinara wa timu kubwa za soka nchini, zikiwemo Simba au Yanga. Baada ya mechi, Alikiba alitunikiwa tuzo ya mchezaji bora staa Pamoja na kufanya muziki, Alikiba hutumia muda wake mwingine kujikumbushia kipaji chake cha soka, na ndio maana Jumamosi hii alishiriki mechi ya hisani ya mchezo huo […]

Read More..

Tunda Man Atoa ya Moyoni Kuhusu Babu Tale

Post Image

Msanii Tunda Man ametoa ya moyoni kuhusu meneja wake Babu Tale ambaye pia anaisimamia Tip Top, kutokuwa karibu nao kama siku za nyuma. Akizungumza na East Africa Television, Tunda Man amesema ni ukweli usiopingika kuwa Babu Tale haithamini Tip Top kama siku za nyuma, na ni kitendo ambacho kinamuumiza sana msanii huyo. Pia Tunda Man […]

Read More..

Bahati Bukuku Afunguka Baada ya Kuzushiwa K...

Post Image

Mwanamuziki wa nyimbo za Injili Bahati Bukuku ambaye hivi karibuni amezushiwa kufariki dunia kwa ajali, amekanusha taarifa hizo na kusema zimeandaliwa na watu wanaotaka kumpunguzia mashabiki. Akizungumza na East Africa Television Bahati Bukuku amesema taarifa za kifo chake ni mbingu tu ndiyo zitajua, kwa kuwa shetani hana nafasi ya kujua taarifa za kifo chake. “Ni […]

Read More..

Spicy ‘Rasta’ Atoboa Sababu ya ...

Post Image

Mwanamuziki Spicy kutoka Nigeria ambaye pia ni mpenzi mpya wa Lady Jaydee, leo ametoa sababu za wawili hao kutokuwa na pete licha ya kuonekana wakiwa katika mazingira walioyaita ‘honeymoon’. kizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Spicy amesema kwa sasa anasubiri hatua za uchumba na ndoa zikamilike, kisha ndipo suala la pete litafuata. […]

Read More..

Saida Karoli: Kuhusu Wimbo wa Salome, Siuju...

Post Image

BAADA ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kuachia ngoma ya Salome ambayo ndani yake ametumia melodies na vionjo vilivyomo kwenye wimbo wa mwanadada aliyetamba na kujichukulia heshima kubwa kwenye muziki wa asili hapa nchini, Saida Karoli, taarifa zilianza kuzagaa mitandaoni na kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuwa Mbongo Fleva huyo ameiba wimbo wa […]

Read More..

Matano (5) Muhimu Kuyajua Kutoka kwa Vaness...

Post Image

UKITAJA listi ya wasanii wakubwa wa kike wanaofanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva, jina la Vanessa Mdee maarufu V Money, haliwezi kukosekana kutokana na juhudi zake za kuhakikisha muziki wake unapasua anga. Vanessa hivi sasa anatamba kimataifa, akifanya shoo za nje ya nchi lakini pia akishiriki kwenye tuzo mbalimbali za kimataifa. Diva huyu anayetamba […]

Read More..

Mwaka wa Tabu kwa Wasanii

Post Image

Wakati tunaingia mwaka 2016 wasanii walikuwa na matarajio makubwa ya kufanikiwa katika shughuli zao za sanaa kama ilivyokuwa kwa miaka iliyopita, lakini mpaka sasa wengi wanalia kutokana na hali halisi iliyopo kwa sasa katika soko la burudani nchini. Watanzania wamelazimika kupunguza starehe na mahitaji yasiyo ya lazima na kugeukia majukumu mengine ya kifamilia, ikiwamo chakula, […]

Read More..

Salome ya Diamond Ilivyobadili mipango ya D...

Post Image

Hit maker wa wimbo Muziki, Darassa amedai hapo awali alikuwa ana mpango wa kumshirikisha Saida Karoli kwenye wimbo wake ‘Muziki’ lakini baada kuona Diamond ametoa wimbo ‘Salome’ ambao ndani yake amemtumia Saida Karoli akaamua kuusitisha mpango huo. Rapa huyo amedai wazo la kumtaka kumshirikisha muimbaji huyo wa muziki wa asili wa zamani lilitokana na mdundo […]

Read More..

Jide Akiri Kutoka Kimapenzi na Mnigeria Spi...

Post Image

HATIMAYE staa wa muda wote katika muziki wa kizazi kipya, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ a.k.a Jide leo amekiri bila kupepesa maneno kuwa yupo katika penzi zito na mwanamuziki mwenzake raia wa Nigeria aitwaye Chris maarufu kama Spicy a.k.a Rasta. Jide ameyafunguka hayo wakati akifanya Exclusive Interview na Global TV Online kwenye studio zake zilizopo ndani ya […]

Read More..

Alikiba Sina Tatizo na Dully Sykes

Post Image

Mkali wa wimbo Aje Alikiba baada ya kuondoka na tuzo tatu za EATV, amefunguka na kuzungumzia mahusiano yake na msanii mkongwe wa muziki na producer, Dully Sykes. Hatua hiyo imekuja kutokana na kuenea kwa taarifa za muda mrefu katika mitandao ya kijamii kwamba wawili hao hawaelewani. Katika usiku wa tuzo za EATV, Dully ndiye aliyemtangaza […]

Read More..

Baraka The Prince Amsajili Lord Eyes

Post Image

Msanii Baraka The Prince ametangaza rasmi kuanzisha label yake na kutaja wasanii wakubwa wawili ambao wapo chini ya label yake hiyo. Akiongea katika kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio Baraka The Prince amesema kuwa rasmi rapa Lord Eyes amesaini chini ya label yake inayofahamika kama ‘BANA’  na kusema ameamua kumchukua Lord Eyes kutokana […]

Read More..

Ndoa 14 za Mastaa Bongo Mwaka Huu

Post Image

2016 mwaka wa ndoa. Ndivyo ninavyoweza kusema kutokana kuwa mwaka huu wa baraka tele miongoni mwa wasanii wengi nchini kufunga ndoa tufauti na miaka mingine iliyopita. Naweza kusema kuwa wasanii wengi walikuwa wanawoga wa kuingina kwenye ndoa na hata wengi kutunga nyingi kwamba suala hilo bado kama ‘Bado nipo kwanza’ wa Mwana Fa na ‘Nakula […]

Read More..

Afande Sele: Darassa Kawafunga Mdomo Walios...

Post Image

Afande Sele katupa jiwe gizani ama kalitupa kwa hasimu wake Madee? Vyovyote vile, Mfalme huyo wa Rhymes amempongeza rapper Darassa kwa kumuelezea kama mtu aliyekuja kuwafunga mdomo watu waliowahi kudai kuwa hip hop imekuja – au kama ambavyo Madee aliwahi kusema ‘hip hop haiuzi.’ Kauli yake inakaribisha mjadala mwingine mrefu na ambao ni ngumu kupata […]

Read More..

Q Chilla:Starehe, Madawa ya Kulevya Yamenip...

Post Image

KIRAKA wa muziki wa Bongo Fleva  Abubakary Katwila ‘Q chief’ ambaye aliwika sana  mwanzoni mwa miaka ya 2000 akiwa na kibao chake cha ‘Ulinizaa wewe’ ambacho kilivuta sana hisia za wababa wengi ambao wanatabia ya kukataa watoto wao. Wimbo huo ulikuwa kama wimbo wa Taifa awe mkubwa mtoto lazima auimbe ulifanikiwa kumbamba vituo mbalimbali vya […]

Read More..

Orodha ya Washindi wa EATV AWARDS 2016

Post Image

Historia imeandikwa kwenye tasnia ya sanaa nchini ambapo kwa mara ya kwanza tukio la utoaji wa tuzo za #EATVAwards kwa wasanii wa muziki na filamu Afrika Mashariki, limefanyika usiku wa jana katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam. Tuzo hizo zilizoandaliwa na East Africa Television Ltd, zimekuwa za kwanza Afrika Mashariki, ambapo wasanii […]

Read More..

Sikutoa ‘Muziki’ Kumfunika Mtu – Darassa

Post Image

Nyota wa hip hop katika anga la bongo Fleva, Darassa amesema hakutoa ngoma mpya inayokwenda kwa jina la ‘Muziki’ kwa lengo la kufunika ngoma ya mtu mwingine bali ni kwa lengo la kufikisha ujumbe kwa jamii na kuwaburudisha mashabiki wake. Darassa amefunguka hilo katika kipindi cha FNL cha EATV alipotakiwa kufafanua iwapo ni kweli kwamba alitoa […]

Read More..

Vanessa Mdee Kuigiza Tamthilia ya MTV Base

Post Image

BAADA ya kumaliza mwaka na wimbo wa ‘Cashmadame’, mkali wa muziki Afrika Mashariki, Vanessa Mdee, mwakani ataanza kuonekana kwenye tamthilia ya Shuga iliyochezwa nchini Afrika Kusini. Msimu wa tano wa tamthilia hiyo unaanza Machi mwakani ambapo Vanessa Mdee kutoka Tanzania atashirikiana na wasanii wengine kutoka nchi mbalimbali katika kunogesha msimu huo wa tamthilia hiyo. “Nafurahi […]

Read More..