Eshe Buhet: Katu Sitamuonesha Mume Wangu
Mengi yamekuwa yakiongelewa kuhusu nyota huyu wa filamu za Kibongo, Eshe Buhet, huku ikiwepo minong’ono kuwa ndoa yake imevunjika. Akizungumzia hilo anasema bado yupo kwenye ndoa na anaishi kwa amani na mume wake ingawa watu wanasambaza maneno kuwa wametengana. “Niliolewa tangu mwaka 2008, nimefanikiwa kupata mtoto mmoja wa kike na ninaishi kwa amani na upendo […]
Read More..






