Mwana FA Akiri ‘Kutia Chumvi’ K...
Mkongwe wa Rap ndani ya Bongo, Mwana FA, amesema siyo kila kitu alichoimba kwenye ngoma yake inayotikisa hivi sasa ya ‘Dume Suruali kina uhalisia, huku akikiri ‘kutia chumvi’ nyingi kwenye wimbo huo. FA amefunguka hayo alipokuwa kwenye show kubwa ya kila Ijumaa saa 3;00 ya FNL inayoruka kupitia EATV, na kuwatoa hofu mashabiki wake hususani […]
Read More..






