-->

Mzimu wa Kanumba wamsumbua Ray Kigosi

Post Image

Ikiwa ni zaidi ya miaka minee toka alipofariki dunia msanii wa filamu nchini Kanumba The Great lakini bado wapenzi wa filamu nchini na mashabiki wanaonesha kukubali zaidi kazi zake. Hali hiyo imepelekea wapenzi kusema kuwa aliyekuwa mpinzani wake katika tasnia hiyo Ray Kigosi ameshindwa kufikia kiwango ambacho alikiacha Kanumba miaka minne nyuma. Leo kupitia ukurasa […]

Read More..

Picha: Shilole na Nuh Mziwanda ‘Waringish...

Post Image

Kama ulikuwa ni msiba wa ‘penzi’ basi arobaini imeisha na sasa maisha yanaendelea kwa wasanii wa Bongo fleva, Shilole na Nuh Mziwanda ambao uhusiano wao umekufa na kuzikwa kabisa. Wiki chache baada ya couple ya ‘shiwanda’ kuvunjika, na juhudi za wadau mbalimbali kutaka kuwapatanisha kugonga mwamba (soma hapa), inavyoonekana Nuh na Shishi kila mmoja ameamua […]

Read More..

Chuchu Azungumzia ‘Usaliti’

Post Image

Mmoja wa waandaaji wa tamthilia mpya ya Usaliti Chuchu Hansi ameeleza kuwa tamthilia hiyo itaanza kuruka Jumanne ya leo saa 09:30 usiku kupitia EATV. chuchu amesema tamthilia hiyo itahusu migogoro ya kimapenzi na usaliti. Chuchu amesema tamthilia hiyo itahusisha wakali kibao wa zamani na wa sasa akiwemo yeye mwenyewe na wengine kama Nyamayao, Thea, Senga […]

Read More..

Idris Sultan Aomboleza Watoto Wake na Wema ...

Post Image

Idris Sultan ambaye ni mwenzi wa mwanadada Wema Sepetu, ambao hivi karibuni walitoa taarifa kuwa wanatarajia kupata mtoto, ameibua hisia za mashabiki wake baada ya kuandika ujumbe unaoashiria kuharibika kwa ujauzito huo wa mwenzi wake. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Idris ameandika ujumbe ukionyesha kuhuzunishwa kwa kuharibika kwa ujauzito huo, kwani walikuwa wenye furaha huku […]

Read More..

Nay wa Mitego: Kuongea Kwangu Ukweli Kunani...

Post Image

Nay Wa Mitego amesema ngoma zake zenye mashairi yanayowahusu baadhi ya wasanii zimemfanya akose marafiki na baadhi yao ambao alikuwa nao karibu kumtenga. ‘’Ilishawahi kutokea nilipotoa ngoma yangu ya ‘Salamu Zao’ kuna baadhi ya washikaji zangu ambao nilikuwa nao karibu walinikimbia wakajua chochote kinaweza kutokea,nilipotoa nyimbo zingine haikuwa hivyo,ila nilipoa ngoma yangu mpya baadhi yao […]

Read More..

Mimba ya Wema Yayeyuka Ghafla

Post Image

Mimba ya staa wa filamu  Bongo, Wema Sepetu iliyokuwa gumzo kila kona, ni kama puto kwani baada ya kupulizwa, kujaa na kuvuma sana, hatimaye limepasuka na kuacha vilio kwa familia na watu wake wa karibu, Risasi Mchanganyiko linaweza kuripoti.  JIUNGE NA CHANZO Chanzo chetu makini kilichoomba hifadhi ya jina lake ili kulinda ‘ushosti’ wake na […]

Read More..

Mimi Ndiye Msanii Nianyefanya Vizuri Sokoni...

Post Image

MWIGIZAJI anayefanya vizuri zaidi sokoni katika soko la filamu nchini, Vicent Kigosi anasema kushuka kwa soko la filamu nchini na kukosa ushindani ambao ulikuwepo hapo awali. Akifafanua zaidi  alisema tofauti na zamani filamu zilikuwa zikizungumziwa zaidi sababu ya ushindani wake mkubwa na marehemu Steven Kanumba. Kigosi anasema kipindi hicho ya filamu kutoka kulikuwa na mambo […]

Read More..

Masanja Azidi Kupaa Kibiashara Azindua Masa...

Post Image

MCHEKESHAJI wa Komedi kutoka Orijino Komedi Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji amezidi kujikita katika mkasuala ya biashara baada ya kufanikiwa kufungua mgahawa wa kisasa kabisa kwa ajili ya maakuli na kuwa kivutio kwa maeneo hayo.   Masanja Mkandamizaji amezindua Mgahawa wake wa Kisasa kwa kuandaa sherehe za uzinduzi kwa kuwakaribisha wadau mbalimbali Mgahawa huo unaoitwa […]

Read More..

Kutana na Gabo Zigamba Akiwa na Niva Ndani ...

Post Image

Katika maisha inatupasa tuwe na subira na uvumilivu ingawa wakati mwingine shida inaweza kuwa mvumbuzi wa matatizo.Tunamshukuru Mungu kwa huyu mtoto alietupatia japo si damu yetu ila amekuwa faraja kwetu. KASANGA NAE MWANA. Bongo Movies 2016-Kasanga Nae Mwana (Official Trailer) Movie: Kasanga Nae Mwana Production: King Media Genre:  Comedy&Drama Cast: Salim Ahmed, Zuber Mohammed Release […]

Read More..

Tanzia: Msani John Woka Afariki Dunia Leo

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Michael Dennis Mhina ‘John Woka’. Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye alijipatia umaarufu mkubwa kwa staili yake ya kuimba kama mlevi, Michael Dennis Mhina ‘Joni Woka’ amefariki dunia alfajiri ya leo. Akiongea kwa simu kaka wa marehemu Omari Milay, amesema walipigiwa simu alfajiri ya leo na kujulishwa kuwa Joni […]

Read More..

Producer wa Filamu ya Mpango Mbaya Staford ...

Post Image

MTAYARISHAJI na muongozaji wa filamu ambaye pia ni mwasisi wa Mtandao huu FC Staford Kihore anatarajia kutua nchini Nigeria kwa ajili ya kushuhudia utoaji wa tuzo za African Magic Views Choice Awards tuzo hizo ambazo zinatarajia kutolewa mwezi March 2016, akiongea na FC Kihore amesema kuwa anatarajia kutoa Lagos tarehe 2 March. 2016.   Mtayarishaji […]

Read More..

Picha: Mafufu Asherekea Siku Yake ya Kuzali...

Post Image

Juzi siku ya Valentine’s Day, mkali wa Bongo Movies, Jimmy Mafufu mkali wa ‘Ishakuwa soo’ filamu inayofanya vizuri sokoni hivi sasa, ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa ambapo alisherekea kwa kutoa sadaka katika kituo cha watoto Yatima kilichopo Tandale. Tukio hilo liliudhukiwa na wasanii kadhaa walioshiriki kwenye filamu ya ‘Ishakuwa Soo’ akiwemo Niva, Duma na […]

Read More..

Linnah Afunguka Sababu za Wasanii wa Kike K...

Post Image

Kwenye upande wa game la muziki nadhani hii iko world wide kwamba watoto wa kike wako wachache sana,hata kibongo bongo pia,sasa kuhusiana na game la kibongo linah ana sababu zake ambazo anahisi ndizo zinazosababisha watoto wakike hawatusui kibongo bongo lakini. ‘’Tumekuwa hatuko ‘real’ tuna nafikiana sana maneno huyu kampelekea huyu,mara kutengenezeana stori,halafu vitu vingine zinakuwa […]

Read More..

Jux Asema Jack Clif Yupo ‘Okay’ Hana Ta...

Post Image

Ikiwa ni zaidi ya miaka kadhaa tangu mrembo Jack Clif kukamatwa china,kuna vitu vingi ambavyo bado havijajulikana, lakini kumbe jux huwa anafanya naye mawasiliano. ‘’Huwa tunafanya mawasiliano ingawa sio mara kwa mara ..she is okay..yuko sawa..nimewasiliana naye kama miezi miwili iliyopita ..siwezi kuongelea sana vitu vingine..hata hivyo yeye mwenyewe hapendi niwe naongea ongea na watu […]

Read More..

Aunty Ezekiel na Moze Iyobo Wapigana Kibuti...

Post Image

Msanii wa filamu za Bongo Aunty Ezekiel maarufu kwa jina la mama Cookie siku hizi, ameonekana akiwa mbali na mwandani wake Moze Iyobo, na kuibua hisia kuwa huenda wawili hao wamemwagana siku ya valentine. Msanii wa filamu za Bongo Aunty Ezekiel maarufu kwa jina la mama Cookie siku hizi, ameonekana akiwa mbali na mwandani wake […]

Read More..

Picha: Mapokezi ya Diamond Lodwar Turkana K...

Post Image

Mamia ya wakazi wa Lodwar, Turkana Kenya walijitokeza hiyo jana kumpokea mkali wa muziki wa Afro-Pop kutoka Tanzania, Diamond Platinum ambaye alikutua mapema hiyo jana kwenye uwanja wa ndenge wa Lodwar. Hizi ni baadhi ya picha za mapokezi hayo.  

Read More..

Mwakifamba: Hakuna wa Kufikia Kiwango cha K...

Post Image

RAIS wa Shirikisho la Filamu Nchini (TAFF), Simon Mwakifamba, amesema hakuna atakayeweza kufikia kiwango cha marehemu Kanumba katika sanaa. Alisema sababu kubwa ni kwamba, msanii huyo alikuwa na uthubutu na alijitoa kwa lolote katika kazi zake tofauti na wasanii wa sasa. Pia Mwakifamba aliongeza kwamba, sanaa nchini inaendelea kukumbwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa […]

Read More..

Kisa Utajiri Wenye Maswali, Zari Atajwa Fre...

Post Image

Mwandani wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ameorodheshwa kwenye listi ya watu maarufu nchini Uganda ambao ni wanachama wa jamii ya siri ya Freemason kisa kikielezwa kuwa ni utajiri alionao wenye maswali mengi. Habari kutoka Kampala, Uganda zilizoripotiwa hivi karibuni zilieleza kwamba, mwanamama huyo ana ukaribu mkubwa na matajiri […]

Read More..