-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Eshe Buhet: Katu Sitamuonesha Mume Wangu

Post Image

Mengi yamekuwa yakiongelewa kuhusu nyota huyu wa filamu za Kibongo, Eshe Buhet, huku ikiwepo minong’ono kuwa ndoa yake imevunjika. Akizungumzia hilo anasema bado yupo kwenye ndoa na anaishi kwa amani na mume wake ingawa watu wanasambaza maneno kuwa wametengana. “Niliolewa tangu mwaka 2008, nimefanikiwa kupata mtoto mmoja wa kike na ninaishi kwa amani na upendo […]

Read More..

JB Kuja na Surprise ya Kalambati Lobo Septe...

Post Image

MWIGIZAJI mkongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood Jacob Stephen ‘JB’ anatarajia kuja na Surprise kubwa pale atakapoachia filamu kubwa na y a kipekee ya Kalambati Lobo, akiongea na FC mwigizaji na mtayarishaji wa filamu Swahilihood amefunguka kwa kusema kuwa awali alikuwa akiamini kuwa atatumia muda mwingi kuigiza tu bila kutayarisha sinema lakini kwa sasa amekua. […]

Read More..

Diamond Kama Vipi Malizia Bongo Muvi

Post Image

NIMEKUWA nikikagua kwa umakini sana video za wasanii mbalimbali hususan wa Bongo Fleva katika ubora wake ili kujiridhisha kama bajeti za kushutia wanazozitaja zinalingana na ukweli halisi kwa kuzingatia mambo mbalimbali ya kiweledi. Kwenye kwaliti sio inshu lakini kwenye uhalisia ndiyo inshu na kichupa kikibamba na kuwa poa kwa levo inakuwa njema, kinapagawisha na kila […]

Read More..

AISHA BUI Kimya Changu Kina Mshindo

Post Image

BAADA ya kimya cha takribani miaka mitatu, msanii wa filamu za Kibongo, Aisha Bui ameibuka na kudai kuwa, mashabiki wake wajiandae kumpokea kwa kazi nzuri, zenye kusisimua. Akipiga stori na Gumzo la Town, Aisha Bui ambaye aliibuliwa na Filamu ya My Book iliyotayarishwa na mwigizaji nguli Deogratius Shija, ameeleza sababu za kukaa pembeni kwa muda […]

Read More..

Shilole Atoboa Kilichomsukuma Kupatana na N...

Post Image

Baada ya hivi karibuni Sholole na Nuh Mziwanda kupatana, Shilole amefunguka na kuzungumzia nini kimemsukuma mpaka akapatana na mkali huyo wa wimbo ‘Jike Shupa’. Wawili hao ambao walikuwa wapenzi waliachana kwa kutupiana maneno huku Nuh Mziwanda akionekana kumlaumu Shilole kwa kumpotezea muda. Akiongea na Uhead ya Clouds FM Ijumaa hii, Shilole amedai ameamua kumaliza tofauti […]

Read More..

Filamu ya ‘Nani Zaidi’ Kuingia ...

Post Image

Filamu ya ” Nani Zaidi ” Inatoka Jumatatu Ya Tarehe 19 September 2016. Kuwa Wa Kwanza Kupata Nakala yako Original. Wahusika ni – Hemedy Suleiman – Tino Muya Na Wasanii Wengine wakali. Kamwe Usikubali Kununua Filamu ya ” Nani Zaidi ” kama Hanina Nembo ya Steps Entertainment LTD. Pia Kampuni Ya Steps Entertainment LTD Inatafuta […]

Read More..

Nipo Bongo Kumfuata Jack Wolper- Burundiano

Post Image

THAMANI ya Lugha yetu ya Kiswahili katika filamu kwa nje ni kubwa sana hadi wasanii wakubwa wameingia darasani kwa ajili ya kuigiza kama watanzania msanii mkubwa nchini Burundi Sururu Jafari ‘Burundiano’ nafunguka na kujivunia kuijua lugha hiyo na yupo nchini Tanzania akirekodi filamu na wasanii wa Bongo. Burundiano akikagua vifaa vya Production kabla ya kuanza […]

Read More..

Uhuru Wangu Umepungua Tangu Niolewe –...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amesema kuwa maisha yake kwa sasa yamepungua uhuru baada ya kuingia katika ndoa Kupitia camera za eNewz Shamsa amesema “Kwa sasa uhuru umepungua, hata zile ‘outs’ sasa zimepungua” Alipoulizwa kama je ndoa yake itabadilisha mtindo wake wa uigizaji, Shamsa alisema “Mimi bado ni m’bongo movie na mume wangu ananielewa, […]

Read More..

Kidoa Nusura Aachike

Post Image

WIKI kadhaa tangu aingie katika uhusiano na jamaa mmoja anayedaiwa kuwa ni kigogo, muuza nyago kwenye video za Kibongo, Asha Salum ‘Kidoa’ kidogo anusurike kuachwa na kigogo huyo baada ya kufumwa meseji za wanaume wengine kwenye simu yake. Kwa mujibu wa chanzo kilicho karibu na muuza nyago huyo, tangu ameanzisha uhusiano na kigogo huyo, ameonekana […]

Read More..

Davina: Filamu Imebuma, Najiongeza

Post Image

MSANII wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameweka wazi kuwa baada ya sanaa hiyo kuonekana kubuma, sasa ameamua kujiongeza kwa kufanya biashara ya kufuata bidhaa nje ya nchi. Akipiga stori na gazeti hili, Davina alisema baada ya kumaliza kampeni za uchaguzi ameamua kujikita kwenye biashara ya kusafiri nje ya nchi kutokana na soko la […]

Read More..

Shamsa Ford Awatia Moyo ‘Single Mothers’

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambaye ameolewa siku za karibuni amewatia nguvu wanawake ambao wanalea watoto peke yao bila wazazi wa kiume. Shamsa amesema kuwa licha ya yeye kuolewa sasa lakini bado ataendelea kuwa pamoja na wanawake wale ambao wamekuwa wakilea watoto Wao wenyewe bila kushirikiana na wanaume. Shamsa Ford anasema kuwa wanawake hao […]

Read More..

Mastaa wa Bongo Waliouaga Ukapera Mwaka Huu

Post Image

MAISHA ya mastaa ulimwenguni mwote yamejaa anasa na starehe kwa sana. Mawazo ya kuoa au kuolewa hayapewi nafasi kubwa vichwani mwa wengi. Hata hivyo kwa mastaa wa mbele, imekuwa kawaida kwao kuoana ndoa za mikataba, kisha kusitisha katika muda waliopanga. Lakini siku za karibuni, mambo yamekuwa tofauti ambapo mastaa wengi wameamua kuoana kwa ndoa za […]

Read More..

Wema Sepetu Atumia Show ya Vigoma Tanga Kuz...

Post Image

Malkia wa filamu Wema Sepetu ametumia show yake ya vigoma iliyofanyika Jumamosi hii katika Viwanja vya Mkwakwani mkoani Tanga kuzindua bidhaa yake mpya ya viatu vya kike. Mwigizaji huyo ambaye mwishoni mwa mwaka jana alizindua bidhaa yake ya kwanza ya lipstick, amesema bidhaa hiyo itaanza kupatika madukani hivi karibuni. “Wakati naanza kutumia jina langu kwa […]

Read More..

Siwalaumu Wanaopenda Skendo – JB

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jacob Stephen maarufu kama JB amefunguka na kusema kuwa yeye hawalaumu wasanii ambao wamekuwa wakiendesha maisha yao ya sanaa kwa kutafuta ‘kiki’ au kufanya skendo. Amesema kwa upande wake yeye hawezi kufanya hivyo kwani anaamini kuwa maisha ya skendo huwafanya wasanii waonekane wahuni, washindwe kuaminiwa na kudharauliwa na baadhi ya watu. […]

Read More..

Man Fongo Sio Mtu wa Kubishana na Mama Yang...

Post Image

Baada ya kusambaa audio katika mitandao ya kijamii ambazo mama Wema anasikika akimpandishia mtangazaji wa Clouds FM, Soudy Brown, Wema Sepetu amemvutia wire mtangazaji huyo akimtaka kuacha kumzungumzia mama yake katika mambo ambayo hayaeleweki. Chanzo mgogoro huo mkubwa kati ya Wema Sepetu dhidi ya Christian Bella na Man Fongo kwa pamoja, unahusiana na masuala ya […]

Read More..

Wakonta Apata Kifaa cha Kumsaidia Kuandika

Post Image

MWANDISHI wa ‘script’ anayetumia ulimi kuandikia, Wakonta Kapunda, amepata kifaa cha kumsaidia kuandika kwa kutumia sauti ambacho ndiyo ameanza kukifanyia mazoezi. Wakonta aliliambia MTANZANIA kwamba kupatikana kwa chombo hicho kiitwacho Nuance Dragon Naturally Speaking, kitamrahisishia kuandika kwa haraka script za filamu zake na mambo mbalimbali ambayo atataka kuyafanya. “Kupatikana kwa kifaa hicho ni faraja kwangu kwasababu […]

Read More..

Kanumba, Tyson, Kuambiana… Wameondoka na ...

Post Image

BADO naendeleza kelele zangu kwenye soko la filamu nchini ambalo kwa sasa limedorora na kama hatua za makusudi hazitachukuliwa basi kuna hatari ya kupotea kabisa. Wadau wa sanaa wale wanaoitakia mema tasnia ya filamu, wanapiga kelele kurudisha heshima ya sanaa na wasanii wa filamu Tanzania. Zipo hoja nyingi zinazowekwa mezani. Hata wiki iliyopita nilijenga hoja […]

Read More..

Filamu ya ‘Kesho yangu’ Kutoka ...

Post Image

Kesho yangu ni kati ya filamu zinazosambazwa na Steps Entertainment na inafanya vizuri sokoni kutokana na umahiri ulioonyeshwa ndani filamu hii, sio ya kukosa kabisa. Angalia ni namna gani anavyo weza kubadilika na kuwa mnyama kuzulumu haki pamoja na uhai wa mtu sababu ya mali. Filamu hii inawashirikisha wa sanii kama Mohamed Zuberi(Niva), Masinde, Gozbert […]

Read More..